Added: 3 years ago
From: bamariz
Views: 244,993
Sort by time | Sort by thread (beta)

Link to this comment:

Share to:
see all

All Comments (84)

Sign In or Sign Up now to post a comment!
  • wazee wacheni vitana tuendeleze lugha yetu ya kiswahili kweli twajua sisi wakenya kiswahili yetu si sanifu kwas kusema lakinin kisarufi tuko mbele zenu,inawaje tume kumbwa na luhga zetu

  • Don't know about this particular upload lakini kusema ukweli, I think the only thing Kenyan here is the woman in jeggings...... lol

  • love it. sole gyration

  • This song iz frm mombasa!wacheni ukabila,chuki,ma2c etc enjoy da song...nice weekend ol

  • Wakenya kila kitu yao,hivi hata huu wimbo mkisikiliza hamwoni tofauti na kiswahili yenu ya kishenzi?wakenya kweli mikundu.

  • Wimbo ni wa Mombasani, kwani mbona tenda kuna tashwishi? Hapa ni mombasani dooh! Nyumbani tena sana. Aangalia viuno ujionee. Viono vya wabongo kama kawaida ni vinene kidogo, kwa hivyo haviwezi kukatwa kitaalamu na kichakacha tunavioona kwenye video. Siku njema Waafrika Mashariki! Tuko pamoja! Mola azidi!

  • @nocky137. This ain't no Zimbabwe thing. This is Kenya damu. This is how we do it.

  • I Love mama land Africa. Nice Kenyan Chakacha

  • هدو المسلسل هدوه ابئيدة قراحة هدوه كبر البراحة  هدوه ههههههههه والله التراث له منبع

  • its sounds like shona tho from zimbabwe

  • its sounds like shona tho

  • wat the fuck you all talkin about kenya kenya kenya nenda kanye lol swahilli is original from tanzania check the history before u make stupid coments

  • @abdulkasim47 sasa rafiki yangu, mbona mnaheshimu mipaka ya wakoloni? Kwa hivyo mkoloni angeamua kwamba kenya na Tanzania ni nchi moja Kenzania, basi mngesemani jamani? Kuwa mziki ni wa wapi na kiswahili ni cha nchi gani? Ukweli ni kwamba kiswahili ni cha nchi zote kwa sababu kilizungumzwa pwani kwote kuanzia somalia hadi kusini Tanzania.

  • Comment removed

  • kama vp mombasani hoyeeee dungwandani mpaka udigoni ;) hahaha

  • THIS IS KENYA MOMBASANI

  • I do agree with those who say the video is from Tz though the song is from Kenya, if you watched kilimanjaro modern taarab you'll see famiilar faces wish i could get a wife from East African coast

  • I do agree with those who say the video is from Tz though the song is from Kenya, if you watched kilimanjaro modern taarab you'll see famiilar faces

  • Mombasani duuh. Afrika Mashariki twatamba!

  • Utaaamu Ulioje. Kata chako mwenyewe!

  • waoooooo! thas why I like ma real hood this is typical coast music, Bagamoyo, kilwa, zanzibar, dar es salaam sana 2.

    Miss this shit so bad....

  • Point of correction dis is kenya song nd dance

  • Pangani, Tanga,Tanganyika. Oyeeeeeeee. Home Sweet Home.

  • heheeeeeeeeeeeeeeeee!

    

  • great music and dance. Love it!!

  • hayo ndio maradhi

  • habari ndo hiyo!!! mambo ni kata kata.

  • Beautiful art and beautiful rhythm of Tanzania, a country rich in heritage and civilization, Moses, Saudi Arabia

  • @funnykrkrkr this is Real kenyan stuff, i forgive you for the confusion if you are not from east africa you wouldn't know it. i am proud of our culture as east africans but this is distinct and strictly from mombasa (and the coastal region of kenya).

  • wa kenya hawana viuno ku kata! Dar oyeeeeee!!!!!!!!!!!!!Kata dada kata!!!!!

  • LOL! This argument never dies! Cha maana sio kule wimbo ulipotoka. Sote tuskize na tuburudike! Kenya, Bongo, Dar, Mombasa e.t.c sote ni waafrika! So enough arguments! VIVA EAC!!

  • Sawa waache wakenya wakatike mtindo wa Bongo

  • Wacha kudanganya watu, hivi ni viuno vya Bongo na sio Kenya.

  • @MrIbrahimaa wacha zako wakenya , wabongo wote wacha wakate

  • PLease take me back homeee.....memories sweet memories

  • duh hii mombasa au tanzania? coz niliona long time hii video in tanzania

  • @sumaridesfree

    Tanzania.

  • waaw

  • nakumbuka iyo song harusini!!! kitambo!!! Asante

  • nakumbuka iyo song harusini!!! kitambo!!!

  • I think this is Msanja or Ngoma ya Ndani which is from coastal region of Tanzania, I was Never allowed to watch when i was growing, 40 years later its on the You Tube kids can watch

  • @Balomega  hahaha

  • KENYA ROX

  • kata bibi we mimi niko hoku england

    and im only 11 naguwa kiswahili vizuri

  • @TheSasha611 mbona basi wasikiza nyimbo za wakubwa wako

  • sisemi kitu, mama asikupate ukikata kiuno.

  • CACHAVALI

  • @AFAHAFHAF hahahahha man umenichekesha bana..eh i forgot that word mpaka nikaionaleo lol thanks you gave me a really good laugh!!

  • kata mama hakuna anaye nipita kukatttttttttttttttttttttt

  • Name of the song: 'Kata Mwanagu' . Artist: The Kilimanjaro Band from Dar-es-Salaam, Tanzania.

  • @msaniiTZ TZ music is da best woot woot

  • @msaniiTZ his is not the version by Kilimanjaro Band. This is the verson that was done in the 70s by Mombasa Roots based in Mombasa Kenya. Check Mombasa Roots-Kata here on You Tube.

  • What is the name of the song and the artist????

  • Comment removed

  • thro ignorance you've made some sweeping statement and who knows where you getting your facts from!

    have you seen how people 'behave' in the developed world yet the have the least prevalence of HIV?

  • Comment removed

  • jimbo zuri mno

  • rengua rengua....kichinichini

  • kata kata, kata mwanagu kata

  • kesha ya makungwi?

  • HAKUNA MATATA!!

  • mambo shega --mwatufurahisha kina dada  --kateni mpaka tuone raha

  • Im not kenyan but i heard a woman from kenya singing this song on come dine with me and i love it!

  • kenyans are the best babe....atleast u got a memory from a kenyan..nice

  • @Bimpstar hahaha

  • @Bimpstar I heard the woman too

    Sarah

  • @Bimpstar yeh u don know. heard it too

  • @rakes64.....kistobe juu...umenikumbusah hilo jina nlilisikis mombasa kitambo sana....lo....ulaya tungekuwa na sikukuu kama hizi tungelikuwa hatuna neno..ila twashukuru kwa wanaotuekea nyimbo za nyumbani hasa taarab

  • MAMBO ROJO ROJO..TSAWEEE!!! A yeee yahhh!! SEPETUKO HIVYOO!!

  • poa sana.. kata usiogope lol

  • Kistobe juu!! Aa yee yah! Mzee hi kitu ni moto moto  ata kama ina toya mshuzi mara nyingineye. Shukran. Thank yu genterman and e radis and look you soon and look matako shake shake lika a milkshake'.

  • Ngoma safi, wakina dada wafurahisha matako kwa bidii.

  • lovely music & dance

  • Wani kumbusha utoto wangu!!! Shukrani

  • mambo hayo! mambo rojo rojo!

    leo sijali ya mtaani, kwangu nimemzibiti, hasikii wala haoni, jaribu kwa wengine!

    Ajab! wanikumbusha nilipokuwa nasomea shule ya upili na hayo uvijana ya muziki na mamanzi kukatika! kata kataaaaaaaaaaaaaaaaaa kata

  • thanz man c.k is mya elder bro

  • mama mia, someone take me to Africa pleaseeeeeeeee

  • lol

  • @13triki tell me when you wanna go am in california..we can go together...

  • Kata usiogope, kata chaku mwenyewe, walahu kuwazima,hebu leo jitole, hebu leo jioneshe, hebu leo kingishe...

  • vitu vikali kali kama hivi inabidi mzee mzima kama mmi bukhaatir ni get in2 it....bamariz wewe kijana mambo yako makubwa inabidi ni chukue life boat huwenda ni kazama maji makubwa.....

  • thax bro

  • Kataaaa,Katta!!!

Loading...
0 / 00Unsaved Playlist Return to active list
    1. Your queue is empty. Add videos to your queue using this button:
      or sign in to load a different list.
    Loading...Loading...Saving...
    • Clear all videos from this list
    • Learn more