Eti Mungu ni Mwanasiasa wa chama kimoja? Umekosea. Kwamba alimtimua Shetani Mbinguni haina maana Mungu hapendi upinzani. Hata hapa duniani alikomtupa Shetani bado ni himaya yake Mungu. Haikuwa kibali kwa CCM kutumiwa na Shetani kuharibu Maisha ya Watanzania. Ndiyo maana Tunamkemea Yeye Shetani na CCM watoke Tanzania. Umeelewa Siasa ni nini na inakomea wapi? Twambie mpaka uko wapi?
Eti Mungu ni Mwanasiasa wa chama kimoja? Umekosea. Kwamba alimtimua Shetani Mbinguni haina maana Mungu hapendi upinzani. Hata hapa duniani alikomtupa Shetani bado ni himaya yake Mungu. Haikuwa kibali kwa CCM kutumiwa na Shetani kuharibu Maisha ya Watanzania. Ndiyo maana Tunamkemea Yeye Shetani na CCM watoke Tanzania. Umeelewa Siasa ni nini na inakomea wapi? Twambie mpaka uko wapi?
gospelgtv 2 months ago