taarab
8:27
Added: 4 years ago
From: bakogo
Views: 87,526
Sort by time | Sort by thread (beta)

Link to this comment:

Share to:

All Comments (47)

Sign In or Sign Up now to post a comment!
  • how can anybody hate such a song?siku hizi taarabu hamna zpo ngoma tu..lol

    R.I.P ISSA MATONA

  • bora ungekufa wewe ukatuwashia issa

    

  • Kind words can be short and easy to speak, but their echoes are truly endless.

    The future is literally in our hands to mold as we like. But we cannot wait until tomorrow. Tomorrow is now.

  • MOLA AKULAZE MAHALA PEMA NA AKUSAMEHE ISSA HAKUNA ANAYE IMBA KAMA WEWE HAPA DUNIANI AMIN

  • Wimbo huu wanikumbusha Kongowea 1980s, tukiishi na mzee Saidi na mke wake marehemu Shamimu, Mungu amueke mahali pema peponi.

  • Sasa yajalisha kama ni mSomali or not? He is good artist and that is all that counts.

  • this video is very good some time and for our culture in est africa

    ok.... continue because its the verity .....

    for us ....

  • jaman me nataka nione huo mtende unavochanua chanuuuuuu...hahahaha...lov thz song wallah...mzee lakin mashallah maneno matam...

  • i love this song,

    continue to sing for us like that because it is a very melody for the stress and when the life is very bad some time in this country ..... i want to leasten many others song like this...... thank's asanta sanaa...

  • love it never been to coast en i have to visit this time.Kiswahili very nice i only speak Nairobi sheng i gotta learn the real deal to understand this song coz i love taarab

  • love it

  • post more Issa Matone ngoma safi sana zatukumbusha ujana wetu.need more please.Marekani hatupati hivi vitu safi...

  • Ndugu Bakogo kama unazo nyingine za Issa Matona zirushe zinanikumbusha home Tanga miaka ya 80 nami niko mbali karibu na asubuhi uarabuni.

  • Matona wewe kweli ni profesa wa maktaba ya historia na sociologia.Maneno uliyoyasema nimeyachungulia kinaganaga na darubini na nimeona yote ni ya kweli.

  • Matona wewe ni kiboko yao. Nimekupenda hadi nika kuinamishia. Heshima zote ninakupa wafurahisha roho yangu sana hapa marekani. Nikirudi Kenya nitakutafuta wewe lazima utakula $500.00 zangu zakulianisha koo yako. Seniorr citizen wachache wanaweza kutuburidisha kama wewe.

  • Maaaama ananikumbusha mbali sana !enzi hizooo kwenye maharusi lazima zipigwe!muimbaji ndo huyu bwana ,na mashahiri yake matamu!mungu amuweke pema peponi!

  • eehh bwana...mie hapa wa mombasa napenda hiooo mishono....eehh bwana babu jinga mali yako inaliwa..tia akili maji yana jaaa telee...nice song

  • Mzee umepewa talanta ya kuimba. Zidi kutupa tamu bora zaidi Issa Matona. Sisi hapa USA twazidi kujivunia nyimbo zetu na utamaduni wetu wa Afrika Mashariki. Unamafumbo makali kweli kweli ndani ya nyimbo zako.

  • Naam mambo ya babujinga hayo

  • The guy is sexy is he married i would like us to meet thought am 20 yo i dont mind he is looking hot

  • he is dead already

  • No is not. Gen Eid.

  • kathomi r u commercial(sex)I really pity u coz if u r only 20yrs na una uchu wa mbwa, then I dont c u ciing the yr 2020 its unfortunate.Tamba taratibu mwanangu we still need u!!!!!!!!!! Lawi (uk) aldee93

  • Nimekubali kwamba huyu mwimbaji aniamba na ujuzi nyingi. Nyimbo hili ni tamu sana. Na tena, wanaocheza wanacheza vizuri kweli. Wenzetu, ni muhimu kabisa tusitupe hizi nyimbo na mchezo za kienyeji.

  • mano adier yawa ayiegodo.

  • Erokamano ahinya kuom lando pachi e wachni omera. Di awach ni, Ugwe oromo gi Imbo e weche ma odok kor ka Tumbe Kany Achiel Gi Kit Kware Gi Dayegi Machon. To bende, Dho Ot ma oyere ni wito Kido kod Tumbe kware gi dayegi machon to ero lalo mana mus ma oting'o jogi duto e piny ka.

  • Is the one in pink pregnant lo!!hawa wataarab wafundishwe jinsi ya kupungua uzito maybe when i visit il have a conference about belly weight loss to prevent certain complication eg cva and diabetis .Overall nice song

  • For more Taarab Videos and Audio, check out eastafricantubeDOTcom. Hottest site for Taarab Videos and Audio.

  • toba maulana we! heh nimekumbuka nyumbani jamani mie

  • U idiot he ain't somali. Keep ur stupidity to urself n ur people.

  • You sure do not know what you are talking about. We shall excuse you, but enjoy taarab kaka

  • ....si lawama mimi kufa juu yako hehehe kwani nzi kufa juu ya kidonda si haramu eti!!! upo?

  • hiii

  • haaaaaaaaaaaaaaaaluuuuuuuuuuuu­uuuuuuuu lakini kaiba mombasa root hio nyimbo

  • waunguja Tupoooo!!! Nyimbo bomba

  • Wa Unguja mpo?! Waaawaaa !!

  • Hivi sasa Wa kesho Hamna!!! Sawa!!! NYomaba kabomoka, kama humpendi shika njia

    Hujambo Bw buashraf? Tupo!

  • hahahaha nyumba imebomokaaaa bwaaaaaaaaa hahahaha

  • nimzuie vipi jamani?kamba au pingu nisaidieni wajuzi.dunia mitihani

  • Licha ya kamba na pingu hata kwa minyororo hakai. Mzuie kwa kumpa nyama ya ulimi. Wasikia bwana? Usipompa nyama tamu ya ulimi mwenzangu utalia "kilio cha mbwa midomo juu"!

  • bwana buashraf dear,zooote hizo nishazijaribu....ulimi mtamu,tena kila kiungo nikimtilia,autakapo hewala...hajauliza ashaandaliwa............lakini du! naona hicho kilio cha mbwa midomo na miguu juu mwaka huu nitakijua....wuu!!wuu! jamani,kitendawili hadharani........

  • Licha ya kamba na pingu, hata kwa minyororo hakai. Mzuie kwa kumpa nyama ya ulimi. Wasikia bwana? Usipompa nyama tamu ya ulimi mwenzangu utalia "kilio cha mbwa midomo juu"!

  • Sauti imesharudi katika siku iliyofuata,ilikuwa jana yake ni tatizo la server.Asanteni,musiwache kutuma za issa matona kwa wingi.

  • Jamani mbona kwangu hamna sauti?,Issa Matona ninamuona hapa anaimba yeye na kundi lake,lakini sauti hamna,nimechokora kila sehemu vile vile siusikii wimbo,anaejuwa anisaidie.

  • haaaaaa. Jamani nilikua naitafuta audio au video ya hii nyimbo lakini finally i found it. Ahsante saaaaa yaaani u made my day. Kama Atekee alivyo sema tunakuuoomba saaaana ueke nyimbo zake zoote kama unaweza sana sana wimbo wa "KimasoMaso, Msumeno" . Yaaani ahsante sana. Kama una za Melody au TOT naomba ueke pia... Ahsante.

  • Hello Bakogo, Asante kwa kutuma wimbo huu mzee wa hakima Issa Matona Mungu aleza roho yake mahali pema peponi.Naomba utume na vibao vyake vingine kama Shamba , kimasomaso,

    msumeno, kinyozi na vingine waaaaaauuuuuuuuu yaani

    nimeburudika sana.ubarikiwa

Loading...
Alert icon
0 / 00Unsaved Playlist Return to active list
    1. Your queue is empty. Add videos to your queue using this button:
      or sign in to load a different list.
    Loading...Loading...Saving...
    • Clear all videos from this list
    • Learn more