Added: 3 years ago
From: standardgroupkenya
Views: 8,932
Sort by time | Sort by thread (beta)

Link to this comment:

Share to:

All Comments (13)

Sign In or Sign Up now to post a comment!
  • Kwa kweli, dhalili vile serikali ya kenya unavyobagua waswahili wenzetu mombasa, hamna hata robo jitihada ya kujaribu kutimiza maslahi yao!..lakini haya yote ni makosa ya wakoloni, kuidumbukiza mombasa kenya, kwani mombasa ni Tanzania!

  • Mkuki2000. Mombasa haijawahi kuwa sehemu ya Tanzania hata siku moja. Mombasa ilikuwa sehemu ya Utawala wa Sultan wa Zanzibar. Wakati huo Zanzibar haikuwa sehemu ya Tanzania. Hakukuwa na Tanzania bali Tanganyika! Ukizingatia historia vizuri, Mombasa ilikuwa sehemu ya Kenya kabla ya Zanzibar kuungana na Tanganyika. Mombasa ilipoungana na sehemu nyingine za Kenya kwenye vikao vya Lancaster, ndipo Nyerere naye akazua suala la Zanzibar kuwa sehemu ya Tanganyika. Usisahau shinikizo za Marekani!

  • Comment removed

  • mkuki2000 Hiyo miji ulioitaja ilikuwapo kabla ya Tanzania. Nami nakupasha kwamba upwa wa Afrika Mashariki tangu Kismayu mpaka Kilwa ulikuwa kwenye himaya ya utawala wa Sultan wa Zanzibar. Hayo maeneo yalijumuishwa kwenye nchi zayo baada ya uhuru. Hata tukajitia purukushani, Tanzania imetokana na Tanganyika na Zanzibar! Ukisema kwamba Mombasa ilikuwa kwenye himaya ya Sultan wa Zanzibar, utakuwa umegonga ndipo. Miji ya Mombasa, Malindi, Lamu, Manda, Siu, na Pate, yote ilitawaliwa na Sultan.

  • Wee fikiria kwanini hiyo serikali yenu ya wakukuyu inawabagua wamombasa, ni kwasababu wanajua kwamba hawo ni waswahili halisi, kwa mila, desturi, dini lugha hata utamaduni.

  • mkuki2000 Nitakupa ukweli wa mambo. Si watu wa Mombasa tu wanaobaguliwa bali waislamu. Mambo yamezidi hasa kwa hivyo visingizio vya ugaidi. Na serikali ya Kenya inajumuisha makabila mengi. Je unajua mashauriano yaliyotukia Lancerster kuhusu hatma ya ardhi iliyoko maili kumi kutoka katika upwa wa Kenya? Kama huna habari, na ili kujifahamisha mambo zaidi, niko tayari kukupa taarifa zote. Mara nyingi huwa tunataka kufidikiza ukweli ilhali mambo yanajidhihiri yo yenyewe paruwanja!

  • Okay.. that was a great video! really made ma laugh! I liked it alot! I wanna watch it over and over again now!! I t really had me laughing!

  • I wonder how much millions Nakumatt, Govt, and City Council for dereliction of duty to these people. Perhaps KSh. 5million per each person lost?

  • bw mongou, am very proud of you! keep it up, chinyu. toror kainet tap koret!

  • Comment removed

  • Mtu hushinda mahali kwa siku moja. Hicho ndicho Kiswahili. Kama ni siku zaidi ya moja inabidi useme " wamekuwa wakishinda kila siku kwa muda wa siku sita".

  • Comment removed

Loading...
Alert icon
0 / 00Unsaved Playlist Return to active list
    1. Your queue is empty. Add videos to your queue using this button:
      or sign in to load a different list.
    Loading...Loading...Saving...
    • Clear all videos from this list
    • Learn more