it is a very toirab , i like this and i say that this song is very beautiful singing with a beautiful lady.... continue like that beacause i can sleep slowly when your sing this song....
Una maradhi ya mm, mekuzidisha kiburi,ukarefusha ulimi nakujiona hodari,kwa huo wako usemi hutanipandisha mori, nina akili timami sigeuki mm sori, najua we senti kumi zimekupa ujasiri,ringa ww limbukeni pato kwako ww geni, mie mwenzio najua kupata majaaliwa kukosa ndo kiulimwengu.Kwangu yote mm sawa sawa sawa.
Licha ya kamba na pingu, hata kwa minyororo hakai. Mzuie kwa kumpa nyama ya ulimi. Wasikia bwana? Usipompa nyama tamu ya ulimi mwenzangu utalia "kilio cha mbwa midomo juu"!
..ya kweli hayo buashraf, huu ni mwenzi wa Ramadhan-Karim tuwache masihara!...eebu sikiliza nyimbo ya Sabah Salum "Mlango wa mungu uwazi" anavyosema "sote wa kukadiriwa na mungu hatujitoshi kwa kitu" sisi ni bin'Adam tuu.
shushuuy una kichaa? Mbona kiburi nadharau? Wakikuyu unauliza nini? Mombasa na Kiambu hata Nakuru ni kitu kimoja! Harambee! Unadai kuelewa Kiswahili zaidi ya wote, huo ni ujinga. Kama wewe ni MTZ, kimefaidi nini hicho Kiswahili chako? Mimi ni Mkenya kwanza, pili ni Mkikuyu. Na nchi yangu an kabila langu lastahili heshima!
Stupid kukuyu! don't write to me pls,i don't want to communicate with you! and if you must, write in english, becouse i don't understand your swahili.
Basi! bwana muheshimiwa yaishe! nafahamu sasa wee si mkukuyu...si dharau lakini tangu lini mombasa ikawa kisiwa? na hiyo "fikiria" nimekosea..kwani ukoo wangu mie umesambaa kutoka Dar,unguja,pemba hadi mombasa!
Kama huna habari jiji la Mombasa limo kisiwani. Jiji maanake tofauti na Wilaya ya Mombasa. Upande wa magharibi kisiwa cha Mombasa kinaunganishwa na bara na Mlango wa bahari wa Makupa (Makupa Causeway) Upande wa kaskazini kuna daraja la Nyali na upande wa kusini kuna kivukio cha Likoni (Likoni Ferry). Ninaposema Mombasa ni kisiwa ninajua nnasema nini. Kwa kuna Mombasa kisiwani na Mombasa bara!
Vijana. Wacheni kugombana. Sisi wote waafrika. Kusema Wakenya wazungumuzi Kiswahili vizuri ni ushenzi. Kila nchi ina Kiswahili chake. Hata kwenye nchi moja yenyewe kunazo tofauti sivyo? Mimi Mganda lakini nilipokuwa mdogo niliishi Kenya. Nimeishi Canada tangu 1985 kwa hivyo nemisahau Kiswahili. All I can say is that I love Swahili and dont care much about the arguments about which is pure or better. Let's just enjoy the music.
Ndiyo, "mswamike", na pole sana "smukase". We are all brothers and sisters. Tusiwe na uadui. Hata Kiingereza kuna cha Marekani, Uingereza, Australia n.k. Kiswahili kuna cha Kongo, Kenya, Tanzania n.k. Avoid any artificial hostility.
Sidhani kama kuna Kiswahili cha Kenya, Tanzania. Vilivyoko ni viswahili hasa unapozungumzia Kenya bara na Tanzania bara. Tuseme lafdhi za Kiswahili. Mathalani Mchagga na Mzaramo lafdhi zao za Kiswahili tofauti. Mkikuyu na Mjaluo lafdhi zao tofauti. Katika eneo la mwambao wa Afrika ya Mashariki mna lahaja za Kiswahili.
Na kwa hali ilivyo sasa nchini Kenya na Tanzania wakati mwingine inakuwa vigumu kujua mtu anatokea wapi hasa ukizingatia vyombo vya habari vimezagaza viswahili vyote hivyo. Mathalan Mluhya nchini Kenya anatamka "l" kama Watanzania wengi.Baadhi ya wakikuyu nchini Kenya hawatafautishi herufi L na R. Nimewasikia wakazi wengi kutoka Kigoma na Musoma wakisema "anakujaga". Hayo sasa hivi utayapata Kenya. Kongo kuna hiyo lahaja iitwayo KINGWANA.
big up East African Melody Taarab,big up Tanzania (craddle of mankind)-authentic Africa;the land of Kilimanjaro,Zanzibar,Ngorongoro,Dar es Salaam,Kilwa,Tarangire,Ruaha,Arusha,Serengeti,Selous,Mkomazi and Udzungwa!
ah whatever man and btw, mimi si mkenya. niliishi huko tuu. mi natoka rwanda so i don't have to prove anything! man pliz stop bothering me, nimeelewa unajua kiswahili sana so just stop. wewe tuu niache ni enjoy music and stop being such a facist
"smukase" karibu Tanzania. Visit Tanzania and experience Tanzanian hospitality. You can speak any Swahili you know. Sorry for what happened. Tanzanians are very accommodating. I have friends from Congo, Burundi, Rwanda, Kenya, Uganda, Mozambique etc and they all speak different kinds of Swahili.
so is this like the same person? either way i don't care cuz na speak english better. and by the way i wasn't taking that seriously at all so it's ok, najua most tanzanians wako quiet sympathetic
Tamu ni kinywaji au chakula lakini kuna matumizi ya lugha kitamathali. Mbona twasema penzi tamu? Kwani penzi chakula? La Hasha! Wala si Kiswahili pekee kilicho na sifa hii. Na hasa tamu yenyewe ni nini?
Wee buashraf! ebu wacha maneno mengi, una'andika ovyo-ovyo hata unaloli'andika halieleweki-wakikuyu,wachaga na wajaluo wote hao wana lugha zao na desturi zao-- Waswahili haswa wapo sehemu za pwani na wana desturi moja: D'salaam, Mombasa, Zanzibar, Lamu, Pemba na Bajuni...
Nakuomba kwanza usome niliyoyaandika badala ya kunilaumu. Najua fika kwamba waswahili wamo katika mwambao wa Afrika Mashariki tangu Kisimayu nchini Somalia. Najua pia kuna Unguja, Pemba na Comoro. Ninachozungumzia ni hayo madai ya Kiswahili cha Tanzania na cha Kenya. Ndicho Kiswahili kipi hicho?
Hivi mtu kusema LAMAZANI, AFAZALI na LAZI ndicho Kiswahili cha Tanzania? Mkenya kutoka bara anaposema "NIKO KWA NYUMBA" hicho ndicho Kiswahili cha Kenya? Kwangu mimi mtu anaposema hivyo ni sawa na anayenitukana. Watu wa Mombasa unawaweka kiwango gani unaposema hivyo? Waswahili halisi twawajua!
Tena kwa hisani yako nakuomba utathmini lugha yako.Sikuzoea karaha! Kunaambia naandika ovyo ovyo ni dharau. Sikuandika chochote cha kumdharau mtu bali kuelimishana. Na huo ndio udugu; chembelecho wenyewe "Udugu ni kufaana wala si kufanana". Unachokijua zaidi unifaidi na mimi. Na kama hujui hakuna mahali nchini Kenya panapoitwa Bajuni.
Tena kwa hisani yako nakuomba utathmini lugha yako.Sikuzoea karaha! Kunaambia naandika ovyo ovyo ni dharau. Sikuandika chochote cha kumdharau mtu bali kuelimishana. Na huo ndio udugu; chembelecho wenyewe "Udugu ni kufaana wala si kufanana". Unachokijua zaidi unifaidi na mimi. Na kiasi cha kukufahamisha nchini Kenya hakuna mahali panapoitwa Bajuni.
Sawa! toa hiyo Bajuni nimekosea nilifikili kisiwa huko mombasa...na mbona una'andika maneno mengi? na hicho kiswahili chako cha kukuyu mie sielewi vizuri...
Nawe mwenzangu unatoka wapi? Mbona kuniandikia "nafikili"? Tayari "r" inakucheza. Mombasa ni kisiwa. Vipi kuwe na kisiwa kiitwacho Bajuni kisiwani Mombasa? Aliyekwambia mimi ni "KUKUYU" ni nani? Dharau si uungwana. Kiswahili cha "kukuyu" umekiona wapi kwenye yote niliyoandika?
Basi! bwana muheshimiwa yaishe! nafahamu sasa wee si mkukuyu...si dharau lakini tangu lini mombasa ikawa kisiwa? na hiyo "fikiria" nimekosea..kwani ukoo wangu mie umesambaa kutoka Dar,unguja,pemba hadi mombasa!
Kama huna habari jiji la Mombasa limo kisiwani. Jiji maanake tofauti na Wilaya ya Mombasa. Upande wa magharibi kisiwa cha Mombasa kinaunganishwa na bara na Mlango wa bahari wa Makupa (Makupa Causeway) Upande wa kaskazini kuna daraja la Nyali na upande wa kusini kuna kivukio cha Likoni (Likoni Ferry). Ninaposema Mombasa ni kisiwa ninajua nasema nini.
naku mbuka nyumbani ila niko mbali na nyumbani
sider713 4 months ago
..tamu sana!
JAPRASH 8 months ago
she looks more like indian...:)
:/ ill remember back 2 (Kenya <3 ) wen i was young wen ever i listen 2 dis.. :/
mjs18157 1 year ago
I can feel the breeze and light of Unguja touching my heart
bagamoyo1978 1 year ago
Comment removed
bagamoyo1978 1 year ago
Unaionaje? Inapendeza sana, sivyo?
Niende wapi kuona video za muziki za vikundi
vya hapa?
ChildOfTheStruggle 1 year ago
Comment removed
ChildOfTheStruggle 1 year ago
Comment removed
ChildOfTheStruggle 1 year ago
Wimbo huu unavutia kweli... Najifunza Kiswahili Sanifu sasa...
ChildOfTheStruggle 1 year ago
OK I found the full version, more or less here on Youtube and its called subira...../watch?v=7IPA34wPFoM
mmaghfai 1 year ago
Wimbo huu unaitwaje? please post the full song not just half of it. Thanks for sharing with us :)
mmaghfai 1 year ago
haswa kupata majaaliwa kukosa ni kilimwengu! hayo maneno
ustaarabu 2 years ago
Ooh my god i like this song can somebody tell me the name of this song.thanks
EMILLY207 2 years ago
halo halo, kwahuo wako usemi hutonipandisha mori, najuwa senti kumi zimekupa ujasiri,mie mwenzio najuwa kupata majaliwa na kukosa ndio kiulimwengu.
mshelahalisi 2 years ago
it is a very toirab , i like this and i say that this song is very beautiful singing with a beautiful lady.... continue like that beacause i can sleep slowly when your sing this song....
kaiss44 2 years ago
Una maradhi ya mm, mekuzidisha kiburi,ukarefusha ulimi nakujiona hodari,kwa huo wako usemi hutanipandisha mori, nina akili timami sigeuki mm sori, najua we senti kumi zimekupa ujasiri,ringa ww limbukeni pato kwako ww geni, mie mwenzio najua kupata majaaliwa kukosa ndo kiulimwengu.Kwangu yote mm sawa sawa sawa.
lulunyeusi 2 years ago
MASHALLAH MY BEAUTIFUL ANTYY X
sexxyfaa 2 years ago
@sexxyfaa I agree with you totally, hehe
mmaghfai 1 year ago
this is really nice.. i love the beat.
ravans2007 2 years ago
sawa sawa sawa sawa :)
mamaimara 2 years ago
Kwa nini ukakata wimbo huu wakati umefikia kilele? Naomba ujaribu kutupatia wote kaka.
Masaku2000 2 years ago 2
Are there any more songs like this, I wonna know ?
Makbelly 3 years ago
Wapi the rest of this wibo wa taarabu? How can you end this song at the climax? Please provide with the est of the song
MRMUTOONI 3 years ago 2
Does this song have part 1 & 2
erickkituyi 3 years ago
She is a Tanzanian,singing with Zanzibar stars if am not wrong.
erickkituyi 3 years ago
PLZ MTU ANIAMBIE NTAPA WAPI WIMBO WA SABAHA (wacha wee)
khuichui978 3 years ago
Sabah Salum Tanzania...
sariatz 3 years ago
mkuki2000,u should have posted the origin country to enlighten you tube users if you really know any better than trying to sound like u know.
kimbe2020 3 years ago
Correction:It's Mombasa,Kenya for those who can really listen.
mykkal2006 3 years ago
You'r just pathetic, accept the fact!!
or we can pretend she is from kenya
if that will make you happy, but it is a false
information to the user of YouTube!!
mkuki2000 3 years ago
It's Mombasa,Kenya for those really listen.
mykkal2006 3 years ago
is there any one who could translate to me this wonderfull song and god bless him
mopoa33 3 years ago
..'.ukarefusha ulimi, nakujiona hodari'...
uls76 3 years ago
mimi kwangu mambo sawa sawa
jerusha78 4 years ago
Name:Sabah Salum
Group:East African Melody
Country:Tanzania
mkuki2000 4 years ago
Country is Kenya
LUK0BA 3 years ago
hehehe! do you mean, you wish she was from kenya?
mkuki2000 3 years ago
I'm proud of u ol taarab members, Swabah Salum mashaallah!!!!!!!!!!!!
ashahasha 4 years ago
sina marathi lakkini bwana we mombasa ya ambasa
nyamarigo 4 years ago
sauti tamu kweli sana! nampenda sana huyu, ananaitwaje?
samarkaaan 4 years ago
Name:Sabah Salum
Group:East African Melody
Country:Tanzania
mkuki2000 4 years ago
nice song and beautiful lady nice voice
ckathomi 4 years ago
kenya..power!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
mcmzee 4 years ago
nyibo nyizur swafi. nsi penda twarab inu.
asanta & kwaheri sabarwawa
samomoi 4 years ago
Poa sana ....
sinakosamimi 4 years ago
What's the name of this song and who sings it. Also where can i buy it
Makbelly 4 years ago
uuuiii! something better than breakdance. Taarabu videos keep coming.
moranih 4 years ago
i love taarab music kiboko yao au sio
nyamarigo 4 years ago
taarabu kiboko yao au sio
nyamarigo 4 years ago
mimi mwenzio najua kupata wajaaliwa kukosa ndio kiulimwengu
fauziaanab 4 years ago
Najua centi kumi zimekupa ujasiri, Okinyi hallo?
nyarkanyidoto 4 years ago
Licha ya kamba na pingu, hata kwa minyororo hakai. Mzuie kwa kumpa nyama ya ulimi. Wasikia bwana? Usipompa nyama tamu ya ulimi mwenzangu utalia "kilio cha mbwa midomo juu"!
babuNL 4 years ago
Mbona ndugu yangu kuiga maneno yangu? Umenakili vivyo hivyo nilivyosema kwenye nyimbo ya Issa Matona. Lakini sawa! Maana ujumbe umefika
buashraf 4 years ago
...aidha anakusifia au anakusanifu! moja kati ya hayo mawili...chagua!
shushuuy 4 years ago
Si neno kwani ladha ya maneno yenyewe inatosha kuthibitisha utamu wa Kiswahili.
Raha ilioje mtu kwa mtu kukienzi Kiswahili!
buashraf 4 years ago
aluuuu mrs mwichatu.............!!!!!
rk097 4 years ago
Jamani huu ni mwezi wa Ramadhan maanake mwezi wa toba. Matusi si uungwana! Twahitaji subira!
buashraf 4 years ago
..ya kweli hayo buashraf, huu ni mwenzi wa Ramadhan-Karim tuwache masihara!...eebu sikiliza nyimbo ya Sabah Salum "Mlango wa mungu uwazi" anavyosema "sote wa kukadiriwa na mungu hatujitoshi kwa kitu" sisi ni bin'Adam tuu.
shushuuy 4 years ago
Swadakta! Sisi ni binadamu wala hakuna mtukufu miongoni mwa binadamu. Tuna tabia ya kughafilika tukakiuka mipaka tuliowekewa na Mwenyezi Mngu (S.T.)
buashraf 4 years ago
shushuuy una kichaa? Mbona kiburi nadharau? Wakikuyu unauliza nini? Mombasa na Kiambu hata Nakuru ni kitu kimoja! Harambee! Unadai kuelewa Kiswahili zaidi ya wote, huo ni ujinga. Kama wewe ni MTZ, kimefaidi nini hicho Kiswahili chako? Mimi ni Mkenya kwanza, pili ni Mkikuyu. Na nchi yangu an kabila langu lastahili heshima!
mheshimiwa 4 years ago
Stupid kukuyu! don't write to me pls,i don't want to communicate with you! and if you must, write in english, becouse i don't understand your swahili.
shushuuy 4 years ago
Basi! bwana muheshimiwa yaishe! nafahamu sasa wee si mkukuyu...si dharau lakini tangu lini mombasa ikawa kisiwa? na hiyo "fikiria" nimekosea..kwani ukoo wangu mie umesambaa kutoka Dar,unguja,pemba hadi mombasa!
shushuuy 4 years ago
Kama huna habari jiji la Mombasa limo kisiwani. Jiji maanake tofauti na Wilaya ya Mombasa. Upande wa magharibi kisiwa cha Mombasa kinaunganishwa na bara na Mlango wa bahari wa Makupa (Makupa Causeway) Upande wa kaskazini kuna daraja la Nyali na upande wa kusini kuna kivukio cha Likoni (Likoni Ferry). Ninaposema Mombasa ni kisiwa ninajua nnasema nini. Kwa kuna Mombasa kisiwani na Mombasa bara!
buashraf 4 years ago
duuuuuh mama hicho bonge cha kigongooo
yani nakuaminia kwa nyimbo zako mimi siompenda taarab lakini hichi babkubwa
masakamisifa 4 years ago
Vijana. Wacheni kugombana. Sisi wote waafrika. Kusema Wakenya wazungumuzi Kiswahili vizuri ni ushenzi. Kila nchi ina Kiswahili chake. Hata kwenye nchi moja yenyewe kunazo tofauti sivyo? Mimi Mganda lakini nilipokuwa mdogo niliishi Kenya. Nimeishi Canada tangu 1985 kwa hivyo nemisahau Kiswahili. All I can say is that I love Swahili and dont care much about the arguments about which is pure or better. Let's just enjoy the music.
shibakuzo111 4 years ago
Ndiyo, "mswamike", na pole sana "smukase". We are all brothers and sisters. Tusiwe na uadui. Hata Kiingereza kuna cha Marekani, Uingereza, Australia n.k. Kiswahili kuna cha Kongo, Kenya, Tanzania n.k. Avoid any artificial hostility.
mfurukutwa 4 years ago
Sidhani kama kuna Kiswahili cha Kenya, Tanzania. Vilivyoko ni viswahili hasa unapozungumzia Kenya bara na Tanzania bara. Tuseme lafdhi za Kiswahili. Mathalani Mchagga na Mzaramo lafdhi zao za Kiswahili tofauti. Mkikuyu na Mjaluo lafdhi zao tofauti. Katika eneo la mwambao wa Afrika ya Mashariki mna lahaja za Kiswahili.
buashraf 4 years ago
Na kwa hali ilivyo sasa nchini Kenya na Tanzania wakati mwingine inakuwa vigumu kujua mtu anatokea wapi hasa ukizingatia vyombo vya habari vimezagaza viswahili vyote hivyo. Mathalan Mluhya nchini Kenya anatamka "l" kama Watanzania wengi.Baadhi ya wakikuyu nchini Kenya hawatafautishi herufi L na R. Nimewasikia wakazi wengi kutoka Kigoma na Musoma wakisema "anakujaga". Hayo sasa hivi utayapata Kenya. Kongo kuna hiyo lahaja iitwayo KINGWANA.
buashraf 4 years ago
mbona uadui marafiki - sote wamashariki
mswamike 4 years ago
its so great to hear taarab ,usic after being abroad several years,it reminds me of the swahili wedding I attended in mombasa,miss home.
mugazia 4 years ago
big up East African Melody Taarab,big up Tanzania (craddle of mankind)-authentic Africa;the land of Kilimanjaro,Zanzibar,Ngorongoro,Dar es Salaam,Kilwa,Tarangire,Ruaha,Arusha,Serengeti,Selous,Mkomazi and Udzungwa!
tanzanianboy 4 years ago
Yaps I think im also a relative LOL!
msadude 4 years ago
kazi nzuri hii si yanirudisha huko Afrika
teddiemuriiithi 4 years ago
nai penda wimbo ina tingisha moyo
muqtardada 4 years ago
napenda hii wimbo
Songkraft 4 years ago
Kila mtu auty yangu oh sijui rafiki yangu WHATEVER!! Ninachojua ni wa East African Melody na Muunguja kama mimi na anasauti nzuri
kinyume 4 years ago
thats ma aunty sabah luv u aunty nadyaa glasgow
nadyaalriyami 4 years ago
tamu sana
smukase 4 years ago
Tamu ni kinywaji au chakula tu, msiharibu Kiswahili
nass8er 4 years ago
eh eh eh! just stop there rafiki. najua nimekisahau sana lakini bado kiko kwa roho jo. ebu get lost!
smukase 4 years ago
Kiko kwa roho ni Kiswahili cha Kikenya, Watanzania tunasema kiko rohoni. Mhaya mkubwa.
nass8er 4 years ago
ah whatever man and btw, mimi si mkenya. niliishi huko tuu. mi natoka rwanda so i don't have to prove anything! man pliz stop bothering me, nimeelewa unajua kiswahili sana so just stop. wewe tuu niache ni enjoy music and stop being such a facist
smukase 4 years ago
"smukase" karibu Tanzania. Visit Tanzania and experience Tanzanian hospitality. You can speak any Swahili you know. Sorry for what happened. Tanzanians are very accommodating. I have friends from Congo, Burundi, Rwanda, Kenya, Uganda, Mozambique etc and they all speak different kinds of Swahili.
mfurukutwa 4 years ago
so is this like the same person? either way i don't care cuz na speak english better. and by the way i wasn't taking that seriously at all so it's ok, najua most tanzanians wako quiet sympathetic
smukase 4 years ago
Tamu ni kinywani au chakula lakini kuna matumizi ya lugha kitamathali. Mbona twasema penzi tamu? Kwani penzi chakula?
buashraf 4 years ago
Tamu ni kinywaji au chakula lakini kuna matumizi ya lugha kitamathali. Mbona twasema penzi tamu? Kwani penzi chakula? La Hasha! Wala si Kiswahili pekee kilicho na sifa hii. Na hasa tamu yenyewe ni nini?
buashraf 4 years ago
Wee buashraf! ebu wacha maneno mengi, una'andika ovyo-ovyo hata unaloli'andika halieleweki-wakikuyu,wachaga na wajaluo wote hao wana lugha zao na desturi zao-- Waswahili haswa wapo sehemu za pwani na wana desturi moja: D'salaam, Mombasa, Zanzibar, Lamu, Pemba na Bajuni...
shushuuy 4 years ago
Nakuomba kwanza usome niliyoyaandika badala ya kunilaumu. Najua fika kwamba waswahili wamo katika mwambao wa Afrika Mashariki tangu Kisimayu nchini Somalia. Najua pia kuna Unguja, Pemba na Comoro. Ninachozungumzia ni hayo madai ya Kiswahili cha Tanzania na cha Kenya. Ndicho Kiswahili kipi hicho?
buashraf 4 years ago
Hivi mtu kusema LAMAZANI, AFAZALI na LAZI ndicho Kiswahili cha Tanzania? Mkenya kutoka bara anaposema "NIKO KWA NYUMBA" hicho ndicho Kiswahili cha Kenya? Kwangu mimi mtu anaposema hivyo ni sawa na anayenitukana. Watu wa Mombasa unawaweka kiwango gani unaposema hivyo? Waswahili halisi twawajua!
buashraf 4 years ago
Tena kwa hisani yako nakuomba utathmini lugha yako.Sikuzoea karaha! Kunaambia naandika ovyo ovyo ni dharau. Sikuandika chochote cha kumdharau mtu bali kuelimishana. Na huo ndio udugu; chembelecho wenyewe "Udugu ni kufaana wala si kufanana". Unachokijua zaidi unifaidi na mimi. Na kama hujui hakuna mahali nchini Kenya panapoitwa Bajuni.
buashraf 4 years ago
Tena kwa hisani yako nakuomba utathmini lugha yako.Sikuzoea karaha! Kunaambia naandika ovyo ovyo ni dharau. Sikuandika chochote cha kumdharau mtu bali kuelimishana. Na huo ndio udugu; chembelecho wenyewe "Udugu ni kufaana wala si kufanana". Unachokijua zaidi unifaidi na mimi. Na kiasi cha kukufahamisha nchini Kenya hakuna mahali panapoitwa Bajuni.
buashraf 4 years ago
Sawa! toa hiyo Bajuni nimekosea nilifikili kisiwa huko mombasa...na mbona una'andika maneno mengi? na hicho kiswahili chako cha kukuyu mie sielewi vizuri...
shushuuy 4 years ago
Nawe mwenzangu unatoka wapi? Mbona kuniandikia "nafikili"? Tayari "r" inakucheza. Mombasa ni kisiwa. Vipi kuwe na kisiwa kiitwacho Bajuni kisiwani Mombasa? Aliyekwambia mimi ni "KUKUYU" ni nani? Dharau si uungwana. Kiswahili cha "kukuyu" umekiona wapi kwenye yote niliyoandika?
buashraf 4 years ago
Basi! bwana muheshimiwa yaishe! nafahamu sasa wee si mkukuyu...si dharau lakini tangu lini mombasa ikawa kisiwa? na hiyo "fikiria" nimekosea..kwani ukoo wangu mie umesambaa kutoka Dar,unguja,pemba hadi mombasa!
shushuuy 4 years ago
Kama huna habari jiji la Mombasa limo kisiwani. Jiji maanake tofauti na Wilaya ya Mombasa. Upande wa magharibi kisiwa cha Mombasa kinaunganishwa na bara na Mlango wa bahari wa Makupa (Makupa Causeway) Upande wa kaskazini kuna daraja la Nyali na upande wa kusini kuna kivukio cha Likoni (Likoni Ferry). Ninaposema Mombasa ni kisiwa ninajua nasema nini.
buashraf 4 years ago
..na hao wanaosema (lamazani,afali na lazi) ni watu wa kutoka TZ bara kwani R inawashinda kuitamka.
shushuuy 4 years ago
Very interesting!
Lungs
LungsMcPherson 4 years ago
anyone know this song ......'wazoazoa,washindana na kikapu'?????????
sherilynRB7623 4 years ago
hahah...no way i ddnt know pple uploaded tarabu songs to..santa..hebu basi put in that one zilipwenda wee..mwaisho dat song heheh...xxx
HabibtyA 4 years ago
Sabah of "East African Melody" a Tanzanian Taarab Group.
ramso007 4 years ago
anybody knu the artist and the song's name?
sabarwawa 4 years ago
Her full name is Swabah Salum. Too cool a voice!
buashraf 4 years ago
thanks
sabarwawa 4 years ago
Comment removed
ramso007 4 years ago
thanks Ramso, i beliv you are well informed about taarab
sabarwawa 4 years ago
shes everdody's Aunt and freind now LOL!
msadude 4 years ago
@ramso007 Right! Is she single? hehe
mmaghfai 1 year ago
Thanks a lot,I love this song tooo
kalebac 4 years ago