Huu wimbo ni mkali sana. Nimesikiliza mara ya tatu hii kabla ya kucomment hapa. Hapa Dollo ametumia usanii wa hali ya juu. Najuwa watu wengi watakuwa wameguswa kwa sababu it happens all the times. Anapromising future kwenye hii fani. Keep it up man. Keep representing Tanzania and East Africa.
kwanini mademu wanakuaka wanajifanya kama wako makini sana
Yusuf7166 1 year ago
that's true boy ... i give u 5 ,, (^_^) man
TheLil7flow 1 year ago
Kwani hawa ni mabaga Fresh nini???
zinsabila 2 years ago
Diii Hoooo DaBO ELLO HOooo !! Kwi kwi kwi kwi ! damn i love bongo flava fo sho....mzee yaani he is reps kiswanglish ile kinyamwezi !
ujamaabay 2 years ago
kwenda hukouko.
evodius354 2 years ago
Comment removed
mwendao 2 years ago
rep all africa ,,,,,,,,,,
positive30 3 years ago
Huu wimbo ni mkali sana. Nimesikiliza mara ya tatu hii kabla ya kucomment hapa. Hapa Dollo ametumia usanii wa hali ya juu. Najuwa watu wengi watakuwa wameguswa kwa sababu it happens all the times. Anapromising future kwenye hii fani. Keep it up man. Keep representing Tanzania and East Africa.
KAISARI1 3 years ago
eeehh mwaka huu wasikilizaji tutakomaa
annabellnkya 3 years ago
haya nimekoma kabisa ,maneneo nyimbo za kila aina doo ..sielewi mimi
aishpru 3 years ago
mimi pia wananikoroga,ata sijui coment ntasema nini,tutakoma kweli
aishpru 3 years ago
This is tight!...
somaligirl16 3 years ago