Added: 3 years ago
From: jahtheking17th
Views: 6,281
Sort by time | Sort by thread (beta)

Link to this comment:

Share to:

All Comments (3)

Sign In or Sign Up now to post a comment!
  • taarab ni mafumboo, na wazee wetu wakitufunza mafumbo hayo kupitia nyimbo, vitendawili na hasa vitendawili, lakini sasa utamaduni wetu umepotea husikii mtoto akitoa kitendawili wala kusoma mashairi. tujitahidini watu wa east afrika.

  • ukweli ni kwamba naumia kuona jinsi utamaduni unapotea.....watu wanaharibu kiswahili na kila kitu kilocho karibu yake.......mashairi,misemo.nau­mia kua nahisia watoto wetu hawatakulia wakiskia miziki kama hii

  • Hii ndio taarabu ya asili>>Lakini leo tunasikia taarabu kama muziki wa dansi>>Ndugu zangu jaribuni kurudi nyuma muimbe taarabu kama hizi za zamani>.Na taarabu asilie ni pwani sio bara, kwa sasa utaona hata ndugu wasiojua nini maana ya taarabu wanaimba kwa kutumia gittar ambalo halihusiki ktk taarabu shukrani

Loading...
Alert icon
0 / 00Unsaved Playlist Return to active list
    1. Your queue is empty. Add videos to your queue using this button:
      or sign in to load a different list.
    Loading...Loading...Saving...
    • Clear all videos from this list
    • Learn more