Assalaam alykum ! Nasikitika sana kwa sheikh huyu anae tukana na kuwa hana hikma ya kimafundisho ya Mtume {sw}. Mtume sw hakuwa na mafundisho ya watu kutukanana na hususan wana wa zuoni? tutungeni midomo yetu kwa mambo ambayo hayana maana, kuleta watu watengane na kutukanana .
Assalaam alykum ! Nasikitika sana kwa sheikh huyu anae tukana na kuwa hana hikma ya kimafundisho ya Mtume {sw}. Mtume sw hakuwa na mafundisho ya watu kutukanana na hususan wana wa zuoni? tutungeni midomo yetu kwa mambo ambayo hayana maana, kuleta watu watengane na kutukanana .
a65704 3 days ago
@a65704 ametukana nini......wacheni chuki...kwakua anasema ukweli????
bowlowification 12 hours ago