Tatizo ulipokuja mara ya kwanza ulikuwa umeandikwa kwa lugha ya kiengereza.. Ukaenda kufanyiwa marekebisho na wadau waliagiza uandikwe kwa kiswahili lugha ambayo ni lugha mama ya Watanzania. Hapa hapataki Degree wala Diploma, Watanzania walio wengi hawajui kiengereza hasa lugha za kisheria. Baada ya kuadikwa kwa lugha ya Kiswahili ulikuwa urejeshwe kwa Watanzania ushapishwe kwenye magazeti kila mkoa kuujadili. Katiba sio ya Wadau, wanasheria wala Serekali. Hii ni Katiba ya Watanzania...
Tatizo ulipokuja mara ya kwanza ulikuwa umeandikwa kwa lugha ya kiengereza.. Ukaenda kufanyiwa marekebisho na wadau waliagiza uandikwe kwa kiswahili lugha ambayo ni lugha mama ya Watanzania. Hapa hapataki Degree wala Diploma, Watanzania walio wengi hawajui kiengereza hasa lugha za kisheria. Baada ya kuadikwa kwa lugha ya Kiswahili ulikuwa urejeshwe kwa Watanzania ushapishwe kwenye magazeti kila mkoa kuujadili. Katiba sio ya Wadau, wanasheria wala Serekali. Hii ni Katiba ya Watanzania...
simple82best 3 months ago