hi i would like to say inshallah sisi tutawakuboka daiama and may allah always forgive all what u left behind the world and allah will always take care of ur family lakini mbona we can only see maiti ya issa kijoti jeneza lake lawegini hakuna ubaguzi wa nini
MOLA AWALAZE NYOTE PEMA PAMOJA NA WEMA WALIOTANGULIA, GONE TOO SOON, POLENI NDUGU NA JAMAA WOTE TANZANIA, NA WAPENZI WA TAARAB.KUONDOKEWA NA 13 PEOPLE AT ONE TIME NI MSIBA MKUBWA KWELI...TUPOE SOTE, WALIO UMIA NAWATAKIA KUPONA HARAKA.
ulale salama kwa kweli
zindy41 1 week ago
nice song, this clearly explains what cheater do
ftluma23453 2 months ago
R.I.P..njia yetu sote..
323fb2 5 months ago
very nice kijoti umenimaliza
TheMrshecky 6 months ago
My heart goes out to the families and loved ones of those who tragicaly lost their lives who perished in the road accident. May they RIP
kokwi 6 months ago
lol huyu alikua yuaja kali rest in pis braza yahuzunisha sote njia ni moja ila wewe umetangulia
aminare88 8 months ago
Eternal peace be upon you.....Good night we will meet again. Lovexxx
kokwi 10 months ago
mungu awalaze mahala pema peponi tuliwapenda lakini mungu aliwapenda zaidi
TheMarveller 10 months ago
mungu awalaze mahali pema peponi
BabuNLProduction 10 months ago
Mola aziweke roho zao mahala pema. RIP
vmwanza2000 11 months ago
hi i would like to say inshallah sisi tutawakuboka daiama and may allah always forgive all what u left behind the world and allah will always take care of ur family lakini mbona we can only see maiti ya issa kijoti jeneza lake lawegini hakuna ubaguzi wa nini
rukiduliz 11 months ago
MOLA AWALAZE NYOTE PEMA PAMOJA NA WEMA WALIOTANGULIA, GONE TOO SOON, POLENI NDUGU NA JAMAA WOTE TANZANIA, NA WAPENZI WA TAARAB.KUONDOKEWA NA 13 PEOPLE AT ONE TIME NI MSIBA MKUBWA KWELI...TUPOE SOTE, WALIO UMIA NAWATAKIA KUPONA HARAKA.
dheldam 11 months ago
@dheldam Nani jamani amefariki?!!
kokwi 11 months ago
@kokwi wengi wamefariki wamefika 13 n wengine wamejeruhiwa. Huyo anaeimba nichum, mwenye suruali nyeupe ni mmoja wa waliofariki
kul3 11 months ago
RIP bro Mwenyezi Mungu akuweke mahali pema peponi
borndrunk76 11 months ago
Na kweli waache na maisha yao!!!!!!
kokwi 11 months ago
super super super!!!!!!!!!!,
mrmwera 1 year ago
hiii kweli! ni tanzania morden super taaarab! absolutely, made tanzania! love it!!
001997nl 1 year ago
Habari ndo hiyoooo msg sent and delivered!
mavimavimatako 1 year ago