Je,wajua mtaa wa Ngara?
Je wajua asili ya jina la mtaa mashuhuri jijini Nairobi wa Ngara? Mwanahabari wa NTV Lolani Kalu anasimulia.
15 views
Familia yataka kulipwa fidia na serikali kutokana na kifo cha mwanao
1,011 views
Utalii siku ya Pasaka
Wakaazi wengi wa nairobi husafiri makwao katika sehemu za mashambani wakati wa likizo kama hii ya pasaka. Hatahivyo kuna baadhi ambao huchukua furs...
218 views
Wamalwa amkosoa Mutula
Waziri mpya wa Haki na maswala ya sheria eugene wamalwa anamlaumu waziri aliyemtangulia mutula kilonzo kwa kuingiza siasa...
21 views
Mtu 1 afariki baada ya kunywa chang'aa.mov
Rais Mwai Kibaki ametoa onyo kali dhidi ya unywaji pombe haramu na ulevi wa kupindukia miongoni mwa wakazi wa mkoa wa kat...
36 views
Serikali haiko tayari kukabiliana na athari za mvua
Msimu wa mvua hatimaye umewadia, na kama kawaida wasafiri wameanza kuhangaishwa na hali mbaya ya barabara. Msimu wa jua u...
16 views
Watu 8 wafariki katika mkasa wa maporomoko Mathare
Watu wanane wamefariki mtaani Mathare kufuatia maporomo ya mawe yaliyosababishwa na mvua. Watu wengine wanane wamelazwa h...
36 views
Hatari iliyomo mitaa ya mabanda
Frank Odongo ni mmoja wa wale walionusurika katika mkasa huo mtaani Mathare. Nyumba yake iliangukiwa na mawe lakini aliweza ku...
79 views
Masomo ya kielektroniki Kilgoris
Mradi wa elimu kupitia mtandao intaneti unaendelea nchini huku eneo la kwanza kupata vifaa vya e-reader ukianza kuwa na ufanisi hapa nchini. Matu...
62 views
Mafuta ya Turkana
Turkana ndio jina limo midomoni mwa wakenya wengi na hata wasiokuwa wakenya nje ya taifa hili baada ya mafuta kuvumbuliwa katika kijiji cha kodeko...
498 views
Serikali yaanzisha mradi ya kulea wazee
Sasa nakurudisha pwani ya Kenya...na hii leo waziri Mkuu Raila Odinga amezindua mpango wa kuwalea wazee wa kuwapa shilingi elfu mbili kila mwezi m...
19 views
Balala azungumzia kuvutwa kazi
Sasa tugeukie suala la mabadiliko katika baraza la mawaziri ambapo leo chama cha kitaifa cha viongozi wa waislamu, namlef kimesema kuwa mkataba wa...
35 views
Askari wa G4S ahusika katika wizi wa benki Mombasa
Kampuni ya Ulinzi ya G4S imejipata tena katika vyombo vya habari kuhusiana na wizi wa shilingi milioni kumi na nne katika tawi moja la KCB mjini M...
22 views
Maoni ya Martha Karua kuhusu mafuta ya Turkana
Wakati huohuo kuvumbuliwa kwa mafuta katika jimbo la turkana kunaendelea matumaini na tahadhari humu nchini. Mwenyekiti wa chama cha narc kenya m...
10 views
Kliniki ya macho ya NMG
Watu wasiopungua milioni nne wana matatizo ya macho na wengi wao huenda wakawa vipofu kwa kutopata matibabu. Shirika la nation media group kwa ushi...
8 views
Maoni kuhusu GEMA
Huenda naibu waziri mkuu uhuru kenyatta akajipata matatani na chama chake cha kanu baada ya wanachama wake kusema kuwa uhuru alishindwa kutetea cha...
16 views
Kijana aliyetekwa nyara Nyeri aokolewa
Maafisa wa polisi mjini Nyeri wamemuokoa kijana wa miaka 21 aliyetekwa nyara mjini Kagumo katika jimbo la Kirinyaga. Erastus Kinyua ambaye ni mto...
8 views
MRC waharibu majaribio ya uchaguzi Malindi
Uchaguzi wa mwigo uliokusudiwa kufanyika Malindi haukufanyika baada ya vijana wanaodhaniwa kuwa wa Kundi la Mombasa Republican Council, MRC kuzua r...
354 views
Uchaguzi wa majaribio Kajiado
Wakati huohuo kulikuwa na hali shwari katika uchaguzi wa mwigo ulioandaliwa katika jimbo la kajiado. Kulikuwa na vituo vitatu vya kupigia kura na...
26 views
Mwanahabari Itumbi akamatwa na polisi
Mwanahabaribari na mwanablogu Dennis Itumbi alikamatwa na kuzuiliwa na maafisa wa CID kuhusu madai kwamba alidakua barua pepe za mkuu wa mahakama y...
234 views