natoka s.sudan na nililelewa kenya.nilifikiria kuwa kibaki ni mmoja wao wanaoshikilia maadili ya DEMOKRASIA kumbe ni Mkabila tu!!Wakenya wakuotea vidole kwa yale maafa yaliyotokea.
Kenya tunataka watu kama huyu.Waandishi wa habari waliopaswa kuwa jasiri kukemea maovu wako wapi? Mbona NTV hawajampa award kwa ujasiri wake. Kama Kibaki aliposikia kwamba siri yake imetibuka kwa nini hakujiuzulu maisha na mali ya wakenya zipone? Badala yake alitumia vyombo vya dola kuongeza maafa kwa wakenya. Waki ametoa ripoti. Nayo Kibaki ataipuuzia tena? Ni kawaida yake.Hakuna gumu kwake. Yote ni rahisi tu.
natoka s.sudan na nililelewa kenya.nilifikiria kuwa kibaki ni mmoja wao wanaoshikilia maadili ya DEMOKRASIA kumbe ni Mkabila tu!!Wakenya wakuotea vidole kwa yale maafa yaliyotokea.
tflinz 3 years ago
Yes. Where is this man.He said that Kibaki used ECK and Media to plug Kenya into sivil war. Did any one know were this man is? Please help.
masaikweli 3 years ago
Baada ya kuwa kimya muda mrefu, Roho wa Mungu ameniongoza niulize huyu jamaa yuko wapi? soma mengi kumhusu katika munishiDOTcomSLASHyukowapiDOThtm
Munishi2 3 years ago
Kibaki atuambie huyu mtu yuko wapi. Walimfunga? Walimhamisha Kenya? Mbona hasikiki popote? Ujasiri wake tunaupongeza. Aliwaona wakiiba kura dhamiri yake ikamhukumu akasema wazi. Tuambieni yuko wapi???
masaikweli 3 years ago
Kenya tunataka watu kama huyu.Waandishi wa habari waliopaswa kuwa jasiri kukemea maovu wako wapi? Mbona NTV hawajampa award kwa ujasiri wake. Kama Kibaki aliposikia kwamba siri yake imetibuka kwa nini hakujiuzulu maisha na mali ya wakenya zipone? Badala yake alitumia vyombo vya dola kuongeza maafa kwa wakenya. Waki ametoa ripoti. Nayo Kibaki ataipuuzia tena? Ni kawaida yake.Hakuna gumu kwake. Yote ni rahisi tu.
masaikweli 3 years ago