ukosefu wa ndhamu sio mwalimu achape mtoto ndio mwalimu awe na rahaa ati akichapa mtoto kwa madai ni kudumisha nidhamu , hiyo kando kama mwalimu hana hekima kwa watoto pia watoto hawana hekima kwa mwalimu ,mwalimu akijipanya police shuleni basi ni mchezo wapaka na panya na anaye umia sana ni paka mwenye nguvu
lazima watu waadhibiwe, wasipo pewa nidhamu basi tutakwama kama wakenya.
wawaithira 2 years ago
ukosefu wa ndhamu sio mwalimu achape mtoto ndio mwalimu awe na rahaa ati akichapa mtoto kwa madai ni kudumisha nidhamu , hiyo kando kama mwalimu hana hekima kwa watoto pia watoto hawana hekima kwa mwalimu ,mwalimu akijipanya police shuleni basi ni mchezo wapaka na panya na anaye umia sana ni paka mwenye nguvu
wakisuvi 2 years ago