Ni Kweli kabisa na ninaipenda kibwagizo wa wimbu huu kwani kwa kweli, ni jukumu letu kama wananchi. Tuwawekao bungeni na Rais yafaa waelewe kwamba bila mwananchi wa kawaida, wao hawana kazi hivyo basi yawabidi watupe wasaa wa kutoa maoni yetu. Love this song and the lyrics.
swt collabo maze, frm the lyrical bigwigs
lindawnd3 6 months ago
This has been flagged as spam show
It is our responsibility 4 all citizens.. U and me, ahahahha..nice song man..this is smart..he know what's saying..
Ramsey652 9 months ago
It is our responsibility 4 all citizens.. U and me, ahahahha..nice song man..this is smart..he know what's saying.
Ramsey652 9 months ago
lol pro u awesome
minnelaga 11 months ago
kazi nzuri mno big up to prof jay na mwana fa
kiokote2011 1 year ago
Kazi njema kakaaz!
smyzy 1 year ago
OBAMA 2008 - CHANGE IS WHAT WE NEED
tamaduni 3 years ago
Ni Kweli kabisa na ninaipenda kibwagizo wa wimbu huu kwani kwa kweli, ni jukumu letu kama wananchi. Tuwawekao bungeni na Rais yafaa waelewe kwamba bila mwananchi wa kawaida, wao hawana kazi hivyo basi yawabidi watupe wasaa wa kutoa maoni yetu. Love this song and the lyrics.
cassandrarust 3 years ago
si inafahamika serikali ni kwa ajili ya wananchi,na sisi ndiyo wananchi lazima tuijenge inchi...hapo vipi?? hapo sawa???
PKB10 3 years ago
Comment removed
DAVIDGIDEON1 3 years ago
ni jukumu letu au sio prof jay? kabisa ba mkubwa ujumbe umetupa vilivyo.. shukrani
samgabriels 3 years ago
haya basi hongera sana muzee wa bongo
mimi ni sipmle boy form North Dakota(U.S.A)
I think this video touch many people ,like:
Belly from Boston,yotam in Norh Dakota,karibani,and all my Friends who watch out this song.
azrum01 3 years ago
the other guy looks like Barack Obama
bobaisha 4 years ago
Thats why we need the young generation to take over and run things
tamaduni 4 years ago
sio kweli bana we vije jukumu la wananchi wote kupiga vita umasikini sio la kikwete.
jahtheking17th 4 years ago
enjoy
delmasus 4 years ago
Yap Jay &Af safi sana ujumbe huu ni wakweli kabisa. lazima kila mwananchi kutakafari hali ya nchi yake.ANDIKA TU UNAONA VIPI TUMA KWA MAKAMU WA RAIS.
atekee222 4 years ago
professor jay nimkali bana anavyo rapu haraka haraka kwel
Kijego 4 years ago
iko poa by dully gessan uk
Dully90 4 years ago
mmeumiza vichwa mazee,kwani ni kweli tupu. support from canada babe
maynizo 4 years ago
big up Prof. Jay and MwanaFa,big up Tanzania-authentic Africa;the land of Kilimanjaro,Zanzibar,Ngorongoro and Serengeti.
tanzanianboy 4 years ago
hii ngoma ina moto..mawazo ya ukweli
ASquadtroops 4 years ago
hii babu kubwa nimekubari bni jukumu ra kikweti ire au unaonaje ?
mayurbaby 4 years ago