seriously u started saying we should redo the election and then now u are like he should admit defeat what tha f***,rudi kwenyu bongo ur country need more help over there than we do thats why in th bible there is this verse that goes
foolish pple see the speck of dust in others eyes but they ignore the big lump of soil/log in their own eyes
Tatizo lenu ni zaidi ya ukabila.Sijui niliite nini. Hata wakenya wa kabila moja bado wanabaguana kwa misingi hawa neno fulani wanalitamka vibaya.Wakikuyu wa Muranga hawaelewani na Wakikuyu wa Nyeri. Hawa wa Muranga wanawaona wenzao wa Nyeri MAFALA wasio na bidii ya kutafuta. Kibaki ametoka Nyeri. Wakikuyu wa Kiambuu wanamuona ANAREGAREGA. Yaani FALA.Waluya nao siyo kabila moja. Ukivuka mto lugha inabadilika kidogo, na madharau yanaanza. Kenya inataka kiongozi kutoka nje ya Kenya, ka Obama USA.
Munishi ni NABII wa MUNGU.Mwaka jana JANUARY Munishi alitamka haya. Leo mwaka mmoja baadaye KIBAKI alishakubali kwamba hakushinda uchaguzi. Ndiyo maana alikubali kugawa madaraka. Amekubali kwamba alitumia tume ya uchaguzi kuiba kura, ndiyo maana amewatimua wote. Amekubali kwamba yeye ni kiongozi asiyependwa na wakenya wote hata kabila lake hawamtaki.Yuko tu kwa sababu jamii ya kimataifa haitaki kumwaibisha zaidi ya hapo. Kama atamaliza miaka minne iliyobaki itategemea kama atafanya anavyoagizwa
Yawezekana NSIS wakawa na habari ambazo mimi sijui, lakini suluhu ilikuwa kuvuruga uchaguzi? Kura ni muamuzi wa mambo. Kama mlijua au mnajua ubaya wa Raila au yeyote, sheria ingechukua mkondo wake.Hata sasa hamjachelewa sheria ichukue mkondo wake. Kuniambia yaliyotokea yalisababishwa na hofu ya mliyoyajua mkakosa kuyachukulia hatua, ni sawa na kujibebesha lawama. Yaani Kibaki aliamuru tume ya uchaguzi imtangaze mshindi kwa lazima akitumia kigezo cha yale NSIS walioyajua? Je tuwalaumu NSIS?
Kumjua kibaki ni sawa. Kumpenda Kibaki ni sawa. Kutaka Kibaki awe rais wa Kenya ni haki yako. Lakini uhuru na haki yako, inaishia pale haki za wengine kuwajua wengine zinapoanzia. Uchaguzi unaruhusu uhuru wa wengi kuchagua wakipendacho. Ndiyo maana UCHAGUZI UNATAKIWA KUWA HURU NA HAKI. Iwe ilivyokuwa, ni ukweli usiopingika kwamba uchaguzi wa 2007 ulikuwa na kasoro. Kibaki alijitangaza mshindi, machafuko ya kisiasa yakaikumba Kenya.
Wengi walipoteza maisha yao, na maelfu kuhamishwa makwao. Mimi namlaumu Kibaki kwa yote hayo. Wewe unataka tuwalaumu USA. Haki ya wananchi kuchagua ndiyo ninayoipigania. Ikiwa NSIS ndio wanaowachagua viongozi Kenya, basi hakuna sababu ya kuitisha uchaguzi. Kama tume ya uchaguzi imempitisha mgombea urais, NSIS hawawezi kutuambia mtu huyo hafai kwa sababu wanazozijua na hawakuzichukulia hatua.
Hata kama kazi ya NSIS siyo kuwakamata washukiwa, basi wangepeleka habari hizo kwa vyombo husika ili hatua zichukuliwe. Uzuri wa Kibaki hautoshi kumpitisha kuwa rais bila kupingwa. Kura ya wananchi ndiyo kauli ya mwisho. Na katika uchaguzi wa 2007 kauli ya wananchi haikuheshimiwa. Hilo linanipa kichefuchefu. Kibaki unayemjua na kumpenda, unajua aliwahi kujaribu mara ngapi kuwania kiti cha urais bila mafanikio.
Aliposaidiwa na wana upinde, akafanikiwa kuwa rais. Akawageuka wenzake, akawatimua, akajizunguka na marafiki ambao mpaka sasa ndio wanaompoteza. Kwangu Kibaki ni kigeugeu, mtu asiye na shukrani, asiyeheshimu maagano. Haaminiki. Hawajali masikini. Hayo ndiyo maoni yangu kumhusu Kibaki. Siyo lazima kila mtu amuone Kibaki kwa mtizamo wangu. Mungu ni Haki. Kwake hakuna utapeli. Wanasiasa wanapotapeliana, wanaoumia ni watu waMungu ambao hawana hatia. kama MTUMISHI WA MUNGU SIWEZI KUACHA KUSEMA.
Wewe sio Mkenya. Nenda kwenu mbongo ukaongee mambo ya Kikwete. Umekuwa kama yula ngamia ambaya alisema ataka tu kuingiza kichwa kwa nyumba. Sasa ucha kuja Kenya, ukapata mali, na sasa wataka kutueleza vile tutaendeleza siasa za Jamuhuri ya Kenya. Nikuulize, kwanini bado uko Kenya, kwani VISA yako haijaicha? Ama umenunua makaratasi ya Kenya kama Wasomali. Wataka uchunguzwe wewe.
Kibaki atamaliza uongozi kwa AIBUUU!! Hakuna wanaomsikiliza. Hata WAKIKUYU wanamuona kama GENERALI MWOGA. Kibaki hakuwasaidia wakikuyu aliosababisha wachukiwe.Wanasema walimpa madaraka akagawa.KIAMBUU MURANGA wanasema KENYATTA alikuwa sawa aliposema uongozi usivuke mto Chania. Kama siyo jamii ya kimataifa, kibaki angeiingiza Kenya katika umwagikaji wa damu ambao haujawahi kuonekana Afrika.Atakaporudi OTHAYA, atayakumbuka maneno ya Kenyata, na yale ya Moi aliyemwita GOIGOI WA KUSAIDIWA
Kibaki and his Mt. cronies are the worst Leaders Kenya has ever produced in recent time. They are the most greedy people and do not care about Kenyans, but themselves alone.
The only time he will realise anything is when we start bombing strategic sites we know belong to his cronies.
Hata mimi Mkenya. Hatukuweza ndiyo maana Kofi ANNAN alikuja kusaidia.Munishi yuko sawa. Haijalishi ni mjerumani au mkongo maoni yake ni ya muhimu. Najua Munishi ni mkenya. mbona kuna wakenya wa asili ya kihindi? sembuse mkenya wa asili ya TZ? HEKO MCHUNGAJI MUNISHI KWA MAONI YAKO MURWA KABISA. KIBAKI AJUE KWAMBA DUNIA IMEMSHITUKIA HATUTAKI DHANA YA KUFIKIRI WAKIKUYU NI BORA KULIKO WAKENYA WENGINE. KIBAKI SASA ni MZEE WA KABILA LAKE SIYO RAIS WA WAKENYA WOTE. AMEJIPUNGUZA MWENYEWE.AACHIE NGAZI.
Nilisema uchaguzi urudiwe. Wengine hawakunielewa. Hiyo ndiyo njia pekee kumaliza mzozo KENYA. Sawa WAMEKUBALIANA kugawa madaraka nusu kwa nusu. Mbona bado Kibaki anangangania wizara nyeti? Kwani kuwapa ODM wizara ya fedha au ulinzi kuna ugumu gani? Si bado wizara hiyo itakuwa ikiongozwa na Mkenya? Au PNU ni wakenya kuliko wengine? Nilisema namlaumu Kibaki, bado nitamlaumu kama Kenya itarudi ilikotoka. Najua PNU watasema kitakachotokea kilikuwa kimepangwa.Mbona PNU wanapanga kuhujumu makubaliano?
politics and religion dont work together munishi just get down your on ur knees i would appreciate more if i twas a [prophecy u were delivering from God than saying ur own words.
Nisemayo ni unabii. Machafuko ya kisiasa hayakuchagua dini. Waliouawa ni waumini wa makanisa yetu ambao pia ni wanachama wa vyama vya kisiasa. Waliochomewa nyumba ni waumini wa DINI ambao wengine hawahusiki na siasa. Nionyeshe tuchore wapi mstari mwekundu wa kutenga DINI na SIASA. Mimi siyo mwanasiasa, lakini nina haki ya kuwakemea wanasiasa kama KIBAKI watende haki. Mungu ni HAKI.Ukitetea haki huo ni unabii toka MUNGU mwenyewe. Sijuti kufanya hivyo na siachi.Kibaki hana haki ya maisha yetu.AJUE
Muhimu kwa sasa ni kuponya Kenya. Tungoje baraza jipya la mawaziri. Sitoshangaa kumuona Michuki bado angalimo. Wakimtoa, na kisha waweke mawaziri kulingana na uwezo wao kitaaluma, tutakuwa tumeanza vizuri.Mtindo wa kuweka marafiki au watu wa kabila lako, ndio unaoleta chokochoko. Kila mtu atataka mtu wake apate 'mlo'. Nawasifu wabunge Kenya kupitisha miswada miwili inayolipa bunge mamlaka kinyume na ilivyokuwa. Hiyo ni hatua nzuri itakayomaliza ukabila Kenya. Sasa Kibaki hawazi tupangia mrithi
Kibaki alipanga kuiba kura mwaka mmoja kabla ya uchaguzi. Kuna kosa gani wengine kupanga watakavyofanya wakiibiwa? Ukijua mwizi atakuja kwako usiku wa leo, lazima uwe macho. Wakulaumiwa ni yule aliyeanza kupanga maovu. Maovu ukijumlisha na maovu, jibu ni maovu. Hatuwapongezi waliojibu maovu kwa maovu, lakini tunamlaumu aliyeanzisha maovu hayo. Na huyo ni Kibaki. Sasa wamefanya vyema, Katiba imebadilishwa, wamegawana madaraka, mbona Wanandi hawaendelei na maovu? Mzizi wa fitina ulikuwa Kibaki.
Human Rights Watch also collected accounts from several Kalenjin men present at community meetings where local elders and ODM mobilizers urged Kalenjin residents to contribute money to purchase of automatic weapons. Some communities have reportedly managed to obtain such weapons already. The same sources confirmed that plans have made to attack camps of displaced Kikuyu and the two remaining neighborhoods in Eldoret town where many Kikuyu homes remain intact -- Langas and Munyaka
local leaders and ODM mobilizers arranged frequent meetings following the election to organize, direct and facilitate the violence unleashed by gangs of local youth. In one case, an ODM councillor candidate is said to have provided a lorry to ferry youth to burn the homes of Kikuyu families in a neighboring community.
a local ODM party mobilizer "called a meeting and said that war had broken in Eldoret town, so the elders organized the youth into groups of not less than 15, and they went to loot [Kikuyu] homes and burn them down
Research by Human Rights Watch in and around the town of Eldoret, which has borne the brunt of the Rift Valley violence, indicates that attacks by several ethnic communities against others, especially local Kikuyu populations, were planned soon after the elections. In some cases, local elders and opposition politicians appear to have incited and organized the violence.clashes between members of the Kalenjin and Luya communities and their Kikuyu and Kisii neighbors in the Rift Valley
munishi your not suppose to say like that as a christian,kibaki kama hangefanya hivyo mngekuwa mkiongea mambo mengine,he saves alot of soul,wanandi walipanga mambo makubwa ya kumaliza wakikuyu lakini mpango wa wanadamu sio mpango wa mungu,so stop being against kibaki God knows why He did that utasema nini?kufuatia habari ifuatayo?nijibu
Kibaki aliwatapeli Wakenya. Alisema elimu ya sekondari itakuwa bure, kumbe ulikuwa uongo apate kura. Alipokosa akatumia ECK kuiba kura. Wazazi tumeshangaa kukuta karo ni zaidi ya mwaka jana. Mfano LIMURU GIRLS SCHOOL, mwaka jana tulikuwa tukilipa karo 45,654, wakati mwaka huu ambapo ilitegemewa karo ingeshuka au kutokuwepo kabisa, badala yake wazazi wanalipa zaidi ya 50,000 Binafsi nilipoenda kulipa karo kama inavyoonyeshwa kwenye ratiba yao 43,695, walisema bado 7,000 za tuition ya lazima. Ona
Mkisha nitusi, sasa anzeni kutoa hoja. Kibaki ameonyesha ulimwengu kwamba hakumbuki fadhila.Dunia nzima ilikuwa kinyume naye isipokuwa MUSEVENI pekee.Walimstahi ndiyo maana wakapendekeza agawe madaraka. Vinginevyo amejipunguzia heshima yake sana. Ninapomlaumu simhurumii namsaidia. Ajue madaraka siyo kila kitu. Tena aache mtindo wa kuvunja ngazi akishaitumia kukwea. Bado ataihitaji wakati wa kushuka.
huyu jamaa anataka kuchotewa kitu kidogo munishi wewe ni muhubiri ama mwanasiasa? if the answer is muhubiri then you must be a shameless dog rudi kwenu tanzania mjinga wewe we dont need your help.
wewe ni mpumbavu mkubwa kumbe wewe uimba vitu usivyo jua maana yake uliimba ukasema nani kawaroga kuidanganya jamii yote iwe ya wanasiasa ikose neno lamungu.hapaumeingilia mambo ya siasa kweli nyani aoni kundule. wacha ujinga naufundishe familia yako kuvaa waache kuvaa unform saa zote kama shuleni mjinga mkubwa wewe.
if Munishi is not yet a Kenyan Citizen, this video is enough to have him deported. His freedom of speech is not guaranteed in the constitution as a foreigner. Immigration Dept. and police please take notice..
munishi you ae a christian and pastor why do you like politics more than God you are suppose to pray but not to furn the fire,at this time our country was facing this problem you are not suppose to say kibaki to step down you let GOD TO DO HIS work your work is to preache gospel so that GOD CAN CHANGE THEM FROM THEIR behaviour,not politics,only prayer can change things but not mdomo,staylike other preacher,don`t spoil the gospel and don`t try to judge
Usijali. Kibaki amesikia amegawa madaraka. Sasa hakuna kuuana wala kuambiana rudi KWENU. Mbona utamaduni wa kuwarudisha watu kwao umetawala mawazo ya wengi? Cha ajabu hata wakenya ndani ya Kenya wanaambiana RUDI KWENYUU!!! Kwao ni wapi na wako Kenya? Hoja ikikushinda sema hivyo usikimbilie "kwenyuu". Lini mtajifunza kupingana bila kupigana na kurudishana kwenu?
Kibaki amefanya sawa japo kachelewa. Haikuwa lazima watu zaidi ya elfu moja wapoteze maisha yao ndipo huyo anayejiita msomi wa MAKERERE angamue kwamba ni ghali kuutetea uongo.
Lakini tunampongeza hata kama. Sasa ni wakati wa kufanya kile alichokuwa akitanguliza kabla. Kuponya majeraha ya Kenya na kuwarudisha watu waliotimuliwa makwao. Isingewezekana kufanya hivyo, japo Kibaki alijidai angeweza. Hatujali nani ana mamlaka gani, ila wanasiasa wajue huu ni mwisho wa kucheza na maisha ya watu popote duniani.Jamii ya kimataifa iko macho.
Usijali. Kibaki amesikia amegawa madaraka. Sasa hakuna kuuana wala kuambiana rudi KWENU. Mbona utamaduni wa kuwarudisha watu kwao umetawala mawazo ya wengi? Cha ajabu hata wakenya ndani ya Kenya wanaambiana RUDI KWENYUU!!! Kwao ni wapi na wako Kenya? Hoja ikikushinda sema hivyo usikimbilie "kwenyuu". Lini mtajifunza kupingana bila kupigana na kurudishana kwenu?
We know. A Kikuyu is a Kikuyu. when he or she is a president, he become Kikuyus President. When he or she own a Media house, or become a jounalist, He is a Kikuyus jounalist. SHAME ON NATION MEDIA for being a Kikuyu Media house. Hata LONDON utawakuta na ushamba wa kutojua kuchangamana na watu wengine. Wanajisemesha hawataki kuwasikia wengine wanasemaje. Ndiyo maana wakale waliposema wawatimue Eldoret, wao walikuwa wakisikiza kameme FM ikiwaambia KIBAKI ATABAKI RAIS wapende wasipende.
Kibaki digging in for war. He does not want to solve this politically. This is what he want. WAR. Bussy forcing Kikuyu to go back to Rift Valley, while chasing other tribes out of Nyeri and Central Province.
You can not steal polliticaly and hide in the law. This is what Kibaki is doing. "Siasa siyo taasisi, lakini wanasiasa huunda taasisi." "Wabunge hutunga sheria lakini haiwachagui" "Siasa ndio huzaa wabunge ambao hutunga sheria." "Makosa ya kisiasa lazima yatatuliwe kisiasa." KIBAKI ALIIBA KISIASA NA ANAJIFICHA KWENYE SHERIA. HAITAMSAIDIA. AJIUZULU SIASA IANZE TENA. SIYO KUWATUMA WATU MAHAKAMANI.
Hate me or like me, but i stand for what i said. Kibaki is an opotunist. He was not able to remove Moi from power. Raila helped him to do so. But if i were to meet Kibaki, This is what i would have told him. "Raila a Luo said Kibaki a Kikuyu tosha. Why is it so hard for Kikuyu Kibaki to say Luo Raila Tosha??????" Now you said HATOSHI, Kenyans said ANATOSHA. Why use ECK to rob Kenyans of their president????" That is what I want to ask Mr. Kibaki.
2000 men just dont wake up in the morning with new identical Pangas and somehow find themselves walking towards a church where they begin hacking people to death.Ruto overestimated the power he has considering the fact that he owns a big chunk of KTN Standard,used it as a tool for propaganda and thought he will sleep happily well. SORRY Mr. Ruto, the tables are turning the cries of all those children and women are a curse unto you.
Munishi why do you support murders, are you in their pockets?
I was for Kibaki "TENA" but not any more. I wanted him to win not to use rigg. Now that he has rigged using ECK,I am ashamed. On top of that Kibaki is killing opposition MPs. SHAME ON YOU KIBAKI. I hate you.
Kibaki rigged "live live" Even we MAASAI now dont want Kibaki. The man can take your cows and tell you to go to court. Imagine who will you find in court? Kibaki. This man is a thieve. Kikuyu don't like him because he has cause them lot of problems. He is telling them to go back without a re run of the election wich was stollen by Kibaki
Kikuyu are killing KALENJIN and LUOS. We maasai not happy about it. it seems 'bantus' Kikuyu want to finish us.If Kibaki will not stop killing Mps from LUO and KALENJIN, We MAASAIS will help Luos and Kalenjin.
Nation Media shame on you. What is happening in Naivasha is not what you are telling Kenyans. This is ugly.Alljazeera was on Naivasha story when you NTV swich them off. Why use their signal when you dont want them to tell Kenyans how Kikuyu are killing luos in Naivasha??
About America and Britain, to Kibaki they are nothing. even Pastor Munishi is nothing to Kibaki. But if i were to meet Kibaki, This is what i would have told him. "Raila a Luo said Kibaki a Kikuyu tosha. Why is it so hard for Kikuyu Kibaki to say Luo Raila Tosha??????" Now you said HATOSHI, Kenyans said ANATOSHA. Why use ECK to rob Kenyans of their president????" That is what I want to ask Mr. Kibaki.
Annan is wasting his time here. We are aware that it took the intervention of Museveni for Kibaki to see him. Now he has bought the government propaganda that the skirmishes were pre-planned. The government's deployment of the army in sections of the country is proof that war is inevitable. Pack your bags and return to Ghana in time for the Africa cup of Nations soccer Bonanza and let Kenya Burn
Kibaki's generals met in Nairobi last week and raised thirty millions shillings to help the clandestine Mungiki sect carry out revenge activities in the rift v alley and in the outskirts of Nairobi. What is happening in nakuru and naivasha in government supported initiative aimed at getting other communities to submit to the dictatorial Kibaki regime. Let the world know that an all-out civil war is unfolding
It is foolhardy for anyone to tell Munishi to to leave Kenya alone when they are praying that Annan, Mkapa and Mandela's Wife safe Kenya. The problem in Kenya needs the likes of Munishi because they come from civilised societies where people chat over a hot cup of Chai thungu. Vipi Mtori kaka brother
How ? Munishi asema ukweli, what do you call kenyan affairs ? the killing of the innocent? Hayo ni maoni yake, the nationality of the guy does not matter , he is not happy with the loss of lifes in our nation . munishi ameishi kenya miaka mingi sababu ya amani na upendo uliokuwa inchi yetu kabla ya uchaguzi uliopita. let us pray and preach peace nawaomba.
Kibaki lost election. Why share power with him??? Kibaki must step down. If he thinks that Kenyans like him so much, then they should repeat election. Anything alse is trying to buy time. Wait and see.
Its true KIBAKI LOST.Yea if he thinks he really won then let them go for a rerun. Iam a kenyan high school student in Boston MA, but iam nolonger happy of telling pple iam from kenya. its soo embarassing guys.
Kibaki does not want to talk.The man cares about his presidency, more than lives of Kenyans. To him he is talking to see if he can talk. Forget about Raila and Kibaki shaking hands. The body language speaks louder than words.Preasure from America and London is nothing to Kibaki. The man believes that he can rule Kenya using his own Kikuyu tribe. ODM and Raila have no choice. Lets believe so. If not, we are in for a big thing. God Please dont let this happen.
The Church in kenya is a disgrace. It is the hiding ground for looters and murderers. Brother Ndura Waruinge is back in the streets leading his mungiki Gang in protests to support Kibaki.Paul Patni is preaching the gospel after coning more millions from parliamentary candidates.Muiru has seen the light after a money minting spree in politics.Munishi goes for presidency in Tanzania. God!!!!!
MEDIA in Kenya knows that Kibaki and Raila are not talking. Instead of telling Kibaki to vacate state house, they are talking about Raila to share power with Kibaki.This is the way out REPEAT ELECTIONS, AND LET THE VOICE OF THE PEOPLE BE HEARD. Anything alse is wasting of time. Let the power of ballot decide. Not the power of bullet like Kibaki wants us to believe.
Kibaki and Museveni made a lap of honour in Nairobi yesterday.They rode in one Limo and even inspected the quard of honour.Museveni maniputaes constitutions,rigs elections with impunity,toutures his opponents, supports wars,Kilied Garang, has his army in Kenya.Tell me what his role is in the talks. betrayal!!!!!!
Just drove through the main streets of Nairobi and it is hell.Looting, fighting, miming and the list is endless. surely Kenya has no government and the sooner we realized that the Better
Iwant to meet Kibaki and tell him he can finish this war by saying RAILA TOSHA. Then meet Raila and tell him to say YALIYOPITA SI NDWELE TUGANGE YALIYOPO NA YAJAYO.
Munishi's visa is about to expire Rudi Bongo. Of all things sio usalama, sio amani, sio fuata sheria, sio wacheni chuki, sio tusaidie maskini wanao adhubika ni Munishi the judge has decided Kibaki is a liar. Another ODM sypathiser. i wonder how much he got for that PR gimmick.
Thanks Mr. Mutua for reminding me that I have somewhere to go. My worry is about Kikuyus who are Kenyans in Kenya and Kibaki has made their visas expire. Let Kibaki step down,and their visas will be renewed. By Kibaki saying he will defend them, He is making them refugees in their own country.
Bwana Mutua. Sijalipwa na yeyote kusema nisemayo hapa. Ni maoni yangu. Nilimsoma Kibaki kabla ya uchaguzi nikajua atafanya lolote kubaki madarakani. Nikatoa video ya wamasai wakipingana. Imekuwa hivyo hivyo. Sasa nimeona Kibaki yuko tayari kuua wakenya milioni moja abaki madarakani. Iko hivyo. Subirini muone.
Why are you saying kibaki should step down, I respected you munishi for a long time but now I hate you. I worked in the intelligence in Kenya and I know all this politicians. I know Kibaki is one of the few honest leaders in the world. I know eveything that happened in the electionsto the very didgit.
So please dont use God for your own agenda,or maybe Raila payed you.
Acheni kuuma midomo. Mwambieni Kibaki ukweli Kenya ipone. Urais wa Kibaki kwa sasa una dosari. Kibaki ni babu. Akijiuzulu Kenya ipone atapoteza nini?? Uchaguzi ukirudiwa Wakenya wataamua nani awaongoze. Wanaweza kuushangaza ulimwengu kwa kutowachagua RAILA wala KIBAKI. Kibaki ajiuzulu urais wenye utata. Huo ndio msimamo wangu.
Wakenya mkimwacha Kibaki atumie ujanja wa kuiba kura abaki madarakani, Hakuna siku kura itakuwa na maana Kenya.Machafuko yatatawala kila uchaguzi utakaofuatia huu wa 2007. Lakini Kibaki akijiuzulu, na uchaguzi mpya ukafanywa, Ugonjwa wa machafuko utapona Kenya.Vinginevyo mnalihairisha tatizo.
Sijalipwa na yeyote kusema haya. Nilisoma fikra za Kibaki nikajua atajiweka madarakani kwa nguvu. Ndiyo maana nilitoa video ya wamasai wakieleza jinsi itakavyokuwa. Ilipokuwa kama nilivyotabiri, sasa ni lazima niseme ukweli hata kama unauma upande wa Kibaki. Na ukweli ni huu. KIBAKI TUNAKULAUMU KUWAFANYA WAKENYA WAUANE. JIUZULUU!!!!
Mnaona? Kikwete akipandwa na wazimu zake, anavunja baraza lote la mawaziri. Yaani serikali ni yake, na mawaziri ni mali yake. Kesho akiamua wapinzani Zanzibar wauawe hakuna atakaemzuia. Mkapa aliwahi kufanya hivyo. Huu ndio ukiritimba tunaotaka ubadilishwe. Katiba ibadilishwe ili bunge liwe na mamlaka kuliko rais. Kenya wanauana kwa sababu Kibaki mwenye mamlaka kuliko kila mtu ameamua wakenya wauane. Haifai, siyo sawa.
Munishi you are either under Railas pay or your "fights" with the TZ government are getting you crazy. yOU ALWAYS REBEL AGAINIST AUTHORITY. Get the hell out of Kenyan affairs.
No one is paying me. Kibaki and Raila are like TOM AND JERRY.Wait and see. Mungu alisema tuheshimu mamlaka inayotoka kwake. Hii ya Kibaki ilikiuka haki ndiyo maana suluhu ilikuwa KIBAKI KUJIUZULU. Alikataa kufanya hivyo. Akalazimishwa kugawa madaraka.Alipogawa akatumia ujanja. Akagawa kwa hila.Walimwambia akubali yaishe, lakini kwa sababu alilazimishwa kukubali na akakubali shingo upande, naona hayajaisha.Bonde la ufa bado kunafuka moshi.Safari hii siyo Raila, ni wabunge wa huko. Wanasema subiri
John Kufuor, chairman of the African Union and president of Ghana, left Nairobi after two days of mediation failed to persuade Kibaki and Odinga even to meet each other.Now Pastor Munishi wants to meet Kibaki and Raila and tell them Kenya is bigger than them. Please Mr Kibaki alow me to meet you.
Bloody clashes between loyalists of Mwai Kibaki, Kenya's rigged president, and Raila Odinga, the opposition candidate, have left around 500 dead since the disputed presidential vote on December 27. I am telling them to save Kenya from more BLOOD SHED.
Have you ever heard of a country where only half of the cabinet is sworn in. Kibaki is purely mad and must now be forced to stop wrecking the country more.
True! Let Kibaki step down and a new election begin. Kibaki is a dictator. By the way, why can't we comment on the Kenyan NTV videos!?? Regards from Sweden
Kibaki is a disgarce to Africa and to those who believe in democracy. those who capotured Charle Taylor should be on their way to get him. such thiefs should be allowed to pervade the world. my heart pleads for Kenya. Bravo Munishi
Early in the election, when Raila Odinga went to cast his vote at a polling station in his constituency of Langata, he found that his name was missing from the poll register
The international community is very much aware that Mwai Kibaki and his Party of National Unity (PNU) rigged the December 2007 Kenyan presidential election.
In recognition of this fact, the European Union, Britain, and the United States have refused to recognize the Kibaki government as legitimate.
As members of the international community, we do not intend to allow this blatant act of disregard for the rule of law and for the will of the people of Kenya to go unchallenged.
The list of evidence of election irregularities compiled in this petition contains widely known facts and has been corroborated by various news sources All polls taken before the election favored Raila Odinga and his party, the Orange Democratic Movement (ODM), with Odinga leading Kibaki by a margin of 4%. A mid-December report by the government's own intelligence service gave Raila Odinga an even larger lead of 8% to 15%
over Mwai Kibaki. As the election drew near, the Steadman poll, which is conducted under the leadership of George Waititu, a close friend of Kibaki's, showed Kibaki catching up to Odinga although the total for the three leading candidates added up to 101%
Samuel Kivuitu, chairman of the Electoral Commission of Kenya (ECK), himself acknowledged that the delay would have allowed time for these missing officials or others to rig votes. "This is where cooking could be taking place," said Kivuitu
Prior to Mwai Kibaki's secretive swearing in ceremony, the Kenyan government suspended all live television broadcasts. Coverage of post-election violence, including the government's use of armed police in suppressing demonstrators, has therefore been difficult to verify
Finally, tallies reported by the ECK differed from those announced at polling stations and on television news broadcasts. The New York Times reports that, "The European Union said its observers in one constituency last week witnessed election officials announce that President Kibaki had won 50,145 votes, but on Sunday the election commission increased those same results to 75,261 votes."
Kibaki is a disgrace to Africa, an inigma to democracy and venom to good governance. what a shame that he still considers himself a president. Kibaki has become a Kikuyu tribal chief openly supporting his tribe.Forget the man we voted for in 2002. The current one is a loof,withdrawn and distraughted. Shame
see the hand of the crestfallen Moi in the woes facing Kenya.Imagine,kibaki, Kalonzo,Uhuru,Saitoti,Ongeri, yusuf haji,Noah wekesa, wetangula etc,etc.Dont you see Moi's hand.Think again
The announcement of President Kibaki as the winner of the disputed elections by the commission led to unprecedented chaos that have seen nearly 500 killed, thousands displaced and millions of shillings worth of property destroyed.
Kibaki dont care. This is what people are saying."I have no home to go to and I have no one to turn to. I now survive on handouts and food rations from wellwishers," she lamented.
Munishi is speaking the truth. He is a man of the people:)
munyambu 3 years ago
did u listen to urself talk,u need ur meds
seriously u started saying we should redo the election and then now u are like he should admit defeat what tha f***,rudi kwenyu bongo ur country need more help over there than we do thats why in th bible there is this verse that goes
foolish pple see the speck of dust in others eyes but they ignore the big lump of soil/log in their own eyes
dilirent 3 years ago
Tatizo lenu ni zaidi ya ukabila.Sijui niliite nini. Hata wakenya wa kabila moja bado wanabaguana kwa misingi hawa neno fulani wanalitamka vibaya.Wakikuyu wa Muranga hawaelewani na Wakikuyu wa Nyeri. Hawa wa Muranga wanawaona wenzao wa Nyeri MAFALA wasio na bidii ya kutafuta. Kibaki ametoka Nyeri. Wakikuyu wa Kiambuu wanamuona ANAREGAREGA. Yaani FALA.Waluya nao siyo kabila moja. Ukivuka mto lugha inabadilika kidogo, na madharau yanaanza. Kenya inataka kiongozi kutoka nje ya Kenya, ka Obama USA.
gospelgtv 3 years ago
Munishi ni NABII wa MUNGU.Mwaka jana JANUARY Munishi alitamka haya. Leo mwaka mmoja baadaye KIBAKI alishakubali kwamba hakushinda uchaguzi. Ndiyo maana alikubali kugawa madaraka. Amekubali kwamba alitumia tume ya uchaguzi kuiba kura, ndiyo maana amewatimua wote. Amekubali kwamba yeye ni kiongozi asiyependwa na wakenya wote hata kabila lake hawamtaki.Yuko tu kwa sababu jamii ya kimataifa haitaki kumwaibisha zaidi ya hapo. Kama atamaliza miaka minne iliyobaki itategemea kama atafanya anavyoagizwa
gospelgtv 3 years ago
Yawezekana NSIS wakawa na habari ambazo mimi sijui, lakini suluhu ilikuwa kuvuruga uchaguzi? Kura ni muamuzi wa mambo. Kama mlijua au mnajua ubaya wa Raila au yeyote, sheria ingechukua mkondo wake.Hata sasa hamjachelewa sheria ichukue mkondo wake. Kuniambia yaliyotokea yalisababishwa na hofu ya mliyoyajua mkakosa kuyachukulia hatua, ni sawa na kujibebesha lawama. Yaani Kibaki aliamuru tume ya uchaguzi imtangaze mshindi kwa lazima akitumia kigezo cha yale NSIS walioyajua? Je tuwalaumu NSIS?
Munishi2 3 years ago
Kumjua kibaki ni sawa. Kumpenda Kibaki ni sawa. Kutaka Kibaki awe rais wa Kenya ni haki yako. Lakini uhuru na haki yako, inaishia pale haki za wengine kuwajua wengine zinapoanzia. Uchaguzi unaruhusu uhuru wa wengi kuchagua wakipendacho. Ndiyo maana UCHAGUZI UNATAKIWA KUWA HURU NA HAKI. Iwe ilivyokuwa, ni ukweli usiopingika kwamba uchaguzi wa 2007 ulikuwa na kasoro. Kibaki alijitangaza mshindi, machafuko ya kisiasa yakaikumba Kenya.
Munishi2 3 years ago
Wengi walipoteza maisha yao, na maelfu kuhamishwa makwao. Mimi namlaumu Kibaki kwa yote hayo. Wewe unataka tuwalaumu USA. Haki ya wananchi kuchagua ndiyo ninayoipigania. Ikiwa NSIS ndio wanaowachagua viongozi Kenya, basi hakuna sababu ya kuitisha uchaguzi. Kama tume ya uchaguzi imempitisha mgombea urais, NSIS hawawezi kutuambia mtu huyo hafai kwa sababu wanazozijua na hawakuzichukulia hatua.
Munishi2 3 years ago
Hata kama kazi ya NSIS siyo kuwakamata washukiwa, basi wangepeleka habari hizo kwa vyombo husika ili hatua zichukuliwe. Uzuri wa Kibaki hautoshi kumpitisha kuwa rais bila kupingwa. Kura ya wananchi ndiyo kauli ya mwisho. Na katika uchaguzi wa 2007 kauli ya wananchi haikuheshimiwa. Hilo linanipa kichefuchefu. Kibaki unayemjua na kumpenda, unajua aliwahi kujaribu mara ngapi kuwania kiti cha urais bila mafanikio.
Munishi2 3 years ago
Aliposaidiwa na wana upinde, akafanikiwa kuwa rais. Akawageuka wenzake, akawatimua, akajizunguka na marafiki ambao mpaka sasa ndio wanaompoteza. Kwangu Kibaki ni kigeugeu, mtu asiye na shukrani, asiyeheshimu maagano. Haaminiki. Hawajali masikini. Hayo ndiyo maoni yangu kumhusu Kibaki. Siyo lazima kila mtu amuone Kibaki kwa mtizamo wangu. Mungu ni Haki. Kwake hakuna utapeli. Wanasiasa wanapotapeliana, wanaoumia ni watu waMungu ambao hawana hatia. kama MTUMISHI WA MUNGU SIWEZI KUACHA KUSEMA.
Munishi2 3 years ago
Wewe sio Mkenya. Nenda kwenu mbongo ukaongee mambo ya Kikwete. Umekuwa kama yula ngamia ambaya alisema ataka tu kuingiza kichwa kwa nyumba. Sasa ucha kuja Kenya, ukapata mali, na sasa wataka kutueleza vile tutaendeleza siasa za Jamuhuri ya Kenya. Nikuulize, kwanini bado uko Kenya, kwani VISA yako haijaicha? Ama umenunua makaratasi ya Kenya kama Wasomali. Wataka uchunguzwe wewe.
mkenyacool 3 years ago
Kibaki atamaliza uongozi kwa AIBUUU!! Hakuna wanaomsikiliza. Hata WAKIKUYU wanamuona kama GENERALI MWOGA. Kibaki hakuwasaidia wakikuyu aliosababisha wachukiwe.Wanasema walimpa madaraka akagawa.KIAMBUU MURANGA wanasema KENYATTA alikuwa sawa aliposema uongozi usivuke mto Chania. Kama siyo jamii ya kimataifa, kibaki angeiingiza Kenya katika umwagikaji wa damu ambao haujawahi kuonekana Afrika.Atakaporudi OTHAYA, atayakumbuka maneno ya Kenyata, na yale ya Moi aliyemwita GOIGOI WA KUSAIDIWA
masaikweli 3 years ago
Kibaki and his Mt. cronies are the worst Leaders Kenya has ever produced in recent time. They are the most greedy people and do not care about Kenyans, but themselves alone.
The only time he will realise anything is when we start bombing strategic sites we know belong to his cronies.
otty1982 3 years ago
Good comment but wewe ni mtanzania hatuwahitaji we can handle our own buisness anyway Wakenya wenzangu ni wakati wa kugutuka na kuleta mabadiliko
uhondo 3 years ago
Hata mimi Mkenya. Hatukuweza ndiyo maana Kofi ANNAN alikuja kusaidia.Munishi yuko sawa. Haijalishi ni mjerumani au mkongo maoni yake ni ya muhimu. Najua Munishi ni mkenya. mbona kuna wakenya wa asili ya kihindi? sembuse mkenya wa asili ya TZ? HEKO MCHUNGAJI MUNISHI KWA MAONI YAKO MURWA KABISA. KIBAKI AJUE KWAMBA DUNIA IMEMSHITUKIA HATUTAKI DHANA YA KUFIKIRI WAKIKUYU NI BORA KULIKO WAKENYA WENGINE. KIBAKI SASA ni MZEE WA KABILA LAKE SIYO RAIS WA WAKENYA WOTE. AMEJIPUNGUZA MWENYEWE.AACHIE NGAZI.
kayajomino 3 years ago
GOD IS GOOD
aishaliz 3 years ago
YESU ASIFIWE
aishaliz 3 years ago
Nilisema uchaguzi urudiwe. Wengine hawakunielewa. Hiyo ndiyo njia pekee kumaliza mzozo KENYA. Sawa WAMEKUBALIANA kugawa madaraka nusu kwa nusu. Mbona bado Kibaki anangangania wizara nyeti? Kwani kuwapa ODM wizara ya fedha au ulinzi kuna ugumu gani? Si bado wizara hiyo itakuwa ikiongozwa na Mkenya? Au PNU ni wakenya kuliko wengine? Nilisema namlaumu Kibaki, bado nitamlaumu kama Kenya itarudi ilikotoka. Najua PNU watasema kitakachotokea kilikuwa kimepangwa.Mbona PNU wanapanga kuhujumu makubaliano?
Munishi2 3 years ago
politics and religion dont work together munishi just get down your on ur knees i would appreciate more if i twas a [prophecy u were delivering from God than saying ur own words.
mernigel 3 years ago
Nisemayo ni unabii. Machafuko ya kisiasa hayakuchagua dini. Waliouawa ni waumini wa makanisa yetu ambao pia ni wanachama wa vyama vya kisiasa. Waliochomewa nyumba ni waumini wa DINI ambao wengine hawahusiki na siasa. Nionyeshe tuchore wapi mstari mwekundu wa kutenga DINI na SIASA. Mimi siyo mwanasiasa, lakini nina haki ya kuwakemea wanasiasa kama KIBAKI watende haki. Mungu ni HAKI.Ukitetea haki huo ni unabii toka MUNGU mwenyewe. Sijuti kufanya hivyo na siachi.Kibaki hana haki ya maisha yetu.AJUE
Munishi2 3 years ago
Muhimu kwa sasa ni kuponya Kenya. Tungoje baraza jipya la mawaziri. Sitoshangaa kumuona Michuki bado angalimo. Wakimtoa, na kisha waweke mawaziri kulingana na uwezo wao kitaaluma, tutakuwa tumeanza vizuri.Mtindo wa kuweka marafiki au watu wa kabila lako, ndio unaoleta chokochoko. Kila mtu atataka mtu wake apate 'mlo'. Nawasifu wabunge Kenya kupitisha miswada miwili inayolipa bunge mamlaka kinyume na ilivyokuwa. Hiyo ni hatua nzuri itakayomaliza ukabila Kenya. Sasa Kibaki hawazi tupangia mrithi
Munishi2 3 years ago
Kibaki alipanga kuiba kura mwaka mmoja kabla ya uchaguzi. Kuna kosa gani wengine kupanga watakavyofanya wakiibiwa? Ukijua mwizi atakuja kwako usiku wa leo, lazima uwe macho. Wakulaumiwa ni yule aliyeanza kupanga maovu. Maovu ukijumlisha na maovu, jibu ni maovu. Hatuwapongezi waliojibu maovu kwa maovu, lakini tunamlaumu aliyeanzisha maovu hayo. Na huyo ni Kibaki. Sasa wamefanya vyema, Katiba imebadilishwa, wamegawana madaraka, mbona Wanandi hawaendelei na maovu? Mzizi wa fitina ulikuwa Kibaki.
gospelgtv 3 years ago
He didn't...now go get yourself a shave,loser!
siasabora 3 years ago
He didn't...now go get yourself a shave,loser!
siasabora 3 years ago
kama munish ni mhubiri na ahubiri lakini aachane na siasa za kenya,tanzania,kwani hakuhitaji,injili?kwanza awahubiriye watanzania
desame12 3 years ago
if you want to read all the page i can send you,pliz stop politics and preach the gospel of Jesus
aishaliz 3 years ago
Human Rights Watch also collected accounts from several Kalenjin men present at community meetings where local elders and ODM mobilizers urged Kalenjin residents to contribute money to purchase of automatic weapons. Some communities have reportedly managed to obtain such weapons already. The same sources confirmed that plans have made to attack camps of displaced Kikuyu and the two remaining neighborhoods in Eldoret town where many Kikuyu homes remain intact -- Langas and Munyaka
aishaliz 3 years ago
local leaders and ODM mobilizers arranged frequent meetings following the election to organize, direct and facilitate the violence unleashed by gangs of local youth. In one case, an ODM councillor candidate is said to have provided a lorry to ferry youth to burn the homes of Kikuyu families in a neighboring community.
aishaliz 3 years ago
a local ODM party mobilizer "called a meeting and said that war had broken in Eldoret town, so the elders organized the youth into groups of not less than 15, and they went to loot [Kikuyu] homes and burn them down
aishaliz 3 years ago
Research by Human Rights Watch in and around the town of Eldoret, which has borne the brunt of the Rift Valley violence, indicates that attacks by several ethnic communities against others, especially local Kikuyu populations, were planned soon after the elections. In some cases, local elders and opposition politicians appear to have incited and organized the violence.clashes between members of the Kalenjin and Luya communities and their Kikuyu and Kisii neighbors in the Rift Valley
aishaliz 3 years ago
munishi your not suppose to say like that as a christian,kibaki kama hangefanya hivyo mngekuwa mkiongea mambo mengine,he saves alot of soul,wanandi walipanga mambo makubwa ya kumaliza wakikuyu lakini mpango wa wanadamu sio mpango wa mungu,so stop being against kibaki God knows why He did that utasema nini?kufuatia habari ifuatayo?nijibu
aishaliz 3 years ago
This has been flagged as spam show
Kibaki aliwatapeli Wakenya. Alisema elimu ya sekondari itakuwa bure, kumbe ulikuwa uongo apate kura. Alipokosa akatumia ECK kuiba kura. Wazazi tumeshangaa kukuta karo ni zaidi ya mwaka jana. Mfano LIMURU GIRLS SCHOOL, mwaka jana tulikuwa tukilipa karo 45,654, wakati mwaka huu ambapo ilitegemewa karo ingeshuka au kutokuwepo kabisa, badala yake wazazi wanalipa zaidi ya 50,000 Binafsi nilipoenda kulipa karo kama inavyoonyeshwa kwenye ratiba yao 43,695, walisema bado 7,000 za tuition ya lazima. Ona
Munishi2 4 years ago
Mkisha nitusi, sasa anzeni kutoa hoja. Kibaki ameonyesha ulimwengu kwamba hakumbuki fadhila.Dunia nzima ilikuwa kinyume naye isipokuwa MUSEVENI pekee.Walimstahi ndiyo maana wakapendekeza agawe madaraka. Vinginevyo amejipunguzia heshima yake sana. Ninapomlaumu simhurumii namsaidia. Ajue madaraka siyo kila kitu. Tena aache mtindo wa kuvunja ngazi akishaitumia kukwea. Bado ataihitaji wakati wa kushuka.
Munishi2 4 years ago
huyu jamaa anataka kuchotewa kitu kidogo munishi wewe ni muhubiri ama mwanasiasa? if the answer is muhubiri then you must be a shameless dog rudi kwenu tanzania mjinga wewe we dont need your help.
redsan305 4 years ago
wewe ni mpumbavu mkubwa kumbe wewe uimba vitu usivyo jua maana yake uliimba ukasema nani kawaroga kuidanganya jamii yote iwe ya wanasiasa ikose neno lamungu.hapaumeingilia mambo ya siasa kweli nyani aoni kundule. wacha ujinga naufundishe familia yako kuvaa waache kuvaa unform saa zote kama shuleni mjinga mkubwa wewe.
redsan305 4 years ago
Wacha ujinga. Rudi kwenyu Tanzania. Kibaki won the damn elections.
ngwaci 4 years ago
if Munishi is not yet a Kenyan Citizen, this video is enough to have him deported. His freedom of speech is not guaranteed in the constitution as a foreigner. Immigration Dept. and police please take notice..
kizee11 4 years ago
munishi you ae a christian and pastor why do you like politics more than God you are suppose to pray but not to furn the fire,at this time our country was facing this problem you are not suppose to say kibaki to step down you let GOD TO DO HIS work your work is to preache gospel so that GOD CAN CHANGE THEM FROM THEIR behaviour,not politics,only prayer can change things but not mdomo,staylike other preacher,don`t spoil the gospel and don`t try to judge
aishaliz 4 years ago
munish you are a very stupid,what are you doing in kenya?kibaki this man must go back to his country tanzania.munish coma mambo ya kenya mdomo kaya
desame12 4 years ago
Usijali. Kibaki amesikia amegawa madaraka. Sasa hakuna kuuana wala kuambiana rudi KWENU. Mbona utamaduni wa kuwarudisha watu kwao umetawala mawazo ya wengi? Cha ajabu hata wakenya ndani ya Kenya wanaambiana RUDI KWENYUU!!! Kwao ni wapi na wako Kenya? Hoja ikikushinda sema hivyo usikimbilie "kwenyuu". Lini mtajifunza kupingana bila kupigana na kurudishana kwenu?
gospelgtv 4 years ago
Kibaki amefanya sawa japo kachelewa. Haikuwa lazima watu zaidi ya elfu moja wapoteze maisha yao ndipo huyo anayejiita msomi wa MAKERERE angamue kwamba ni ghali kuutetea uongo.
Munishi2 4 years ago
Lakini tunampongeza hata kama. Sasa ni wakati wa kufanya kile alichokuwa akitanguliza kabla. Kuponya majeraha ya Kenya na kuwarudisha watu waliotimuliwa makwao. Isingewezekana kufanya hivyo, japo Kibaki alijidai angeweza. Hatujali nani ana mamlaka gani, ila wanasiasa wajue huu ni mwisho wa kucheza na maisha ya watu popote duniani.Jamii ya kimataifa iko macho.
Munishi2 4 years ago
Have munishi turned to be a politician?? Rudi kwenyu TZ. DOn't tell Kibaki what to do
ngwaci 4 years ago
Usijali. Kibaki amesikia amegawa madaraka. Sasa hakuna kuuana wala kuambiana rudi KWENU. Mbona utamaduni wa kuwarudisha watu kwao umetawala mawazo ya wengi? Cha ajabu hata wakenya ndani ya Kenya wanaambiana RUDI KWENYUU!!! Kwao ni wapi na wako Kenya? Hoja ikikushinda sema hivyo usikimbilie "kwenyuu". Lini mtajifunza kupingana bila kupigana na kurudishana kwenu?
Munishi2 4 years ago
Kibaki has said Coalition must be within the law. Which law Mr Mwai? The one that you broke when you rigged election?
You can not steal polliticaly and hide in the law. This is what Kibaki is doing. Please Mr Bush, Do something
gospelgtv 4 years ago
We know. A Kikuyu is a Kikuyu. when he or she is a president, he become Kikuyus President. When he or she own a Media house, or become a jounalist, He is a Kikuyus jounalist. SHAME ON NATION MEDIA for being a Kikuyu Media house. Hata LONDON utawakuta na ushamba wa kutojua kuchangamana na watu wengine. Wanajisemesha hawataki kuwasikia wengine wanasemaje. Ndiyo maana wakale waliposema wawatimue Eldoret, wao walikuwa wakisikiza kameme FM ikiwaambia KIBAKI ATABAKI RAIS wapende wasipende.
gospelgtv 4 years ago
This has been flagged as spam show
Kibaki digging in for war. He does not want to solve this politically. This is what he want. WAR. Bussy forcing Kikuyu to go back to Rift Valley, while chasing other tribes out of Nyeri and Central Province.
gospelgtv 4 years ago
You can not steal polliticaly and hide in the law. This is what Kibaki is doing. "Siasa siyo taasisi, lakini wanasiasa huunda taasisi." "Wabunge hutunga sheria lakini haiwachagui" "Siasa ndio huzaa wabunge ambao hutunga sheria." "Makosa ya kisiasa lazima yatatuliwe kisiasa." KIBAKI ALIIBA KISIASA NA ANAJIFICHA KWENYE SHERIA. HAITAMSAIDIA. AJIUZULU SIASA IANZE TENA. SIYO KUWATUMA WATU MAHAKAMANI.
Munishi2 4 years ago
Hate me or like me, but i stand for what i said. Kibaki is an opotunist. He was not able to remove Moi from power. Raila helped him to do so. But if i were to meet Kibaki, This is what i would have told him. "Raila a Luo said Kibaki a Kikuyu tosha. Why is it so hard for Kikuyu Kibaki to say Luo Raila Tosha??????" Now you said HATOSHI, Kenyans said ANATOSHA. Why use ECK to rob Kenyans of their president????" That is what I want to ask Mr. Kibaki.
Munishi2 4 years ago
2000 men just dont wake up in the morning with new identical Pangas and somehow find themselves walking towards a church where they begin hacking people to death.Ruto overestimated the power he has considering the fact that he owns a big chunk of KTN Standard,used it as a tool for propaganda and thought he will sleep happily well. SORRY Mr. Ruto, the tables are turning the cries of all those children and women are a curse unto you.
Munishi why do you support murders, are you in their pockets?
hatocomrade 4 years ago
I was for Kibaki "TENA" but not any more. I wanted him to win not to use rigg. Now that he has rigged using ECK,I am ashamed. On top of that Kibaki is killing opposition MPs. SHAME ON YOU KIBAKI. I hate you.
masaikweli 4 years ago
Kibaki rigged "live live" Even we MAASAI now dont want Kibaki. The man can take your cows and tell you to go to court. Imagine who will you find in court? Kibaki. This man is a thieve. Kikuyu don't like him because he has cause them lot of problems. He is telling them to go back without a re run of the election wich was stollen by Kibaki
masaikweli 4 years ago
This has been flagged as spam show
Kikuyu are killing KALENJIN and LUOS. We maasai not happy about it. it seems 'bantus' Kikuyu want to finish us.If Kibaki will not stop killing Mps from LUO and KALENJIN, We MAASAIS will help Luos and Kalenjin.
masaikweli 4 years ago
Nation Media shame on you. What is happening in Naivasha is not what you are telling Kenyans. This is ugly.Alljazeera was on Naivasha story when you NTV swich them off. Why use their signal when you dont want them to tell Kenyans how Kikuyu are killing luos in Naivasha??
Munishi2 4 years ago
About America and Britain, to Kibaki they are nothing. even Pastor Munishi is nothing to Kibaki. But if i were to meet Kibaki, This is what i would have told him. "Raila a Luo said Kibaki a Kikuyu tosha. Why is it so hard for Kikuyu Kibaki to say Luo Raila Tosha??????" Now you said HATOSHI, Kenyans said ANATOSHA. Why use ECK to rob Kenyans of their president????" That is what I want to ask Mr. Kibaki.
Munishi2 4 years ago
Annan is wasting his time here. We are aware that it took the intervention of Museveni for Kibaki to see him. Now he has bought the government propaganda that the skirmishes were pre-planned. The government's deployment of the army in sections of the country is proof that war is inevitable. Pack your bags and return to Ghana in time for the Africa cup of Nations soccer Bonanza and let Kenya Burn
wafulamu 4 years ago
Kibaki's generals met in Nairobi last week and raised thirty millions shillings to help the clandestine Mungiki sect carry out revenge activities in the rift v alley and in the outskirts of Nairobi. What is happening in nakuru and naivasha in government supported initiative aimed at getting other communities to submit to the dictatorial Kibaki regime. Let the world know that an all-out civil war is unfolding
wafulamu 4 years ago
Munishi is a Tanzanian, stop interefering in kenya's affairs. Rudi Mtwara bwana munishi. kenyans can solve their own problems.
Starfire92 4 years ago
It is foolhardy for anyone to tell Munishi to to leave Kenya alone when they are praying that Annan, Mkapa and Mandela's Wife safe Kenya. The problem in Kenya needs the likes of Munishi because they come from civilised societies where people chat over a hot cup of Chai thungu. Vipi Mtori kaka brother
wafulamu 4 years ago
How ? Munishi asema ukweli, what do you call kenyan affairs ? the killing of the innocent? Hayo ni maoni yake, the nationality of the guy does not matter , he is not happy with the loss of lifes in our nation . munishi ameishi kenya miaka mingi sababu ya amani na upendo uliokuwa inchi yetu kabla ya uchaguzi uliopita. let us pray and preach peace nawaomba.
softee2 4 years ago
Kibaki lost election. Why share power with him??? Kibaki must step down. If he thinks that Kenyans like him so much, then they should repeat election. Anything alse is trying to buy time. Wait and see.
Munishi2 4 years ago
Its true KIBAKI LOST.Yea if he thinks he really won then let them go for a rerun. Iam a kenyan high school student in Boston MA, but iam nolonger happy of telling pple iam from kenya. its soo embarassing guys.
speedcastro 4 years ago
pole bwana , i face the same problem i work in the midle east , hey kenyans let's reclaim our lost image
softee2 4 years ago
This has been flagged as spam show
Kibaki does not want to talk.The man cares about his presidency, more than lives of Kenyans. To him he is talking to see if he can talk. Forget about Raila and Kibaki shaking hands. The body language speaks louder than words.Preasure from America and London is nothing to Kibaki. The man believes that he can rule Kenya using his own Kikuyu tribe. ODM and Raila have no choice. Lets believe so. If not, we are in for a big thing. God Please dont let this happen.
Munishi2 4 years ago
The Church in kenya is a disgrace. It is the hiding ground for looters and murderers. Brother Ndura Waruinge is back in the streets leading his mungiki Gang in protests to support Kibaki.Paul Patni is preaching the gospel after coning more millions from parliamentary candidates.Muiru has seen the light after a money minting spree in politics.Munishi goes for presidency in Tanzania. God!!!!!
wafulamu 4 years ago
MEDIA in Kenya knows that Kibaki and Raila are not talking. Instead of telling Kibaki to vacate state house, they are talking about Raila to share power with Kibaki.This is the way out REPEAT ELECTIONS, AND LET THE VOICE OF THE PEOPLE BE HEARD. Anything alse is wasting of time. Let the power of ballot decide. Not the power of bullet like Kibaki wants us to believe.
Munishi2 4 years ago
Kibaki and Museveni made a lap of honour in Nairobi yesterday.They rode in one Limo and even inspected the quard of honour.Museveni maniputaes constitutions,rigs elections with impunity,toutures his opponents, supports wars,Kilied Garang, has his army in Kenya.Tell me what his role is in the talks. betrayal!!!!!!
wafulamu 4 years ago
Just drove through the main streets of Nairobi and it is hell.Looting, fighting, miming and the list is endless. surely Kenya has no government and the sooner we realized that the Better
wafulamu 4 years ago
Iwant to meet Kibaki and tell him he can finish this war by saying RAILA TOSHA. Then meet Raila and tell him to say YALIYOPITA SI NDWELE TUGANGE YALIYOPO NA YAJAYO.
Munishi2 4 years ago
I don't simply understand why PNU people don't get the point! Munishi thank you for coming out.
LUK0BA 4 years ago
Munishi's visa is about to expire Rudi Bongo. Of all things sio usalama, sio amani, sio fuata sheria, sio wacheni chuki, sio tusaidie maskini wanao adhubika ni Munishi the judge has decided Kibaki is a liar. Another ODM sypathiser. i wonder how much he got for that PR gimmick.
gkmutua 4 years ago
Thanks Mr. Mutua for reminding me that I have somewhere to go. My worry is about Kikuyus who are Kenyans in Kenya and Kibaki has made their visas expire. Let Kibaki step down,and their visas will be renewed. By Kibaki saying he will defend them, He is making them refugees in their own country.
Munishi2 4 years ago
Bwana Mutua. Sijalipwa na yeyote kusema nisemayo hapa. Ni maoni yangu. Nilimsoma Kibaki kabla ya uchaguzi nikajua atafanya lolote kubaki madarakani. Nikatoa video ya wamasai wakipingana. Imekuwa hivyo hivyo. Sasa nimeona Kibaki yuko tayari kuua wakenya milioni moja abaki madarakani. Iko hivyo. Subirini muone.
Munishi2 4 years ago
Why are you saying kibaki should step down, I respected you munishi for a long time but now I hate you. I worked in the intelligence in Kenya and I know all this politicians. I know Kibaki is one of the few honest leaders in the world. I know eveything that happened in the electionsto the very didgit.
So please dont use God for your own agenda,or maybe Raila payed you.
hatocomrade 4 years ago
Acheni kuuma midomo. Mwambieni Kibaki ukweli Kenya ipone. Urais wa Kibaki kwa sasa una dosari. Kibaki ni babu. Akijiuzulu Kenya ipone atapoteza nini?? Uchaguzi ukirudiwa Wakenya wataamua nani awaongoze. Wanaweza kuushangaza ulimwengu kwa kutowachagua RAILA wala KIBAKI. Kibaki ajiuzulu urais wenye utata. Huo ndio msimamo wangu.
Munishi2 4 years ago
Wakenya mkimwacha Kibaki atumie ujanja wa kuiba kura abaki madarakani, Hakuna siku kura itakuwa na maana Kenya.Machafuko yatatawala kila uchaguzi utakaofuatia huu wa 2007. Lakini Kibaki akijiuzulu, na uchaguzi mpya ukafanywa, Ugonjwa wa machafuko utapona Kenya.Vinginevyo mnalihairisha tatizo.
Munishi2 4 years ago
Sijalipwa na yeyote kusema haya. Nilisoma fikra za Kibaki nikajua atajiweka madarakani kwa nguvu. Ndiyo maana nilitoa video ya wamasai wakieleza jinsi itakavyokuwa. Ilipokuwa kama nilivyotabiri, sasa ni lazima niseme ukweli hata kama unauma upande wa Kibaki. Na ukweli ni huu. KIBAKI TUNAKULAUMU KUWAFANYA WAKENYA WAUANE. JIUZULUU!!!!
Munishi2 4 years ago
Mnaona? Kikwete akipandwa na wazimu zake, anavunja baraza lote la mawaziri. Yaani serikali ni yake, na mawaziri ni mali yake. Kesho akiamua wapinzani Zanzibar wauawe hakuna atakaemzuia. Mkapa aliwahi kufanya hivyo. Huu ndio ukiritimba tunaotaka ubadilishwe. Katiba ibadilishwe ili bunge liwe na mamlaka kuliko rais. Kenya wanauana kwa sababu Kibaki mwenye mamlaka kuliko kila mtu ameamua wakenya wauane. Haifai, siyo sawa.
Munishi2 4 years ago
Munishi you are either under Railas pay or your "fights" with the TZ government are getting you crazy. yOU ALWAYS REBEL AGAINIST AUTHORITY. Get the hell out of Kenyan affairs.
hatocomrade 3 years ago
No one is paying me. Kibaki and Raila are like TOM AND JERRY.Wait and see. Mungu alisema tuheshimu mamlaka inayotoka kwake. Hii ya Kibaki ilikiuka haki ndiyo maana suluhu ilikuwa KIBAKI KUJIUZULU. Alikataa kufanya hivyo. Akalazimishwa kugawa madaraka.Alipogawa akatumia ujanja. Akagawa kwa hila.Walimwambia akubali yaishe, lakini kwa sababu alilazimishwa kukubali na akakubali shingo upande, naona hayajaisha.Bonde la ufa bado kunafuka moshi.Safari hii siyo Raila, ni wabunge wa huko. Wanasema subiri
Munishi2 3 years ago
John Kufuor, chairman of the African Union and president of Ghana, left Nairobi after two days of mediation failed to persuade Kibaki and Odinga even to meet each other.Now Pastor Munishi wants to meet Kibaki and Raila and tell them Kenya is bigger than them. Please Mr Kibaki alow me to meet you.
Munishi2 4 years ago
Bloody clashes between loyalists of Mwai Kibaki, Kenya's rigged president, and Raila Odinga, the opposition candidate, have left around 500 dead since the disputed presidential vote on December 27. I am telling them to save Kenya from more BLOOD SHED.
Munishi2 4 years ago
Have you ever heard of a country where only half of the cabinet is sworn in. Kibaki is purely mad and must now be forced to stop wrecking the country more.
wafulamu 4 years ago
True! Let Kibaki step down and a new election begin. Kibaki is a dictator. By the way, why can't we comment on the Kenyan NTV videos!?? Regards from Sweden
ahaaja 4 years ago
We at gospelgtv will inform you what is the TRUTH. GTV is all you need. Keep watching it here.
gospelgtv 4 years ago
Kibaki is a disgarce to Africa and to those who believe in democracy. those who capotured Charle Taylor should be on their way to get him. such thiefs should be allowed to pervade the world. my heart pleads for Kenya. Bravo Munishi
wafulamu 4 years ago
Yes Kibaki must step down.Not fair for him to rigg an election.
masaikweli 4 years ago
Early in the election, when Raila Odinga went to cast his vote at a polling station in his constituency of Langata, he found that his name was missing from the poll register
Munishi2 4 years ago
The international community is very much aware that Mwai Kibaki and his Party of National Unity (PNU) rigged the December 2007 Kenyan presidential election.
Munishi2 4 years ago
In recognition of this fact, the European Union, Britain, and the United States have refused to recognize the Kibaki government as legitimate.
As members of the international community, we do not intend to allow this blatant act of disregard for the rule of law and for the will of the people of Kenya to go unchallenged.
Munishi2 4 years ago
The list of evidence of election irregularities compiled in this petition contains widely known facts and has been corroborated by various news sources All polls taken before the election favored Raila Odinga and his party, the Orange Democratic Movement (ODM), with Odinga leading Kibaki by a margin of 4%. A mid-December report by the government's own intelligence service gave Raila Odinga an even larger lead of 8% to 15%
Munishi2 4 years ago
over Mwai Kibaki. As the election drew near, the Steadman poll, which is conducted under the leadership of George Waititu, a close friend of Kibaki's, showed Kibaki catching up to Odinga although the total for the three leading candidates added up to 101%
Munishi2 4 years ago
Samuel Kivuitu, chairman of the Electoral Commission of Kenya (ECK), himself acknowledged that the delay would have allowed time for these missing officials or others to rig votes. "This is where cooking could be taking place," said Kivuitu
Munishi2 4 years ago
Prior to Mwai Kibaki's secretive swearing in ceremony, the Kenyan government suspended all live television broadcasts. Coverage of post-election violence, including the government's use of armed police in suppressing demonstrators, has therefore been difficult to verify
Munishi2 4 years ago
Finally, tallies reported by the ECK differed from those announced at polling stations and on television news broadcasts. The New York Times reports that, "The European Union said its observers in one constituency last week witnessed election officials announce that President Kibaki had won 50,145 votes, but on Sunday the election commission increased those same results to 75,261 votes."
Munishi2 4 years ago
Kibaki is a disgrace to Africa, an inigma to democracy and venom to good governance. what a shame that he still considers himself a president. Kibaki has become a Kikuyu tribal chief openly supporting his tribe.Forget the man we voted for in 2002. The current one is a loof,withdrawn and distraughted. Shame
wafulamu 4 years ago
see the hand of the crestfallen Moi in the woes facing Kenya.Imagine,kibaki, Kalonzo,Uhuru,Saitoti,Ongeri, yusuf haji,Noah wekesa, wetangula etc,etc.Dont you see Moi's hand.Think again
wafulamu 4 years ago
To beat kibaki, squeeze him in parliament,supress economic dominance,undermine him internationaly,isolate GEMA nationally and streamline governance
wafulamu 4 years ago
The announcement of President Kibaki as the winner of the disputed elections by the commission led to unprecedented chaos that have seen nearly 500 killed, thousands displaced and millions of shillings worth of property destroyed.
Munishi2 4 years ago
Kibaki dont care. This is what people are saying."I have no home to go to and I have no one to turn to. I now survive on handouts and food rations from wellwishers," she lamented.
Munishi2 4 years ago