watu wote tunatelewa kuwa kiswahili cha Kongo kimechanganywa na kifaransa, hata sie watanzania pia tunachanganya kiingeleza japo sio sana kama wakenya, wakongo asilimia 100 walielewa nini anaimba, na wale waliomwomba roho mtakatifu kutafsiri wameelwa, ongezeni imani wapendwa sio kumsemasema mtumishi oh kuhusu kiswahili chake, Acha mi nudunde na Yesu ameeeeeeen
Dada Faith Kutoka USA,MD mie ni mwana MD mwingine, PG county!..barikiwa na hapo umeamba kweli!..la mno ni kutiana shime..Mimi nilikuwa mwalimu wa lugha mle jamhuri zama zile,na nakuunga mkono kabambe!..fani ya lugha ni pana sana !..kuna vipengele vingi vyake kiasi kwamba hata sie waeledi wa lugha hatuwezi kuvipitia vyote..kila sehemu ya Afrika ya mashariki na kati ina mpangilio wake wa maneno.Pasina kutoleana changamoto jameni tukubaliane kwamba mchungaji huyu ana kipawa maradufu pasina shaka!
Bwana asifiwe Mchungaji Ushindi .Mimi ni ndugu Sammy hapa canada.Nafurahi sana kwa nyimbo zako zote ila nasikitikika sana ginsi uliibiwa zamu sana kwa kutukana munyimbo eti "wakisha kukatonga mimba",hapa ulipata ile katika Biblia gani?
hi Pastor Sammy. Mimi naitwa Faith kutoka USA, MD. kiswahili saa zingine ni kigumu lakini naami alikuwa anamaanisha kutunga mimba. angalia nyimbo zote amechanganya lugha. usiwe mwepesi kuhukumu.
fikiria mimi ni muimbaji pia, lakini sio mcongo sasa jaribu kufikiria nikijaribu kuimba kikongo lazima nitachemsha kidogo. hebu tujaribu kutiana moyo. na sio kuhukumiana tupendane na tusiangalie weakness tulizonazo.
Mikono juu
jamboNairobi 7 months ago
Brilliant!
jakadenge 10 months ago
Comment removed
aroko40 1 year ago
Comment removed
aroko40 1 year ago
dunda with insible man.
sctoweett 1 year ago
I hate yesu( jesus) but this guy really good.
sctoweett 1 year ago
@sctoweett Jesus Loves You!!
ABRROB2008 3 months ago
I AM LOOKING FOR A SONG AND THE WORDS ARE: YESU NI MWOKOEI WA ROHO YANGU EEH. PLEASE CAN YOU HELP.
nasyaw 1 year ago
Fantastic song. Blessed be Pastor Emmanuel...God bless you and your family and thanks to gracempnda for uploading this song
TzVc100 1 year ago
Your blessed, keep up. Im blessed becouse of you.
Kiswahili is kiswahili regardless where its coming from.
Im from kenya mombasa, in the USA but i speak very well swahili.
NaimiNamu 1 year ago
watu wote tunatelewa kuwa kiswahili cha Kongo kimechanganywa na kifaransa, hata sie watanzania pia tunachanganya kiingeleza japo sio sana kama wakenya, wakongo asilimia 100 walielewa nini anaimba, na wale waliomwomba roho mtakatifu kutafsiri wameelwa, ongezeni imani wapendwa sio kumsemasema mtumishi oh kuhusu kiswahili chake, Acha mi nudunde na Yesu ameeeeeeen
kokusima 2 years ago
Dada Faith Kutoka USA,MD mie ni mwana MD mwingine, PG county!..barikiwa na hapo umeamba kweli!..la mno ni kutiana shime..Mimi nilikuwa mwalimu wa lugha mle jamhuri zama zile,na nakuunga mkono kabambe!..fani ya lugha ni pana sana !..kuna vipengele vingi vyake kiasi kwamba hata sie waeledi wa lugha hatuwezi kuvipitia vyote..kila sehemu ya Afrika ya mashariki na kati ina mpangilio wake wa maneno.Pasina kutoleana changamoto jameni tukubaliane kwamba mchungaji huyu ana kipawa maradufu pasina shaka!
MBWIRIAHK 2 years ago
Bwana asifiwe Mchungaji Ushindi .Mimi ni ndugu Sammy hapa canada.Nafurahi sana kwa nyimbo zako zote ila nasikitikika sana ginsi uliibiwa zamu sana kwa kutukana munyimbo eti "wakisha kukatonga mimba",hapa ulipata ile katika Biblia gani?
Tuwe pia na kiasi na hekima katika huduma .
Ubarikiwe
Pastor Sammy .
solomonkabyemera 2 years ago
hi Pastor Sammy. Mimi naitwa Faith kutoka USA, MD. kiswahili saa zingine ni kigumu lakini naami alikuwa anamaanisha kutunga mimba. angalia nyimbo zote amechanganya lugha. usiwe mwepesi kuhukumu.
fikiria mimi ni muimbaji pia, lakini sio mcongo sasa jaribu kufikiria nikijaribu kuimba kikongo lazima nitachemsha kidogo. hebu tujaribu kutiana moyo. na sio kuhukumiana tupendane na tusiangalie weakness tulizonazo.
just try to make a point. be bless. peace.
babefay4 2 years ago
nikweli tunadunda mu YESU wala htuna wasiwasi. GOD bless you pastor
binwasgloria 2 years ago
really nice !!
jifn 2 years ago