hey zulfa just watching this it remind me of maulidi back home riyadha please can you tell me when is the next maulid in feb what date inshallah i want to attend shukran
confused people, may ALLAH save all of them, and then they say this is rite, just look at how they acting, BLIND followers.... i bet some of them are just there to learn the dance moves.. it looks like the making of a music video, la hawla wa la khuwata illa billah
Hivyo, Mtume Muhammad Rehema na Amani juu yake, alipatapo kukaa na Sayyidna Abubakr, Omar, Uthman, Ally, Zubeir, Saad, Abdul rahman, Muadh, Salim, Ubay, Bilal, Abdullah, n.k. wakifanya hashuo hizi? Astaghfirullah! Watu wameacha ya maana ya kufanya. Hii siku ni siku aliyokufa habib wetu Muhammad jamaa wanasherehekea, siku ambayo waliompenda zaid habib Muhammad walilia siku hii. Allah awaongoe wote AMIN
hey zulfa just watching this it remind me of maulidi back home riyadha please can you tell me when is the next maulid in feb what date inshallah i want to attend shukran
xxsaudanassorxx 4 months ago
LOL BARAWANI BID'A CREW ARE CONFUSED, MAY ALLAH GUIDE ALL OF US
dabizzal90 7 months ago
confused people, may ALLAH save all of them, and then they say this is rite, just look at how they acting, BLIND followers.... i bet some of them are just there to learn the dance moves.. it looks like the making of a music video, la hawla wa la khuwata illa billah
jamal143 1 year ago
waislam kuna sunna hapo ya s.a.w. je sisi na maswahaba nani kati yetu anampenda sana mtume s.a.w.sisi hatuwafiki hata kidogo maswahaba.
swahaba gani basi kafanya canival kama hii .
rudini kwenye sunna waislam
SunnahWay 1 year ago
WHAT IS THIS ???? A3UDU BILLAH.
ahmedshani123 2 years ago
ashkaw umesema kweli hawana kazi,kumpenda Mtume nikufuata sunna zake mwendo wake sio kupiga makelel;e mitani,inasikitisha kuona ndugu zetu wamo kwenye usufi bila yakujijuwa.khasara
galbi5 2 years ago
Hivyo, Mtume Muhammad Rehema na Amani juu yake, alipatapo kukaa na Sayyidna Abubakr, Omar, Uthman, Ally, Zubeir, Saad, Abdul rahman, Muadh, Salim, Ubay, Bilal, Abdullah, n.k. wakifanya hashuo hizi? Astaghfirullah! Watu wameacha ya maana ya kufanya. Hii siku ni siku aliyokufa habib wetu Muhammad jamaa wanasherehekea, siku ambayo waliompenda zaid habib Muhammad walilia siku hii. Allah awaongoe wote AMIN
ashkaw2 2 years ago
جميل
badaral2 3 years ago
This is bida
mahsudwaziri 3 years ago
thank you! qb
qaboos0968 3 years ago