taarab
7:07
Added: 4 years ago
From: bakogo
Views: 39,249
Sort by time | Sort by thread (beta)

Link to this comment:

Share to:

All Comments (32)

Sign In or Sign Up now to post a comment!
  • REST IN PEACE

    WE LOVE U!!!!!

  • Kiswahili saafi asli ni kiswahili cha watu wa PANGANI,KIGOMBE,MWARONGO,na TANGA.. Mombasa husema Ndoo, maana yake ati Njoo.

  • Comment removed

  • I live love love love taarab best music ever and country coz a simple country gal

  • @Mmaghfai what happened do you still speak kimeru?

  • @ckathomi I lived in Meru (Nkubu and mitunguu) when I was 6 till 9 and I could speak it fluently at that time even the Meru people were shocked. Now all I can remember is a few words like gutu, nyooro, nderirwe, mbetage, kanyooni (a little kind of bird), nkandamia, etc. And my best friends at that time were Bundi, Muthomi, koome, gatobu, Kiendi, Ciru, Wangari, etc, lol. Those were the best years of my life. Which part of Meru are u from? I knew ur name sounded Meru

  • I love it remind me when i was in kampala

  • I wanna live in Mombasa learn kiswahili sanifu en tarab love it love love coast province!

  • @ckathomi mombada hakuna kiswahili sanifu, ukitaka kujua kiswahili cha haswa afadhali uende TZ

  • @mmaghfai Nani kasema hayo? Kiswahili cha haswa ndicho gani hicho? Kiswahili sanifu ni kipi? Naomba unifahamishe!

  • @buashraf Kiswahili sanifu ni kile ambacho kinasomeshwa madarasani Afrika mashariki. ukienda matembezi nairobi au mombasa utaona kuwa watu hawaongei kiswahili cha kisawa sawa. Hata bongo ukifika utaona vijana wanaongea kiswahili ambacho sio sanifu. Kwa ufupi watu au vijana wanaibadilisha lugha ya kiswahili na wengi sikuhizi ndio lugha wanayotumia...Nataraji kuwa nimekuelimisha kidogo kaka Buashraf. Asante.

  • @mmaghfai Chambilecho wewe Bongo pia vijana wanaongea Kiswahili ambacho si sanifu, sasa unamshauri mwenzio afike Bongo akafunzwe Kiswahili gani?

  • @buashraf Kwanza, sijamshauru aende Bongo, La pili, nilimshauri kwamba TZ kiswahili kina afadhali kuliko Nairobi na Mombasa. Au una pingamizi fulani na fikira zangu? tufafanulie zaidi tafadhali, tupate kuelewa unachotaka kusema. Asante.

  • @mmaghfai Ukisema Nairobi sipingi katu unachokizungumzia. Lakini hilo la Mombasa sikubaliani nawe. Ukisema Unguja, Pemba na Tanga au niseme eneo lote la mrima au Upwa wa bahari Hindi nchini Tz nitakubali. Lakini Tanzania bara kila kabila husema Kiswahili kwa lafdhi zao. Mathalan "Kiswahili Sanifu" mtu husema "AFADHALI", baadhi ya watu TZ husema "afazali". Hilo hulipati Mombasa seuze Lamu. Watu wengine TZ husema "nasikiaga", "naendaga" kama vile ambavyo Kenya pia watu husema "nasikianga".

  • Comment removed

  • @ckathomi Are you a Meru? I used to speak Kimeru when I was really young.....

  • beautifull alegory that is how we pass information from sage to students without anyone knowing.

  • Mbele tosha bwana, nyuma ya nini?

  • @jakadenge i so agree with you!! hahahaha

  • Ukweli mtupu msumeno hata kama unakutu usiutie lawama. Waweza kupasua mbele na nyuma mradi una meno. Matona wewe ni dume. Heshima zote na upewe, na mola akubariki zaidi utupatie zingine tamu hivi.Mafumbo makali sana.

  • Msumeno na ukatee kwa utaratibu.Haraka yanini. Matona nakupa tano.Wewe ndiye kiboko yao.

  • this is alsome

  • ...bora msumeno wangu wa mnyororo!! unakata kotekote, mbele, nyuma, juu na chini tena haraka sana!!

  • Huo msumeno wako wa mnyororo umewekwa wapi?

  • mtu anitumie shamba wanalilima wenzio´tafathali

  • Hizi nyimbo zinazo maana ya ndani sana sifahamu sana lakini nafikiri msumeno ni mkia wa mwanamume nyimbo chafu sana hizi

  • Msumeno uso meno, ni msu si msumeno!

  • ...mbona hapa sikuelewi vizuri..Msu tuu? kwani kuna Msumari pia!

  • Hapa nimeichezea lugha kwa kutenganisha neno msumeno na kupata maneno mawili. Msu ambao ni upanga huo upanga hauna meno. Aidha hapa nimeitumia lugha kitamathali. Ninalenga jambo ambalo ni muhali kutendeka lakini nimenuia maana ya ndani ambayo siwezi kuieleza moja kwa moja kwenye ukurasa huu wa jumla jamala.

  • @buashraf please somoen write lyrics in Kiswahili, I love this song

  • kweli msumeno huo jamani

  • this is the best. thanks bakogo for this song.

    if you have any other taraabu song please post and remind me thanks again.

  • Big Up Matona

Loading...
Alert icon
0 / 00Unsaved Playlist Return to active list
    1. Your queue is empty. Add videos to your queue using this button:
      or sign in to load a different list.
    Loading...Loading...Saving...
    • Clear all videos from this list
    • Learn more