Nyerere
6:17
Added: 3 years ago
From: Udisungwa
Views: 12,252
Sort by time | Sort by thread (beta)

Link to this comment:

Share to:

All Comments (7)

Sign In or Sign Up now to post a comment!
  • Suby upo wapi mkuu we need to chat! Labda tunaweza tuka-create pamoja

  • we jamaa creative!

  • Inchi yetu haina dini Nyerere niuwongo kwa sababu wimbo wa taifa ya Tanzania umetungwa Vatican kahio niuwongo kwamb Tanganyika haina dini

  • @IBENSADUUN09 Tumia kigezo kingine chenye mashiko kusema Tanzania ina udini. Hilo la wimbo umeonesha kutokomaa kitafakuri. Kuna mambo mengi tu unayoweza kutumia kudhibitisha udini serikalini na sio wimbo kutungwa Vatican. Hata kana ungetungwa Mwitongo ama Torabora, panapo ulazima wa kutumia wimbo kutoa hukumu bado ujumbe uliomo katika wimbo ndio ungekuwa dira kama Tz ni ya udini au la!

  • @IBENSADUUN09 NB: Kwa kukusaidia ili kukupunguzia hisia zilizozidia fikra na kugubika ufahamu wako ni kwamba, Wimbo huu ulitungwa South Africa na Enock Sontonga mwaka 1897 ukiwa wimbo wa ANC na baadae kuwa wimbo wa Taifa la South Africa....Na kwa ujumbe uliomo hauoneshi Uislamu wala Ukristu wala Uhindu bali upo flati kwa watu wote, labda kama kuna mtu haamini Mungu ndiye atakaye ona amebaguliwa na wimbo huu.

  • Asante kwa hii video... respect!!

  • nice video man, we need to hang out next time i am in town.

    Mambo?

Loading...
Alert icon
0 / 00Unsaved Playlist Return to active list
    1. Your queue is empty. Add videos to your queue using this button:
      or sign in to load a different list.
    Loading...Loading...Saving...
    • Clear all videos from this list
    • Learn more