SKIZA NYIMBO KAMA WAONA 2KO CHEAP USIANGALIE...kuna wengine sijui wazimu hoo hii nyimbo ya tz mara kenya(ukabila 2) wee skiza usitakee kujua umetoka wapi wala hakuna pahali kumeandika huu wimbo wa kenya or tz.enjoy guyz
@bamariz Hapo umesema haina huja kuijuwa asili ya nyimbo wala mtunzi na mgani wake, chamsingi lina tukonga nyoyo zetu siye wapenda Old Coastal Taarab.
Kweli wimbo zuri, lakini mbona nyinyi mko cheap hivyo kuweka picha za kihindi hapa. Kwani warembo wa kenya, TZ na Zanzibar washa kufa wote. Jivunie kuwa wewe muafrika na uache inferiority complex hiyo unatuonesha hapa.
Yes indeed-I should have included birthright, immigrants etc. But in my mind I ment anyone who regards themselves as African-"claim your identity and rightful place" yes indeed- we have "Africans whose ancenstry origins are from else where- this has been the case for hundreds of years to be precise. Thank you
I am tired of us Africans, putting each other down..I do not care what part of Africa you are from! I mean anyone who's ancestory is African. I just want to embrace all that is African, we went through colonialization in the physical sense, now the colonial armies are out of Africa, yet we do a perfect job destroying Africa! by allowing religious and colonial mentality run our continent! all those fuddy duddy in politicians holding us back.....where are all the educated Africans?
silly pple keep on arguing btwn kenya, and tanzania what nonsence?we are all east africans,the surprice here is the indian clip!bamariz better find us NYOTA NDOGO'S clip.
Marvellous, Wonderful. Great! Very Great! I want to show you what musicians of Brazil and Argentina are doing with a accordion. If you want to look, hear and see, please search for these 3 videos, everyone is better than the other:
Voninho e Marcelo
Tio Mederico- Dvd Os Serranos 40 anos- Sempre Gaúchos
Masakuu2000 usiwee too harsh ktk kujibu juu ya masuala ya dni, Galbi yuko right dini yetu inaruhusu kukumbushana, kama tarab kila mtu anapenda, na histry ya hiyo taarab ni zanzibar. sijui wewe mwenzangu uko dini gani but that's not the way kujibu kama hivo.. >>>
tumeambiwa unapooona baya likataze,nakama waislamu basi tukatazane mabaya na tuamrishane mema,auwewe si muislamu chunga usemayo juwa kuwa una malaika wawili wanaandika kila usemacho usione sifa bali unajidhuru mwenyewe,binaadamu yumo hasarani soma uelimike.Mola akusaidie ujuwe baya na uliwache na zuri ulifuate Amin.
Wimbo huu wa Mzenji alikuwa Dubai na kikundi chake.
Hii ya uhindi kweeli imeharibu, samahani mwenye kuweka hii nyimbo.
fadhilaification 3 months ago
SKIZA NYIMBO KAMA WAONA 2KO CHEAP USIANGALIE...kuna wengine sijui wazimu hoo hii nyimbo ya tz mara kenya(ukabila 2) wee skiza usitakee kujua umetoka wapi wala hakuna pahali kumeandika huu wimbo wa kenya or tz.enjoy guyz
bamariz 5 months ago 2
@bamariz Hapo umesema haina huja kuijuwa asili ya nyimbo wala mtunzi na mgani wake, chamsingi lina tukonga nyoyo zetu siye wapenda Old Coastal Taarab.
MrRammearly 1 month ago
Kweli wimbo zuri, lakini mbona nyinyi mko cheap hivyo kuweka picha za kihindi hapa. Kwani warembo wa kenya, TZ na Zanzibar washa kufa wote. Jivunie kuwa wewe muafrika na uache inferiority complex hiyo unatuonesha hapa.
robertingramu 7 months ago
Huyu nilonae sasa,anipendeza kwa mengi. Raha na kila anasa,ndio ukaona sikongi. Sikuregei kabisa,nilikovunja sijengi. Menichosha vyako visa,nakujua kwako kwingi. Ulidhani ntakosa,hukujuwa mko wengi......
abdulhamid1998 8 months ago 2
lol! eti kenya taarab.. no balls huh?
troublenassir 9 months ago
love the song
KaY0786 1 year ago
is lovely song
bayaan13 1 year ago
Comment removed
othmana2 1 year ago
Yes indeed-I should have included birthright, immigrants etc. But in my mind I ment anyone who regards themselves as African-"claim your identity and rightful place" yes indeed- we have "Africans whose ancenstry origins are from else where- this has been the case for hundreds of years to be precise. Thank you
bidiiwangui 1 year ago
I thought there are indians who are africans too.
Generalidibabu 1 year ago
I am tired of us Africans, putting each other down..I do not care what part of Africa you are from! I mean anyone who's ancestory is African. I just want to embrace all that is African, we went through colonialization in the physical sense, now the colonial armies are out of Africa, yet we do a perfect job destroying Africa! by allowing religious and colonial mentality run our continent! all those fuddy duddy in politicians holding us back.....where are all the educated Africans?
bidiiwangui 1 year ago
@bidiiwangui
ramz411 1 year ago
silly pple keep on arguing btwn kenya, and tanzania what nonsence?we are all east africans,the surprice here is the indian clip!bamariz better find us NYOTA NDOGO'S clip.
ngwaja 1 year ago
bamariz wakumbuka kwenu jimvu
99dread 1 year ago
This has been flagged as spam show
Marvellous, Wonderful. Great! Very Great! I want to show you what musicians of Brazil and Argentina are doing with a accordion. If you want to look, hear and see, please search for these 3 videos, everyone is better than the other:
Voninho e Marcelo
Tio Mederico- Dvd Os Serranos 40 anos- Sempre Gaúchos
CHANGO SPASIUK EN FORMOSA KILOMETRO 11
gerogero2006 1 year ago
amazing song!!!!! i love bollywood too but i would prefer this song without the vid
sophiamophia 1 year ago
Nyimbo sahihi bila shaka.. lakini kuna dosari ya picha
ebut2cmore 1 year ago
is abdallah issah from kenya? i rly wanna know the truth here. i am actually desprete on knowing the truth.fanxxxxxxxxxxxxxx
waminkumaupaku79 2 years ago
issa juma came from tanzania
leilahmw 2 years ago 2
@waminkumaupaku79 his first wife is Kenyan and 3 kids....him,no idea
ildizastro 1 year ago
makumbusho jamani!!! Leo tena.....
atmaf05 2 years ago 2
huko ni kuasbudu rangi za watu weupe, na ni udhaifu na uchoyo wa mawazo
fbensony 2 years ago
what are this indians doing in our culture?their should be a lovely swahili woman in her lovely coloured lesso
majjitu 2 years ago
Great love long...........That freaking indian movie ruins it, whyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy.
jibril011 2 years ago 9
Masakuu2000 usiwee too harsh ktk kujibu juu ya masuala ya dni, Galbi yuko right dini yetu inaruhusu kukumbushana, kama tarab kila mtu anapenda, na histry ya hiyo taarab ni zanzibar. sijui wewe mwenzangu uko dini gani but that's not the way kujibu kama hivo.. >>>
ASIFSADDIQUE 2 years ago 2
lol.............. that my reaction for this the song and the video is too different.
unfaithful1011 2 years ago 2
I just love this song he use to
be my jirani when I was in BEAUTIFUL
Zanzibar now I totaly missed it soooo muchhhh.......lots of romantic memories.
Tanzania is the best country ever ....love it so much...
bobkubwa78 2 years ago 2
i met him once like 12 years ago in mombasa at a wedding, very great guy hope he is still alive. ur the best Abdallah......
omarmoke 2 years ago
Awesome songgggggg!!!!!!
mdchimlo 2 years ago
kwani nyie hamna wAfrica wa kuwapresenti?
nyorafrancis 2 years ago 5
tunaomba u apload na huwi tena
ommynass 2 years ago
tumeambiwa unapooona baya likataze,nakama waislamu basi tukatazane mabaya na tuamrishane mema,auwewe si muislamu chunga usemayo juwa kuwa una malaika wawili wanaandika kila usemacho usione sifa bali unajidhuru mwenyewe,binaadamu yumo hasarani soma uelimike.Mola akusaidie ujuwe baya na uliwache na zuri ulifuate Amin.
galbi5 2 years ago 2
Good documentary footing..I forget the name of the Hindi movie
Fezzoh18 2 years ago
dilwale dulhania le jayenge
jazzistani 2 years ago 2
tobaaa!! kakumbuku utamu wa zabibu lol... mh"! leo tena...
1munaa 3 years ago
PENDA AMA KWENDA ""BADI'
mohamedbadi09 3 years ago
salam mwezengu ..nakubali
mohamedbadi09 3 years ago
aibu WAZANZIBAR hamna dini nyie upuuzi kwendweni uko,Mola atawahidi
galbi5 3 years ago
EBOO YAMEKUJAJE HAYOOO
mohamedbadi09 3 years ago
Kaa huko mbali nasi na dini zako.Watafuta nini humu kwa dunia ya taarab.Neneda msikitini hukaubiri humo.Sisi twa penda taarab na huto tubadilisha.
Masaku2000 2 years ago
nyimbo nzuri hapo kila ilikuwa na kanga alikuwa na kuazimaa tena nikuwa bshow mamabo kama haya gharama bukhaatir
khuichui978 3 years ago
Bamariz, nakutumia salamu zenye thamami za kindugu kutoka London. Asante sana, nyimbo imenipendenza sana. Tutumiye lyrics.
fiqaye 3 years ago
Dugu yangu, sina ya kusema, Asante kwa dvd. Nakutakia heri na afia jema.
Generalidibabu 3 years ago
maneno hayo...wataka tena zabibu umekumbuka utamu hata nimethubu kukupa tena haramu..eboooooooooo post zengine bamariz
coastalboy123 3 years ago
dooh!!dooh!!!nyimbo kali abui..ati leo tena
khuichui978 3 years ago
nyimbo nilikuwa niiiktafuta toka bongo..
metalicsmile80 3 years ago
nyimbo hii imetuliya na umetumika utaalamu,maishi, vyombo,na mwimbaji pia
chimbuni 3 years ago
do do nyimbo hii kali sana yanikumbusha msa,naitamani sana
meddy78 3 years ago
unatamani ndugu yangu.poa tu nyimbo ni nzuri kweli.
poa
midofabregas 3 years ago
maneno hayo basi.....leta raha!
kakaz357 3 years ago