James Kimwele. Alizaliwa Kibwezi. Alianza kuimba nyimbo za injili Mombasa kwa mchungaji James Maina Nganga.Walikuja Nairobi kufungua huduma mpya ya Neno.Alipata mchumba hapo Neno. Kabla wakutane kimwili akamuona mchumba ana mimba. Tofauti na ile ya Bikira Maria, hii ilikuwa kwa uwezo wa Pasta mwenye ROHO MTAKAVITU. Kimwele alishauriwa asihofu kumuoa mchumba wake, lakini yeye alikataa na kutunga wimbo huu. Japo aliahidiwa kwamba PASTA angelipaia gharama zote za harusi. Kimwele alikataa kata kata.
Call James Kim +254723552655
gospelgtv 9 months ago
urgggggg......
ritaroggs 2 years ago
James Kimwele. Alizaliwa Kibwezi. Alianza kuimba nyimbo za injili Mombasa kwa mchungaji James Maina Nganga.Walikuja Nairobi kufungua huduma mpya ya Neno.Alipata mchumba hapo Neno. Kabla wakutane kimwili akamuona mchumba ana mimba. Tofauti na ile ya Bikira Maria, hii ilikuwa kwa uwezo wa Pasta mwenye ROHO MTAKAVITU. Kimwele alishauriwa asihofu kumuoa mchumba wake, lakini yeye alikataa na kutunga wimbo huu. Japo aliahidiwa kwamba PASTA angelipaia gharama zote za harusi. Kimwele alikataa kata kata.
gospelgtv 3 years ago