waislamu gani hawa wafanyao machafu kuchanganyika na wanaume kweli dunia imekwisha wamefutwa haya huyo bala anfanya nini katika ubunge kenya imeharibika sana kwa anasa naona haya kusema nimezaliwa kenya mtu akiona mambo kama haya kumbukeni kuna na mungu hatukujiumba sisi tumeumbwa jamani kuna na jammi ndogo zinazo tufata zengatieni enyi wanadamu.
Haifai hiyo ni fitna kabisa, jimama lizima kwenda mkalia mume wa mtu mapajani, weshaingiza ibilisi hapo, hivi kesho akienda zini naye akamvunjia mwenziwe ndoa yake watamlaumu nani?
Ndiyo ni Athens katika ofisi ya jumuiya ya watanzania
kaygreko 5 months ago
ahh hapa athens???
sumaridesfree 6 months ago
Hehehehe waislam jina haooo na mambo yaoo
TheMistrigal 11 months ago
waislamu gani hawa wafanyao machafu kuchanganyika na wanaume kweli dunia imekwisha wamefutwa haya huyo bala anfanya nini katika ubunge kenya imeharibika sana kwa anasa naona haya kusema nimezaliwa kenya mtu akiona mambo kama haya kumbukeni kuna na mungu hatukujiumba sisi tumeumbwa jamani kuna na jammi ndogo zinazo tufata zengatieni enyi wanadamu.
mizzz138 1 year ago 2
Haifai hiyo ni fitna kabisa, jimama lizima kwenda mkalia mume wa mtu mapajani, weshaingiza ibilisi hapo, hivi kesho akienda zini naye akamvunjia mwenziwe ndoa yake watamlaumu nani?
Mbula67 1 year ago
heshimuni hayo mavazi ya kiislamu na muwe na adabu kamili nonsence
dropded27 1 year ago
huyo akini kalia mimi nsha kwisha
27356mm 2 years ago
@27356mm hahahahahaha lucky it wasnt you!!
nawal01 9 months ago