tafadhali mwende kwetu muta pata hela munahimba vizuri sana ila munaacha watanzania wawa tumie kama vibaruwa vyao,christian bella etc. nakukuakikishia ukirudi kuimbia kwetu DRC basi utafanikiwa sana,sisi ndugu zako tupo wengi sana europe,US, and all over ,tutakupandisha kwakukuita kuja kupiga muziki huku leo una maneger anaye kukula hela mwenyewe ajuwi kitu chochote,nimesikia habari zenu wakati nilikuwa bongo nilisikia roho yangu kuhuma please bolamuka bozonga na mboka na biso please,please.
@00243ndule unajuwa kuimba mais, pour hamupendake kwenda ku peform kwenu congo? leo Lubumbashi njo kuko pesa, mais hakuna vrais leader wa nguvu pale, kama unaenda pale uta tengeneza pesa, ju unaimba mu luga ya katanga na Est ya congo yote, uta fanunya hela, goma,bukavu,kisangani,butembo,kalemie,kindu , ile ni ngambo tu ya swahili, mais jinsi uko polivalent unaimba na mulingala donc uta cartoner congo muzima.leo ulisha fanya jna TZ,KENYA, ECT... SASA WENDE CONGO NA LUSHI NJO KUNA PESA
it is cool, nyie wakali bhana
329849 4 months ago
Great, great song from Tanzania. Keep it up.
MUKARUKA 7 months ago
Greatm great song from Tanzania. Keep it up.
MUKARUKA 7 months ago
tafadhali mwende kwetu muta pata hela munahimba vizuri sana ila munaacha watanzania wawa tumie kama vibaruwa vyao,christian bella etc. nakukuakikishia ukirudi kuimbia kwetu DRC basi utafanikiwa sana,sisi ndugu zako tupo wengi sana europe,US, and all over ,tutakupandisha kwakukuita kuja kupiga muziki huku leo una maneger anaye kukula hela mwenyewe ajuwi kitu chochote,nimesikia habari zenu wakati nilikuwa bongo nilisikia roho yangu kuhuma please bolamuka bozonga na mboka na biso please,please.
rokaduz123456 11 months ago
Bella unatisha kaka kaza msuli utafika mbali
SuperSelemani 1 year ago
mziki mzuri ndugu huo
mugogowehu 1 year ago
poa sana
mwanue 1 year ago
kitoko ! continuez comme ça . bravo les gars .
cherokees243 1 year ago
@cherokees243 merci pona soutiens!
00243ndule 1 year ago
@00243ndule unajuwa kuimba mais, pour hamupendake kwenda ku peform kwenu congo? leo Lubumbashi njo kuko pesa, mais hakuna vrais leader wa nguvu pale, kama unaenda pale uta tengeneza pesa, ju unaimba mu luga ya katanga na Est ya congo yote, uta fanunya hela, goma,bukavu,kisangani,butembo,kalemie,kindu , ile ni ngambo tu ya swahili, mais jinsi uko polivalent unaimba na mulingala donc uta cartoner congo muzima.leo ulisha fanya jna TZ,KENYA, ECT... SASA WENDE CONGO NA LUSHI NJO KUNA PESA
wakinyenya 1 year ago
Oh boy ya killing this time! i love this song
simpleJK 2 years ago