Swadakta buashraf! mbona maneno makali mwenzangu? lakini wazee wametwambia mambo mengi! "Mfuata nyuki hakosi asali,Kupotea njia ndiyo kujua njia" kazi unayo!
Umegonga ndipo wala hukusaza kitu! Hata hivyo wazee hao hao wametwambia "fuata nyuki ukafe mzingani!" Lakini husemwa nzi kufia kwenye kidonda si hasara. Upo?
Fahamu "Fadhila mfadhili mbuzi binadamu atakuudhi". Kazi kuomba Mngu asalie kwako kwani kwenda kwa mwengine si kazi. Kutanabahi unajikuta huna kwani "Dunia khadaa!"
Hahaha...the lyrics
rickomba 3 weeks ago
acheni jamani kunga'ng'ania vya watu, au mnaliweza bifuuuu!! msione vinang'ara mkatamani, vimeshughulikiwa jamani, heeeeeeeeeee jamani rahaaaaaaa
kiongoz 1 year ago 2
Bi Khamis mrembo jamani....she's my type. Tafadali cheza tight marking kwangu...hehe
Fezzoh18 2 years ago
I am amazed by this song and as fan of taarab whom I am, I can only savor.
DOIFIRI 4 years ago
Im from Somaliland and I like the music. I dont understand Taarab/Swahili music but this sister has a great voice.
ingly2007 4 years ago
where in the map is somaliland ,,,do u mean somalia?
aneys2000 3 years ago
i believe he/she means somalia.
somaliland is part of somalia
talisjamame 2 years ago
Ramso weka hio party two basi!
WaLushoto 4 years ago
Mlimbikizie mapenzi ela usisahau washatwambia wazee wetu "apendwaye akijua hakosi kujishauwa".
Fahamu "Fadhila mfadhili mbuzi binadamu atakuudhi". Kazi kuomba Mngu asalie kwako kwani kwenda kwa mwengine si kazi. Kutanabahi unajikuta huna kwani "Dunia khadaa ulimwengu shujaa!" Omba kheri!
buashraf 4 years ago
Swadakta buashraf! mbona maneno makali mwenzangu? lakini wazee wametwambia mambo mengi! "Mfuata nyuki hakosi asali,Kupotea njia ndiyo kujua njia" kazi unayo!
shushuuy 4 years ago
Umegonga ndipo wala hukusaza kitu! Hata hivyo wazee hao hao wametwambia "fuata nyuki ukafe mzingani!" Lakini husemwa nzi kufia kwenye kidonda si hasara. Upo?
buashraf 4 years ago
Mlimbikizie mapenzi ela usisahau washatwambia wazee wetu "apendaye akijua hakosi kujishauwa".
Fahamu "Fadhila mfadhili mbuzi binadamu atakuudhi". Kazi kuomba Mngu asalie kwako kwani kwenda kwa mwengine si kazi. Kutanabahi unajikuta huna kwani "Dunia khadaa!"
buashraf 4 years ago
Sauti inamtoa pweza mwambani
WaLushoto 4 years ago
eeehe! kumekucha na jogoo anawika! mambo gani hayo ya kuporana? eebu shoga, msute!
shushuuy 4 years ago
kweli kama rashisi chuma chako utumie...... what else???
Auntiejey 4 years ago
hmmmmmmmmmmmm hiyo kiboko chao..maneno
Auntiejey 4 years ago
Haluuuuuuu. Kwa huba zangu hajiwezi starehe mara kwa maraaaaa. aaah uto wahi kunipora shoga nimekaza uzi.....
likedatshorty 4 years ago