Added: 3 years ago
From: ramso007
Views: 108,262
Sort by time | Sort by thread (beta)

Link to this comment:

Share to:

All Comments (43)

Sign In or Sign Up now to post a comment!
  • bi khadija mwambie tena, viguo vakugawiwa kipi unachoringiya!!!! bwana uliyemteka mwenye mali kesha juwa, hehe lete raha

  • khadija Kopa is coming to Milton Keynes 29th of October.

    facebook search for africansplashuk

  • holla holla sasa hapo hapo. midundo taaarab

  • Rafiki yangu kutoka tanzania mala yakwanza akasema shoga nikachangaa akasema mimi rafiki yake ni shoga watazania ni rafiki lakani sisi wakenya hatuipendi io jina, lakini ukweli io ndio kiswahili sanifu, mkenya Las Vegas

  • Maskini, msi mnyang'anye.

  • Halo halo hapa ndipo sasa, nitavuka mpaka sasa

  • doh!hii ndiyo mishangingi kweli

  • @TheAbdu1980 wasema mashangingi? hawa ni mashambega

  • mhh waswahili?

  • this song is like my mom's favorite song.

  • I thought shoga meant =  gay mbona wana sema una ringa shoga?

  • @cunsuri ,shoga kwa kiswahili sanifu ni rafiki.

  • @TheBlessedbeyond Oh that is scary bruvva... im gonna stick tp Rafiki

  • @cunsuri The term means ' Girlfriend' which I suppose also applies to Gay Friends

  • @kokwi wow, lol. I hate the word shoga. Rafiki is the best

  • mhuu mama wewe umooo mwacheni aringe wakati unamruhusu akizidiwa ataenda loliondo kwa babu kikombe kimoja tu kila kitu poa

  • ugali mototo ni tamu..

  • hajapima huyo asinge kubali kusutwa

  • hoye hoye!!!!!!!!!!! eti unarusha roho na matusi chungu nzima. kaa mwanzo upime unacho chakuringiya??????????????????

  • hi everyone, I'm not from Africa but i love african taarabs, so i'd like to know where i could watch a taarab of "Fatima dogodogo" i realy love here, dn't know if you know her.. asanté sana lol

  • Comment removed

  • hahaha dada khadija wape............... nikweli wanaringa wamepima mimi roho imetuliya nimepima tena nimetuliya....................­...

  • vituko uswahilini

  • i love her....

  • ilove you two in one khaija kopa.

  • haloo halooo!! imetulia hiyo...kazi yako kuvuruga....na vimini vya kutisha,,kiulaya unaiga,,

  • haloo haloooo nalende jahazi hilo!!!!!!!!!!!!!, khadija kopa bibie wamipasho muulize vizuri amepima huyo? nini anachoringia?

  • unaringa ina mana gani ?

    jimbo njema kabisa

  • conceited / boasting

  • jimbo hili lizuri mno...ati aringa amepima.

  • conceited,

  • eti aringia figa,,na vimini vya kutisha,,ulaya waiga,, wee,,

    sione soo,,sema.

    mziki taratibu,,sante sana.

  • mama wacha kuchukuwa mambana za watu. Tafuta yako ukwini iko mingi.

  • ai jemeni.............wacha niache tu!

  • yaaaani maneno maneno yake jamani haloooo unaringa umepima

  • my mum's favourite song,. i like mavazi haki nice dressing's

  • same tradition in country ;;;; amazing

  • unaringa shoga

  • ok sir

  • asante sana .

  • Please post more of Khadija Kopa. One of the greats of modern taarab.

  • hahaha nice one Ramso007 shukran!

Loading...
Alert icon
0 / 00Unsaved Playlist Return to active list
    1. Your queue is empty. Add videos to your queue using this button:
      or sign in to load a different list.
    Loading...Loading...Saving...
    • Clear all videos from this list
    • Learn more