Kibaki angefaa kupata funzo katika kuapishwa kwake Obama kwa kuona jinsi ambavyo watu walisherehekea si kama yako ambayo ilifanyika muda mfupi baada ya wananchi kudanganywa kuwa Kibaki ni mshindi.Bila hata hadhira mzee' uliaibisha sana nchi yetu.
Bwana MUUMAMDU wataka nimsifu Kibaki? Nitafanya hivyo. Ni rais aliyerekebisha uchumi. Akashindwa kuwaunganisha wakenya.Akawatenga kwa misingi ya kikabila. Akajizungushia matajiri marafiki zake wasiojua siasa. Kiburi cha pesa na mali kikaitumbukiza Kenya katika vita ya wenyewe kwa wenyewe. Yote hayo namlaumu Kibaki. Hizo ndizo sifa zake. Siwezi kuongeza wala kupunguza. Hata kama nitachinjwa leo. Wachilia mbali kufurushwa. Ukweli ndio huo nijuavyo. Mwingine anieleze kulikoni nibadili mawazo.
Yalikuwa madukuduku, Kibaki akayafanyia kosa la kwanza kuiba kura, likazaa kosa la pili watu wasohusika na wizi wa kura wakahamishwa makwao, wengine wakauawa kinyama. Haikuishia hapo, Wakikuyu nao wakafanya kosa la tatu, Kuua wajaluo NAIVASHA wengine kwa kuwachoma moto, na kuwahamisha makabila mengine kwao. Sasa kuna maongezi ambayo yanapaswa kusimamisha makosa yasiendelee, siyo kuhalalisha kosa la kwanza. Kama kuua wote ni wauaji.
God bless you word forever
thierry1153 10 months ago
Munishi na nyimbo zake, hahahaha
agrenveng 1 year ago
Kibaki angefaa kupata funzo katika kuapishwa kwake Obama kwa kuona jinsi ambavyo watu walisherehekea si kama yako ambayo ilifanyika muda mfupi baada ya wananchi kudanganywa kuwa Kibaki ni mshindi.Bila hata hadhira mzee' uliaibisha sana nchi yetu.
caratieno 3 years ago
Bwana MUUMAMDU wataka nimsifu Kibaki? Nitafanya hivyo. Ni rais aliyerekebisha uchumi. Akashindwa kuwaunganisha wakenya.Akawatenga kwa misingi ya kikabila. Akajizungushia matajiri marafiki zake wasiojua siasa. Kiburi cha pesa na mali kikaitumbukiza Kenya katika vita ya wenyewe kwa wenyewe. Yote hayo namlaumu Kibaki. Hizo ndizo sifa zake. Siwezi kuongeza wala kupunguza. Hata kama nitachinjwa leo. Wachilia mbali kufurushwa. Ukweli ndio huo nijuavyo. Mwingine anieleze kulikoni nibadili mawazo.
gospelgtv 3 years ago
Let them deport WAKI as well.
gospelgtv 3 years ago
Be careful. they might deport u. lol
muumamdu 3 years ago
Kibaki akubali suluhu. Yeye ndiye mwanzilishi wa haya. Watu wanamuonea haya kwa nini?
gospelgtv 4 years ago
Yalikuwa madukuduku, Kibaki akayafanyia kosa la kwanza kuiba kura, likazaa kosa la pili watu wasohusika na wizi wa kura wakahamishwa makwao, wengine wakauawa kinyama. Haikuishia hapo, Wakikuyu nao wakafanya kosa la tatu, Kuua wajaluo NAIVASHA wengine kwa kuwachoma moto, na kuwahamisha makabila mengine kwao. Sasa kuna maongezi ambayo yanapaswa kusimamisha makosa yasiendelee, siyo kuhalalisha kosa la kwanza. Kama kuua wote ni wauaji.
Munishi2 4 years ago