tuwache maisha ya utapeli na rushwa na wivu na uongo apo sasa njo tutanyakuliwa na bwana yesu. sio kila mwamadamu wote ,ni wale waliyo fuwa nguwo zaho cafu. GALATIA 5;19 -21. muwe munatuhubiri katika nyimbo mubarikiwe sana,
bado kitambo kidogo..nawakosa ndugu zangu kabisa Africa lakini muda si muda naja nyumbani!! very good music reminds me of our SDA group huko Mbooni boys! barikiweni, salamu tele kutoka Illinois!!
In deed Kurasini choir. None should give up. We are nearing home. There is plenty of makao at our Father's home and soon...very soon our Lord will come for us. Detta är en fantastisk sång. Ndazi Stockholm, SE
This is an Amazing and Perfect message for these days.............It's not too long as we might think........He is coming quickly and His rewards is with Him. May God All Mighty continue to bless the work that He has gifted you with Brethren.
it feels good when u hear God's people say "we are going home". Nothing gives meaning to my life but the fact that I am going home sooner than I can imagine. Kurasini choir, be blessed! I miss listening to your songs, how I wish I took your records with me!
I tell you my fellow Christians, that all the sins in this world is accountable to the churches, for if they only unite and upheld free giving instead of buying and selling, there could be no robber and thieves among them, nor is there a chance for athiestic view to rise. The Way of God had suffered abusive speech from the enemies of God because the churches are harlot.
i love kurasini... reminds me zile masiku za pathfinder na choir in my early.. unfortunately huku holand SDA nimoja tu... but Mungu yuko kwa kila kanisa.
I miss your songs will buy some nikirudi nyumbani Kenya.. mbarikiwe..
luv you guyz very much n may God continue blessing you people. your songs actually takes n leaves me by the gate of heaven, need some more to really go in. kip up.
Nafurahi sana kuusikia huu wimbo, na pia unanipa moyo kua kweli bado kitambo kidogo, Mungu AWABARIKI sana waimbaji wote wa kurasini, na mwalimu wao ndugu Kibaso.
Leo trh 12 mwz 8 ninakukumbuka sana my loved young brother Godwin,naamini bado kitambo kodogo tutakutana nawe huko,kwenye makao yaliyoandaliwa naamini umetangulia wewe nasi tutafika huko na kuonana wote,nitakukumbuka daima na kukuombea,RIP amen.glory USA
Bado kitambo kidogo tusirude nyumya wapendwa wote. Tujipe moyo wa kuendelea na safari. Nawatakia baraka za Mungu waimbaji wote mzidi kutunga nyimbo nzuri za kuinua imani za wengi. Nipo haja Ujerumani.
Kila mara nikijeza kanda za hizi nyimbo za Kurasini SDA najua kwamba bado kitambo kidogo twaelekea jiji na safari ya hii dunia yafika mwisho. Nataraji kwamba tutaonana uso kwa uso na hawa waimbaji na Yesu Mwokozi wetu pale juu Mbinguni mwa Baba Yetu. Amina.
Yaani Naupenda sana huu wimbo kila nikiingia YUO TUBE nausikiliza kama mara tatu mfululizo Ndugu zangu wakristo tukaze mwendo tusikate tamaa karibu tunafika mwisho wa safari yetu
Bado kitambo kidogo. I love Kurasini SDA choir. God has a huge purpose for them. They are a blessing. I cannot stop listening to their inspiring music. God bless all.
What a message! This is powerful. I love it. Of course, it won't be long. We'll soon be leaving this world. My friend, don't give up. May the Lord continue blessing Kurasini SDA Choir.
Baraka Nyakrere! I think I know you! may I know where you are now? I lived in Busegwe, TZ. now in the USA. I love Kurasini music and I enjoy them each time I visit this site. It reminds me of home. God bless them.
tuwache maisha ya utapeli na rushwa na wivu na uongo apo sasa njo tutanyakuliwa na bwana yesu. sio kila mwamadamu wote ,ni wale waliyo fuwa nguwo zaho cafu. GALATIA 5;19 -21. muwe munatuhubiri katika nyimbo mubarikiwe sana,
julesngama 3 months ago
YOU ALWAYS GIVE US WHAT WE DESERVE ,KEEP IT UP BROTHERS & SISTERS. GOD BLESS YOU ALL.
josephatmfungo60 6 months ago
Glory to be to God, good song brothers and sisters.
NOSIDE90 6 months ago
ninmebarikiwa na wimbo huu... ahsante sana
9makala 8 months ago
God bless u all......Dr.Obed Kollins(Asia)
weezymoh 9 months ago
jameni waimbaji wa kurasini mzidi kubarikiwa. Asante kwa kuzidi kuliinua jina lake Mungu.
junior76783 10 months ago
Wimbo wa kutia moyo
bernardmomanyi 1 year ago
cool
LilRileyy 1 year ago
bado kitambo kidogo..nawakosa ndugu zangu kabisa Africa lakini muda si muda naja nyumbani!! very good music reminds me of our SDA group huko Mbooni boys! barikiweni, salamu tele kutoka Illinois!!
koshLin 1 year ago
usife moyo ,take heed the night is almost over.
abu2030nagol 1 year ago
saouti ziliso nyooka
God bless you
abu2030nagol 1 year ago
ukweli kabisa.......bado kitambo kidogo mpaka tukaribishwe binguni:)
was my moms favorite...alikuwa akiimba hii wimbo asubui na mapema:))
i love it thanks alot for posting:))
PrinceLuvPeace 1 year ago
Talk to Complete Strangers about any religion
NashleeSanders21 1 year ago 3
En liten stund, när vår resa slutar, skall vi vila till slut framför fötterna på vår Frälsare
sturmiusbs 1 year ago
In deed Kurasini choir. None should give up. We are nearing home. There is plenty of makao at our Father's home and soon...very soon our Lord will come for us. Detta är en fantastisk sång. Ndazi Stockholm, SE
sturmiusbs 1 year ago
This is an Amazing and Perfect message for these days.............It's not too long as we might think........He is coming quickly and His rewards is with Him. May God All Mighty continue to bless the work that He has gifted you with Brethren.
msafirimhehe 1 year ago
Good song, praise our almighty God !!!
mrkavuke 1 year ago
MBARIKIWE SANA KURASINI.
zekabuche 2 years ago
Nawapenda,the seriousness oh let christ be lifted your music is so inspiring.God bless the work you are doing.
oriango nairobi
maryoriango2007 2 years ago
Mnaniongoaongoa si haba. Barikiweni hadi mshangae na zidi kueneza injili. Tunawapenda hapa Kenya hasa wanakwaya wa Umoja one SDA church Nairobi
jratemo 2 years ago
it feels good when u hear God's people say "we are going home". Nothing gives meaning to my life but the fact that I am going home sooner than I can imagine. Kurasini choir, be blessed! I miss listening to your songs, how I wish I took your records with me!
Eve - California
evewithoutadam 2 years ago
This has been flagged as spam show
.
I tell you my fellow Christians, that all the sins in this world is accountable to the churches, for if they only unite and upheld free giving instead of buying and selling, there could be no robber and thieves among them, nor is there a chance for athiestic view to rise. The Way of God had suffered abusive speech from the enemies of God because the churches are harlot.
.
conceil8 2 years ago
i love kurasini... reminds me zile masiku za pathfinder na choir in my early.. unfortunately huku holand SDA nimoja tu... but Mungu yuko kwa kila kanisa.
I miss your songs will buy some nikirudi nyumbani Kenya.. mbarikiwe..
blessedfay 2 years ago
luv you guyz very much n may God continue blessing you people. your songs actually takes n leaves me by the gate of heaven, need some more to really go in. kip up.
jaykiage 2 years ago
Yes bado kitambo kidogo but kindly post more songs like "Jina lako ni nani ujiulize" I love this song but can't get the DVD
furaha12 2 years ago
God bless the Kurasini choir. It is such a blessing to the world, in this end time.
mochisoft 2 years ago
thank for video it remind me back home when we used to song at the church and love video
davidngarism 3 years ago
i love this song it speakes to me in more ways then one
akobuza 3 years ago
Nafurahi sana kuusikia huu wimbo, na pia unanipa moyo kua kweli bado kitambo kidogo, Mungu AWABARIKI sana waimbaji wote wa kurasini, na mwalimu wao ndugu Kibaso.
queendarlin 3 years ago
Jamani Mungu awabariki sana waimbaji wa kurasini!!!Amen!Lupe of USA!
mbookubwa 3 years ago 3
Smetimes when I'm listening to these songs I forget that I'm still on Earth. Thank you so much Kurasini! Your songs are blessings!
shalomfirst 3 years ago
naupenda wimbo huu sana
mamaaarobina 3 years ago
Leo trh 12 mwz 8 ninakukumbuka sana my loved young brother Godwin,naamini bado kitambo kodogo tutakutana nawe huko,kwenye makao yaliyoandaliwa naamini umetangulia wewe nasi tutafika huko na kuonana wote,nitakukumbuka daima na kukuombea,RIP amen.glory USA
tundazuriUSA 3 years ago 2
Mungu awabariki Kurasini SDA Choir.
Najisikia nyumbani ninaposikia nyimbo zenu.
Niko USA, ninaposikia sauti zenu kweli bado kitambo kidogo.
Mama Mabada.
Anayayove 3 years ago
Naupenda sana huu wimbo nasikia raha sana eh!! wewe Lumoki unauonaje huu wimbo hapo ulipo?Mbarikiwe sana!!!
Gloria USA
tundazuriUSA 3 years ago
Nafarijika sana kusikia huu wimbo,kweli bado kitambo kidogo.
tundazuriUSA 3 years ago
respect :)
19wearld84 3 years ago
Bado kitambo kidogo tusirude nyumya wapendwa wote. Tujipe moyo wa kuendelea na safari. Nawatakia baraka za Mungu waimbaji wote mzidi kutunga nyimbo nzuri za kuinua imani za wengi. Nipo haja Ujerumani.
kipanzi 3 years ago
Kila mara nikijeza kanda za hizi nyimbo za Kurasini SDA najua kwamba bado kitambo kidogo twaelekea jiji na safari ya hii dunia yafika mwisho. Nataraji kwamba tutaonana uso kwa uso na hawa waimbaji na Yesu Mwokozi wetu pale juu Mbinguni mwa Baba Yetu. Amina.
Nyambat Aori (Fl, USA).
maiishi81 4 years ago
Yaani Naupenda sana huu wimbo kila nikiingia YUO TUBE nausikiliza kama mara tatu mfululizo Ndugu zangu wakristo tukaze mwendo tusikate tamaa karibu tunafika mwisho wa safari yetu
Kumbuka Mungu yupo pamoja nawe.
ohmsahila 4 years ago
hapo umeongea point!!!
tundazuriUSA 3 years ago
Bado kitambo kidogo. I love Kurasini SDA choir. God has a huge purpose for them. They are a blessing. I cannot stop listening to their inspiring music. God bless all.
spearman50 4 years ago
God keep on blessing adventist songs they are realy spiritual
shikoli254 4 years ago
more christians songs from africa kenya.l need
kglada 4 years ago
What a message! This is powerful. I love it. Of course, it won't be long. We'll soon be leaving this world. My friend, don't give up. May the Lord continue blessing Kurasini SDA Choir.
BarakaNyakrere 4 years ago
Baraka Nyakrere! I think I know you! may I know where you are now? I lived in Busegwe, TZ. now in the USA. I love Kurasini music and I enjoy them each time I visit this site. It reminds me of home. God bless them.
Thanks, Hume
albnkezy 3 years ago
waoh we need this song to incourage each other
wekunza 4 years ago