I tell you my fellow Christians, that all the sins in this world is accountable to the churches, for if they only unite and upheld free giving instead of buying and selling, there could be no robber and thieves among them, nor is there a chance for athiestic view to rise. The Way of God had suffered abusive speech from the enemies of God because the churches are harlot.
Ngudu zangu katika kristo, Wimbo huu una ujumbe wa pekee kwa watu wote: kwanza, kwa wale waliokwishaoa au kuolewa; pili kwa wale wanaotarajia kufanya harusi. Zaidi ya yote, ujumbe unatolewa kwa kanisa; kwani kanisa ni bibi harusi na Yesu ambaye ni Bwana harusi, hapendi kouna washiriki wakiibomoa nyumba yake. Mungu abariki kwaya ya Kinondoni SDA pamoja na wale wote wanaosikiliza wimbo huu.
Wimbo huu ni wa pekee kwa watu wote: Unatoa ujumbe kwa wale waliokwishaoa na kuolewa pamoja na wale wanaopanga kufunga harusi.
Zaidi ya yote, wimbo huu ni kwa ajili ya kanisa, kwani kanisa ni bibi harusi na Yesu ambaye ni Bwana harusi hapendi kuona washiriki wakibomoa nyumba yake. Mungu abariki Kinondoni SDA Choir pamoja na wale wote wanaosikiliza ujumbe huu.
You guys did it well.
someteoa 9 months ago
iyi nindoa nzuri sasa
jeanmarie41 1 year ago
This has been flagged as spam show
.
I tell you my fellow Christians, that all the sins in this world is accountable to the churches, for if they only unite and upheld free giving instead of buying and selling, there could be no robber and thieves among them, nor is there a chance for athiestic view to rise. The Way of God had suffered abusive speech from the enemies of God because the churches are harlot.
.
conceil8 2 years ago
RIP Mama 2:54, 3:25
msamaria120 2 years ago
Jamani hilo sanduku lina nini???hehe Kweli linaitaji uvumilivu, hadi koti asaidiwe kufungua...basi nami anisaidie kufunga kitaamba kichwani...nipe nikupe mapenzi yadumu :-)
ochienol 3 years ago
Ngudu zangu katika kristo, Wimbo huu una ujumbe wa pekee kwa watu wote: kwanza, kwa wale waliokwishaoa au kuolewa; pili kwa wale wanaotarajia kufanya harusi. Zaidi ya yote, ujumbe unatolewa kwa kanisa; kwani kanisa ni bibi harusi na Yesu ambaye ni Bwana harusi, hapendi kouna washiriki wakiibomoa nyumba yake. Mungu abariki kwaya ya Kinondoni SDA pamoja na wale wote wanaosikiliza wimbo huu.
BarakaNyakrere 3 years ago
Wimbo huu ni wa pekee kwa watu wote: Unatoa ujumbe kwa wale waliokwishaoa na kuolewa pamoja na wale wanaopanga kufunga harusi.
Zaidi ya yote, wimbo huu ni kwa ajili ya kanisa, kwani kanisa ni bibi harusi na Yesu ambaye ni Bwana harusi hapendi kuona washiriki wakibomoa nyumba yake. Mungu abariki Kinondoni SDA Choir pamoja na wale wote wanaosikiliza ujumbe huu.
BarakaNyakrere 3 years ago