Vukumbi Dekule, great hit, great achievement, I heard this hit sometimes back in BBC radio station, in atual fact I did know where it originates until found here posted, thanks bro. Dekule. Also well placed video shoots. I enjoy the hit. Keep up!!!
Sendema. Baada ya kazi, OMACO nk. Duu, kweli miaka mingi. Mitindo yote ilikuwa mikali si kawaida na inaleta historia yake. Kamanyola inanirudisha siku zote mbali saana. Mwaka huo dada zangu wakaja likizo Sikonge na kutuonyesha BUMPING kwa wimbo wa Dar Internation - Hanifa huna, hakutaki tena ...(walivaa bugaloo na Raizon kwani baba hakuwepo home :) na baadaye ndiyo ukaja "nasema sina ndugu wakuweza nisaidia ...
Hallo buashraf,mimi ni Vumbiiiii,Sendemaa wa Maquis du zaire(Omaco)na zidi kusukuma Jahazi kwa ombi lenu nyinyi wapenzi,enjoy ngoma yako kutoka MAJUU(Dekula)
Hujambo! Ebu nambie? Ninaposikiliza kibao hiki napata mwangwi wa Maquis de Zaire waliotupa kibao kama vile Karubandika. Bila shaka wewe ni mmoja wa Wanamaquis de Zaire ama? Pia vyombo vyenu vinanikumbusha marehemu Ndala Kasheba!
I like your melody thought I didn't get any word in the song, but let me be fair with you, the song has got good bits. Also, can you post in youtube "Mayanga" song that is in your intro of this song (Sultane Qoobus)
HemiOman thanks for your critic,words was translate by my friend(cheick)from Swahili to Arabic,I know some is not perfect,I like people of Oman... peace.
هاسنتي سانا بوووووب والله الغنية بووووووب تمام
albayariq87 2 months ago in playlist bongo fleva
je suis content de cette belle music al harthy....
TheBuja123 1 year ago
belle musique la musique a un touch congolais. Je suis ravi
sangoyasika 1 year ago
this is what i'm talking about ,,,
gargoor 2 years ago
Vukumbi Dekule, great hit, great achievement, I heard this hit sometimes back in BBC radio station, in atual fact I did know where it originates until found here posted, thanks bro. Dekule. Also well placed video shoots. I enjoy the hit. Keep up!!!
aakisondella 2 years ago
asante sana ujuwe unatufurahisha sana licha ya nyimbo nzuri na hao wachezaji ndio wamenimaliza ASANTE SANA MSHKAJI Dekula2
halima3821 2 years ago
bro nice song .. iwant it how can i get it
madmind86 3 years ago
nice song, i want it how can i get it?
madmind86 3 years ago
احسنتووووو بوووووووووووب
iamst 3 years ago 3
Comment removed
ildizastro 4 years ago
Nice song bro. Thx for posting
netlover 4 years ago
Sendema. Baada ya kazi, OMACO nk. Duu, kweli miaka mingi. Mitindo yote ilikuwa mikali si kawaida na inaleta historia yake. Kamanyola inanirudisha siku zote mbali saana. Mwaka huo dada zangu wakaja likizo Sikonge na kutuonyesha BUMPING kwa wimbo wa Dar Internation - Hanifa huna, hakutaki tena ...(walivaa bugaloo na Raizon kwani baba hakuwepo home :) na baadaye ndiyo ukaja "nasema sina ndugu wakuweza nisaidia ...
SIKONGE 4 years ago
Hallo buashraf,mimi ni Vumbiiiii,Sendemaa wa Maquis du zaire(Omaco)na zidi kusukuma Jahazi kwa ombi lenu nyinyi wapenzi,enjoy ngoma yako kutoka MAJUU(Dekula)
Dekula2 4 years ago
Shukran kwa jawabu lako. Nataraji bado unakumbuka mashabiki wako Afrika Mashariki?
buashraf 4 years ago
Aisee Mzee Dekula watu wengi wanahitaji jinsi ya kupata CDs au namna yo yote ya kununua muziki wako je una mawazo yoyo te?
intrepeco 2 years ago
Hi Amasenzia, your request song Mayanga is ready posted,so enjoy Mziki and God bless you thank you(Dekula)
Dekula2 4 years ago
Hujambo! Ebu nambie? Ninaposikiliza kibao hiki napata mwangwi wa Maquis de Zaire waliotupa kibao kama vile Karubandika. Bila shaka wewe ni mmoja wa Wanamaquis de Zaire ama? Pia vyombo vyenu vinanikumbusha marehemu Ndala Kasheba!
buashraf 4 years ago
Thanks Dekula for coming back to me as you always do to others! I'm waiting for that video-"Mayanga" as you promised. Thank you.
amasenzia 4 years ago
Amasenzia thank you for your complement and I appreciate to remind me about to post"Mayanga" God bless You
Dekula2 4 years ago
I like your melody thought I didn't get any word in the song, but let me be fair with you, the song has got good bits. Also, can you post in youtube "Mayanga" song that is in your intro of this song (Sultane Qoobus)
Thank you.
amasenzia 4 years ago
HemiOman thanks for your critic,words was translate by my friend(cheick)from Swahili to Arabic,I know some is not perfect,I like people of Oman... peace.
Dekula2 4 years ago
dude, nice music, but i couldnt understand each single word. R u Sure this is in Arabic? I doubt it
HemiOman 4 years ago
I love this song! It is wonderful. Thank you for posting.
mariedemichon 4 years ago
I'm very happy for your compliment,thank you.
Dekula2 4 years ago
Yes abri87 the song is in arabic,I composed when we was in Muscat Oman music tour.
Dekula2 5 years ago
btw the song is in arabic...i think
abri87 5 years ago
You mean his Majesty the Sultan cause its Sultanate of Oman so he's must be the Sultan of the country and thanks for explanation ..
CRAZYRHYTHM 5 years ago
:S what are you saying translate .. why did you have those ladies dance this way! :| omg this is insane in a way !
CRAZYRHYTHM 5 years ago
The artist paying tribute to His Majesty the King of Oman,ladies dance that's the band using to perform
Dekula2 5 years ago
hey mr swahili! whts this all about??
hharthi 5 years ago
The song sultan Qaboos Dekula paying tribute to His Majesty the King Oman
Dekula2 5 years ago