Added: 5 years ago
From: KINGAJA
Views: 88,933
Sort by time | Sort by thread (beta)

Link to this comment:

Share to:

All Comments (45)

Sign In or Sign Up now to post a comment!
  • TAKE CARE ABOUT THIS GUY KOLONGA. HE IS RACIST, HATES SOUTHAMERICAN WHITE PEOLPE. BUT WE ARE NOT RESPONSABLE ABOUT THE ENGLISH MEAT TRADERS MADE IN THE PAST AGAINST HIS RACE.

  • He is from Tanzania, but this music seems like soukouss of Congo (wonderful stuff!) Can anyone direct me to some artists of bongo flava?

  • TZBoy uko wapi tafadhali sana muheshimiwa enjika hewani kibao cha KISA CHA MPEMBA. ili tuone visa vyake aisee..

  • Twanga kipindi hicho walikuwa bomba na makini

    walitulaza inje sana hasa wanapobiga maeneo ya Ilala huwa kuna kuwa na jimama mkundu huo lazima ujitose mpaka usiku wa manane

  • These guys are really professionals, just listen to this guitar piece right here 03:30

  • twanga pepeta nimpenda mwenyewe! i miss this music!

  • can you plse upload JIRANI BY TWANGA PEPETA

  • ...shoka moja m'buyu chini wazamani utajiju!!!

    Kingaja kama unayo nyimbo yao inoitwa (kisa cha mpemba) tuekee basi, tafadhali..

  • this is a nice group.. baba yangu an penda nyimbo zaoo

    god bless

  • wa tanzania ao wa kongomani?wimbo huu unatia uvivu:D

  • Utajijuuuu

  • Oya(Honerlpp123) towa urofa!

    Umekosa lakuandika au vipi

  • Oya fanya mambo yako kivyako, ukidandia habari za wanaume utadandiwa kwa nyuma. Fuck u

  • Chama jana nilikuwa namkamua dada yako!

  • acha zako zakuleta! we sini mtu mzima na kukaa una andika mambo ya kihuni.

  • haya kaka nisamehe!

  • " Life Is A Gift " Today before you say an unkind word, Think of someone who can't speak.

  • big up African Stars Band (Twanga Pepeta), big up Tanzania-authentic Africa;the land of Zanzibar,Selous, Kilimanjaro, Mafia, Saa Nane, Ruaha, Udzungwa, Ngorongoro and Serengeti! I love Tanzanian hospitality;they are very kind and lovely people on earth!

  • inanikumbusha nyumbani kenya channel 5

  • safi sana vijana sijapenda mavazi yeno tu. lakini poa

  • Wanafanya vizuri kwakeli, wanahitaji pongezi! Hongera twanga pepeta!

  • Hi marafiki mpoe huko popote mnapopatikana ,ni nani yule ambaye anaweze ku nisaidia kwa kupata video hii ya Twanga pepeta,yaani nimekumbuka nyumbani ,,,

    Haya basi salamu kwenu wote

  • Segere sijafanikiwa kupata Video yake, ila nina audio. Ila nitajaribu kuulizia tena. Ila kuna mwimbo wa Bwana Misosi "Mabinti wa Kitanga", kuna kipande wanapandishia mapigo fulani kama ya Segere, nitakutafutia video yake. Segere ndio mambo yangu kaka.

  • tuko pamoja kaka

  • Ni safi,poa na makini kaka!!!Big up 2 all

  • haya ndiyo mambo jamani mmh mambo ya mgongo mgongo hayo uwiiih

  • Hizi nyimbo nilikuwa naziona kwa EATV5 nilipokuwa nyumbani huko kenya.

  • tanzania inawakilisha,pamoja

  • pappi kocha walitolewa kwa jela?

  • bado wanasota.wanaweza toka tu wakishinda rufaa yao mahakama ya rufaa,something which is very unlikely.

  • KINGAJA haya ndio maneno baaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa­aaaabaaaaaaaaaaaaakeeeeeeeeeee­eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee..­!!

    Tafadhali sana post video nyingine mukubwa..

    Tko mbali mshikaji..

    Asante sana..

  • Usijali Mkubwa, mambo mazuri yanapo patikana lazima tuna share. Si unajua tena ukisha kuwa mbali na nyumbani. Shukrani.

  • Mukubwa Kingaja.. wapi Generali Ramadhani Masanja.. Msalimie pia nae babie Diana..

    Jesca Charles na wengineo..NAWAFAGILIA BAAAB KUBWA..!!

  • Shukurani kwa aliyeweka hii video, Masanja anasauti nzuri sana na inavutia, great beats na wanacheza vizuri. Kazi nzuri!

  • eeee bwana NDIO!! twanga pepeta kisima cha burudani!! am luving this video! my (absolutely) favorite song....

Loading...
Alert icon
0 / 00Unsaved Playlist Return to active list
    1. Your queue is empty. Add videos to your queue using this button:
      or sign in to load a different list.
    Loading...Loading...Saving...
    • Clear all videos from this list
    • Learn more