Added: 3 years ago
From: juicethedj
Views: 48,945
Sort by time | Sort by thread (beta)

Link to this comment:

Share to:
see all

All Comments (27)

Sign In or Sign Up now to post a comment!
  • Doo watu wa Mwambasa yenu kali,mnazi wenu hupandwa na wakwezi watatu,sie wa Tanga mnazi wetu hupandwa na mkwezi mmoja.

  • Huu wimbo na mgoma wake Original ni wa Pangani Tanga, uliimbwa na kikundi kiitwacho, JUHUDI mwaka 1965 malindi,Pangani. Safari band ime kopi.,

  • beautiful women and nice tune ... wooooooooow mmmmmmmmmmm i like it

  • Most sensual women on the planet are in Africa . You help but try to have a baby with these women ... seriously

  • Comment removed

  • ya kitambo!!! reminds me of harusi home.......last time i've heard & dance on it 17 years ago.......and didn't understand the meaning!!! lol

    leo mzee njo nafahamu!!

  • Comment removed

  • this tune reminds me the good old days in mogadisho.

  • @sanweyne100 sxb beentaa maaha dagaal qaxi siyad bare markii lagasoo noqday xasuus time waaye heesta aniga xitaa ohhh meeqa raadin jiray ......

  • Huku ni pwani. Hivyo vibwebwe ni vya Mombasa.

  • woooooooooow i like that woman so beuti..

  • This is is in Kenya...swahili weddings they normally perform like this, is not comoros

  • viva comoros zanzibaari

  • these ladies are not from Kenya are from Comoros Island but the song is Kenyan a very old one which is normally played in weddings.. fab song...

  • kiboko yake ?mama leo mtoto wangu?hutoshi wewe ?gari yangu yaenda mbio?dariver uko wapi?///?//?????best song evr still kiboko ya hote,

  • aaahhhh, jamani, hii nyimbo ni mzee saaana, lakini mimi bado napenda kuisikia...niko sahi miaka 32 na ninaishi ujerumani....lakini mombasa sita hisahau

  • Hata me naijua ni nzee sana lakin naipenda sana kuisikia inanikumbusha sana nilipokuwa shuleni Tz. Nami naishi Gulf in Oman.

  • Heeee! Safi sana hiyo nyimbo. Ulisoma Tz shule gani? Me ni kwetu kule. Sasa naishi France. Anani kwako MrNass.

  • Ndugu shushuu1 we wapi? Mie mkoani Tanga..au zaid nitumie e-mail yako..

  • Hi! MrNass. Me nimetokea Moshi Kilimanjaro. Nimesoma Forest Hill Morogoro, nimefanya kazi Zanzibar but Tanga sijawahikufika. I think ni pazuri. Wewe umemaliza shule mwaka gani? Meye nimemaliza form four 2004.

  • Hivyo viuno tuu vyanimaliza,Miss MOMBASA god bless.

  • hini vedeo unairokota wapi vile? comoro

  • are those really kenyan ladies

  • yes! my country is diverse and full of surprises. love home!

  • Ngoma safi.Ila ungetumia picha za Kenya.Tuna wanenguaji wa viuno Mombasa na miji mingine ya Waswahili hapa Kenya.Hawa nao wanatoka Comoro!

  • Beatiful voice

Loading...
0 / 00Unsaved Playlist Return to active list
    1. Your queue is empty. Add videos to your queue using this button:
      or sign in to load a different list.
    Loading...Loading...Saving...
    • Clear all videos from this list
    • Learn more