Sort by time | Sort by thread (beta)

Link to this comment:

Share to:

All Comments (15)

Sign In or Sign Up now to post a comment!
  • i do like it so much because the man always talks realty,wengne ni mapenz tuu ahaa|

  • HAPA SAWA HUU NDO USANII NA UBUNIFU TUNAO ULILIA KWA WASANII WETU KILA LEO .SI UTANI UNAWEZA WE NI MSANII HASA .MAANA NYIMBO ZAKO SIKU ZOTE HAZICHOSHI KUSIKILIZA. HONGERA.

  • Baba hakika kazi yako ni kiboko. namaanisha kuwa unaelewa nini unafanya. kweli mashahiri yako ni ujumbe tosha kama nabii. Mungu akuzidishie elimu na maarifa katika kuelimisha jamii ya watanzania maana wengi hatujaelewa kiundani jinsi mwanadamu amavyopaswa kuishi ama kuwa.

  • mmh we acha tu

  • hakuna cha kuongeza uncle

  • Mrisho, hishma kwako kwa kazi nzuri unayofanya.

  • Hii ni kazi nzuri sana na inaitaji pongezi. Asante Mrisho

  • Mashairi na ujumbe mzito ulo ndani ya wimbo huu unadhihirisha another one step forward of Mrisho mpoto distinguishing himself from other wasanii of TZ. However, huyo Mdada Maunda mavazi yake kidogo hayaendani na ujumbe mzima wa wimbo huu. Angalivaa kanga mbili au kaniki au gauni bayabaya hivi mithili ya akina mama wa kigogo wa pale ubungo mataa, ingeendana saana. Hapa alivyovaa anaonekana ki-shostito fulani hivi hawiani na hayo maneno anayoyaimba.

  • Kwa kweli sijuwi la kunena, yaani video hii, wimbo huu, shairi hili vimenidara saaaana mpaka ndani ya keto ya mtima wangu! Maneno yatamfikirisha hata maiti. Na kuwa mie ni Mmarekani mweusi, omg, ujumbe una umuhimu wa pekee. Ahsante, ahsanteni.

    Mtembezi

  • Mrisho uko juu mzee! Ujumbe umekaa vizuri, una mantiki sana, unaenda na wakati, unahitajika na umekaa kiTanzania!!

  • safi sana mrisho kazi nzuri

  • .....now huu ndo mziki tunaotaka kusikia....!

  • mzalendo wa Kenya mimi napenda ujumbe wako mzito unaotupa Mpoto kila nisikiapo mi huguswa na ujumbe wako juu ya hayo yote usemayo si eti yanafaa tu kwa wenzetu waTanzania ila pia kwetu Kenya hongera kwa kazi nzuri ufanyayo endelea kuangaza mambo muhimu.

  • Mjomba, kazi nzuri na ujumbe unaoielezea jamii yetu ya ki-Afrika miaka hii ya sasa.

    Natumaini wameelewa.

Loading...
Alert icon
0 / 00Unsaved Playlist Return to active list
    1. Your queue is empty. Add videos to your queue using this button:
      or sign in to load a different list.
    Loading...Loading...Saving...
    • Clear all videos from this list
    • Learn more