Kibao kizuri chenye ukweli wa kimaisha. Si wewe peke yako yashanikuta na mie!! Hivi sasa natafuta mwingine. Nawaheshimu sana akina dada lakini kuna wengine ambao kweli hawajali. Ni ulimwengu wa visa na mikasa. Nipo hapa Ujerumani napigwa na baridi hivi sasa mpaka nitakapompata mwingine wa kunipenda. Jamani maisha ni safari kweli, milima na mabonde, kupanda na kushuka, ama kweli duniani kuna mambo mazito!
Delp 307 tunakupongeza sana kwa track hii. Ila tunaomba kama inawezekana utuwekee track hizi: Shoga(Fina Mango), Zuwena,Harusi(Mr Paul), Asante(Bob Rudala).
Nyimbo safi sana hii, ukweli hudumu... miaka nenda rudi.....
BlackKenpoAssoc 2 months ago
this song rocks
kichaawetu 8 months ago
This is interesting vid napenda tanzania good melody
kichaawetu 1 year ago
Sweet melody! Great artist
EYEWEWPE 1 year ago
@EYEWEWPE He is a great artist.This is great music from Tanzania.I love this guy.
kichaawetu 1 week ago
dis song
is ma favor
dallas3471 1 year ago
3:54-4:00 funny and This guy is really hearthy
123habisternest 2 years ago
this video is so descriptive and so freaking funny...kweli umenena ndugu..haha
Sukuma22 2 years ago
kweli fanya mazowezi
sayidfamily 2 years ago
LOL!!..........
somaligirl16 2 years ago
sauti poa wimbo wenye ukweli wa maisha kip it up bana
naturebouy4mih 3 years ago
nikawakuta wameshaondoka??? inawezekana kweli?? duh aisee hii lugha ni ngumu si mchezo :)
liseana 3 years ago
Bizman fanya mazoezi kidogo tumbo hilo lipungue kidogo yalokupata si haki, lakini wapo wanaume washunzi zaidi!
lmashua 3 years ago
Kibao kizuri chenye ukweli wa kimaisha. Si wewe peke yako yashanikuta na mie!! Hivi sasa natafuta mwingine. Nawaheshimu sana akina dada lakini kuna wengine ambao kweli hawajali. Ni ulimwengu wa visa na mikasa. Nipo hapa Ujerumani napigwa na baridi hivi sasa mpaka nitakapompata mwingine wa kunipenda. Jamani maisha ni safari kweli, milima na mabonde, kupanda na kushuka, ama kweli duniani kuna mambo mazito!
kipanzi 3 years ago
kipanzi ya kweli hayo!
garaweza 3 years ago
huyo mpaka umpakue kisawasawa ndio atatulia ,sio umpakue bao mbili itakua hatulii kwako.
07756657928 4 years ago
Delp 307 tunakupongeza sana kwa track hii. Ila tunaomba kama inawezekana utuwekee track hizi: Shoga(Fina Mango), Zuwena,Harusi(Mr Paul), Asante(Bob Rudala).
wiko84 4 years ago
oh my God,kumbe viungulia wako kila pembe ya dunia?kweli dunia msumeno....................unaokata huku na kule.
aishpru 4 years ago
Comment removed
lai1997 4 years ago
ooooo uruma heinn. this is sad I hope people don't act like that.
sultandenewyork 4 years ago
excellent instrument,
krissnkembo 4 years ago
mambo ya bafuni wawili poa sana na mziki huu ni poa sana
mhaya01 4 years ago
kama wewe humtoshelezi hana budi kutoroshwa mwenzetu
mohaliam 4 years ago
i loved this song and the video it's too funny. Lakini pole Bizzman.
Suhaila77 4 years ago
bizz man usiwe na hudhuni sana njoo kwangu mimi muna nipo america
maimunamuna 5 years ago
i like that bathroom ,passport size style
andypd2 5 years ago
Walimwengu hao bwana, kazi kuchunana tu!
mvujajasho 5 years ago
Lol
tinasearle 5 years ago
not bad
nancybuffler 5 years ago
Nice song,listen to the words.
Mapengo 5 years ago
kuma mbuziiiiiiiiiiiiiiiii
BlackmanRedemption 5 years ago
deep meaning here..dont trust a long time buddy with yo wife...anything can happen....this guy, BIZMAN is not TALL!!!!
kangoma 5 years ago