Added: 4 years ago
From: ramso007
Views: 99,331
Sort by time | Sort by thread (beta)

Link to this comment:

Share to:

All Comments (32)

Sign In or Sign Up now to post a comment!
  • nyumbo ni nzuri lakini ndio nini kuvaa maguo ambayo wala sio utamaduni wako wala hayajakupendeza ungetnga msuli ningekuelewa

  • wimbo ni mzuri lakini kucheza sio heshima kabisa mpaka hao wanaume hawafai kabisa katika jamii kwanza kiafrica. asante sana kwa wimbo ?

  • hapo ss watajibebaaa

  • haloooooooooo jamani wenye kuumwa na waumwe sana hehehehehehe ni meruka nae mtaumwa sana kila kukicha i saidit yomiiiiiiiiiiiiii asala.....

  • wimbo mzuri, lakini wanawake kucheza kama nguruwe

  • jamani kupendana raha yasalam mzee yusuf

  • ramso007 thank you have choosen very nice song

  • safi sana

  • Someone get me contacts to that lady in pink !!

  • Is this Flavor of Flava gud song though

  • What does nakshi mean?Please,anyone.?

  • Hey! Nakshi nakshi ni kitu kiko bomba saaaana. Yaaani msichana mzuri ambaye umekukolea kwa kila kitu. Enjoy.

  • @shushuu1 thank you.

  • umelegea we ni msenge nini si umpe mkundu au nikupe namba yake ya simu

  • Mzee Yusuf yupo barabara nyimbo nzuri tamu nakubali naye hapo sawa kweli kupendani ni raha kweli.

  • Mzeee Yusuf ni basi tu upombali na mimi. This song inanilegeza sanaa

  • nakipenda kitoto hiki katika wimbo huu

  • lol the song is so beautiful mzee yusuf u kill me .umenifanya nikumbuke back home mtoto mcheshi ameumbika kinakshi wenye kuumwa na waumwe.

  • hii nyimbo ni soo gud.

  • Mtoto mcheshi ameumbika kinakshi @ 5:29 to 5:44 gal in white n red dress!!

  • jamani kupendana raha.. lo nyimbo kali sana..

  • that songs is very beutiful song in every were

  • Do nyimbo hii kali sana,nimetoka mombasa juzi na kila harusi nikisikia nyimbo hii.

  • SO SO BEAUTIFUL MUSIC sauti hii ni tamu tamu saaaaana asante sana for posting this vid.

  • Hilo joho ndio limeniacha hoi, nilifikiri ni Benedictus wa kule Rome, wanawake wanapendeza na huko kunyanyua kwao kwa nyuma

  • hehehe! umenichekesha hapo, walushoto!

    na kweli kama Benedictus XVI, joho la nguvu!

  • lol

  • it nice men

  • wee mzee! acha kuturusha roho na huyo mpenzi wako bwana, tunajua unakula kwa nakshi nakshi!

  • rams your the best... i get soo excited whe i see you have posted new ones

    lol

  • Nice one thanks bro

  • nice song thanks ramso007

Loading...
Alert icon
0 / 00Unsaved Playlist Return to active list
    1. Your queue is empty. Add videos to your queue using this button:
      or sign in to load a different list.
    Loading...Loading...Saving...
    • Clear all videos from this list
    • Learn more