This man could get rit rid of his heroin addiction?! Hoooow?He abused it for such a long time......how damn strong he must be and how much will power he must have...Oh god ..so many people could learn a lesson or two from this intelligent man!!!I think he deserves a prize for that!He must be tempted every single day and he resists doing it......I respect him a lot!!!
nlikuwa mombasa juzi kwa miezi 11 na yale nliona huko ni ya kushangaza na tusikitisha...huu unga umeharibu vijana wengi sana,vijana wadogo na wazuri.Serikali pia ilitangaza ati wameshindwa kupigana na madawa ya kulevya,kupitia kwa radio fulani,kenya.kusema kweli wkenya lazima tufanye jambo kuhusu hay madawa ya kulevya,maana vijana wetu,wanapotea na maumbwa koko wauzao maunga wanatengeza tu pesa kwa kuharibu watoto wa watu..
This man could get rit rid of his heroin addiction?! Hoooow?He abused it for such a long time......how damn strong he must be and how much will power he must have...Oh god ..so many people could learn a lesson or two from this intelligent man!!!I think he deserves a prize for that!He must be tempted every single day and he resists doing it......I respect him a lot!!!
wannaknowit 1 year ago 2
nlikuwa mombasa juzi kwa miezi 11 na yale nliona huko ni ya kushangaza na tusikitisha...huu unga umeharibu vijana wengi sana,vijana wadogo na wazuri.Serikali pia ilitangaza ati wameshindwa kupigana na madawa ya kulevya,kupitia kwa radio fulani,kenya.kusema kweli wkenya lazima tufanye jambo kuhusu hay madawa ya kulevya,maana vijana wetu,wanapotea na maumbwa koko wauzao maunga wanatengeza tu pesa kwa kuharibu watoto wa watu..
derisa71 1 year ago
This is real time learning. Excellent education. Ahstate sana bwana.
kibokoyao1 1 year ago