dah nilikuwa nauzimia huu wimbo tangu utotoni. Nakumbuka nilikuwa vidudu/ la kwanza nilipousikia mara ya kwanza. Jumapili ilikuwa si jumapili bila kuusikiliza huu wimbo. Good old days....
akiingia kwenye bar, kazi yake kuomba biax2 Hana hata aibu eh,sigara bia anaomba, Mitaani na kwenye mastore akijitangazia eti ni mkurugenzi wa kampuni fulani, kumbe sivyo hivyo!
Usinione mwenge babax2 kwa kukubali wito wako karubandika eh x2 Hayo yote matatizo ya dunia babax2
Nilitaka kujitumbukiza ndani ya moto mie, kumbe bwana yule, hana kitanda wala shuka, pakulala hana, analala kwenye stendi ya basi, pakulala hana, anakesha kwenye kituo cha daladala, KARUBANDIKA, yoyo, acha vituko wewe baba
Nilitaka kujitumbukiza ndani ya moto mie, kumbe bwana yule, hana kitanda wala shuka, pakulala hana, analala kwenye stendi ya basi, pakulala hana, anakesha kwenye kituo cha daladala, KARUBANDIKA, yoyo, acha vituko wewe baba
@bcamerounne,this one it was live concert at Police Officers Mess Dar 2008...
Dekula2 1 month ago
this seems to be a remix of the song, the first one refered to "analala kwenye Kituo cha UDA" and not kituo cha Daladala. nice work
bcamerounne 1 month ago
much respect to a certain kenyan brother for introducing me to this wonderful song! salaam aleikum
EatYourprettymess 1 month ago
rest in peace kyanga mungu akulaze mahali pema
TheBigyosef 2 months ago
KASALOO KYANGA (RIP) the great composer of Karubandika
Dekula2 3 months ago
Quite a nice live version...
A correction to the correction below: I think the actual lyric is "usinione bwege"; don't see me as a fool.
dbpaterson 4 months ago
dah nilikuwa nauzimia huu wimbo tangu utotoni. Nakumbuka nilikuwa vidudu/ la kwanza nilipousikia mara ya kwanza. Jumapili ilikuwa si jumapili bila kuusikiliza huu wimbo. Good old days....
rubamann 7 months ago
CORRECTION! I REALISED THE TYPO, ITS :
usiJIONE MWENGE.. Instead of usiNIONE, PLS CORRECT IT
mwanahawa 9 months ago
akiingia kwenye bar, kazi yake kuomba biax2 Hana hata aibu eh,sigara bia anaomba, Mitaani na kwenye mastore akijitangazia eti ni mkurugenzi wa kampuni fulani, kumbe sivyo hivyo!
Usinione mwenge babax2 kwa kukubali wito wako karubandika eh x2 Hayo yote matatizo ya dunia babax2
mwanahawa 9 months ago
Usinione mwenge babax2
kwa kukubali wito wako karubandika eh x2
Hayo yote matatizo ya dunia babax2
Nilitaka kujitumbukiza ndani ya moto mie, kumbe bwana yule, hana kitanda wala shuka, pakulala hana, analala kwenye stendi ya basi, pakulala hana, anakesha kwenye kituo cha daladala, KARUBANDIKA, yoyo, acha vituko wewe baba
mwanahawa 9 months ago
Usinione mwenge babax2
kwa kukubali wito wako karubandika eh x2
Hayo yote matatizo ya dunia babax2
Nilitaka kujitumbukiza ndani ya moto mie, kumbe bwana yule, hana kitanda wala shuka, pakulala hana, analala kwenye stendi ya basi, pakulala hana, anakesha kwenye kituo cha daladala, KARUBANDIKA, yoyo, acha vituko wewe baba
mwanahawa 9 months ago
mwanahawa 9 months ago
Brings back the time in youth
MrGladwells 11 months ago
Thank you so much for posting this song. It brings me back to my childhood like whoa! My parents loved this song.
CoCoG0DIVA 1 year ago
indeed old is gold,the song has withstood a taste of time,i love it ,one of my favourite
ligalamu 2 years ago
Asante sana Dekula2....safi kabisa
wewetube02 2 years ago