ndio mama ni kuendelea ku jhifunza kiswahili, hata hapa marekani wanasema eti niwafundishe kiswahili.nami natoka burundi. sio burundi hata na kenya rwanda uganda na est congo wanajhuwa kiswahili pia
yeah ,msitulee hapa afu kina wanaijeria wakishindaga mtv africa mnasema sababu wanajua kigreza,wakati mnawambia wabongo kizungu akina maaan,acheni ushombo,kienglish ni lugha ya mawasiliano duniani acheni upotofu..nenda gym ukatoe minyama ya uzembe ,na hilo dume nalo alina kaili kabisa eti mkoloni,puck you.
jamani mmesahau kuwa kiswahili ni mchanganyiko wa lugha mbali mbali kam ki bantu kiarabu hata kispanyola na..Lungha zote duniani zinaendelea kukua kila siku, ndio maana hata kwenye kiingereza kumeingia msamiati mpya bloging, googling etcna kiswahili kila anaerudi kutoka nje anakiletea vionjo vyake. tukubali mabadiliko.
lasivyo kiswahili kita 'boa'-from english again...you see
The beat is very nice. Lakini Wabongo punguzeni siasa kwenye muziki. Badala ya kukata maneno ili yapatane na muziki (kama wafanyavyo Wakenya na Wakongo) mnang'ang'ania kumaliza sentensi. Vunjeni Kiswahili kama Wamarekani na Waingereza wanavyovunja Kiingereza.
Cool video. I am in Japan and was surprised to hear some Japanese at around 1:05. Also to hear the Mozambican Chisano spit some Swahili was dope. Niliishii Kenya zamani lakini nimesahau Kiswahili.
Nipo Japani pia. Hongera kwa kunena Kiswahili, japo naona ulituma ujumbe wako miaka miwili iliyopita. Mimi ni mtoka Kenya toka Meru na mwanafunzi wa Chuo Kikuu. Unaishi wapi Japani?
what hell of this?bad tone and bad wasanii althugh dnglish ni rugha ya mataifa wewe kama haujui kuonge kingereza au mnavyosema kimombo nasema hiyo ni is up to you
Kiasi cha kutaka kujua tu, je huku kujingika ndiko kufanya nini? Kama mtu mjinga ana ujinga. Sijasikia "kitenzi" cha kujingika. Si ajabu siku hizi pia kuna Kiswahili cha "kugonjeka" na pia "gonjwa". Jamani tukipeni Kiswahili hadhi inayokifaa!
Hata mimi ni mpenzi wa Kiswahili. Lakini vijana duniani kote wana lugha yao ya mitaani na hakuna aliyefaulu kuwalazimisha wazungumze lugha sanifu. K.m. vijana wa Nairobi wamebuni Sheng. Tukijaribu kupigana nao "tutajingika". Kuwe na Viswahili aina nyingi kama lugha zingine. Sidhani kama Kiswahili cha mitaani kinavunja hadhi. Nionavyo mimi, lugha ya mitaani ni kama kachumbari.
Bwana Bausharaf kweli wewe ni mkufinzi tosha. Kila nionapo jumbe zako napata elimu kamili ya lugha ya Kiswahili. Nimefurahia kusikia Kijapani katika wimbo huu (1:05). Niliupata zamani nikiwa bado Nairobi walakin sikuwa naelewa lugha ya Kijapani wakati huo. Kiswahili kitukuzwe, japo lugha za mtaani kama vile sheng' na Eng'ish pale Nairobi, na kwa sasa hili neno mpya Swanglish toka Bongo zina adhari si haba.
haha skilizenu watoto mtajifunza ! xD
Seamzi 1 year ago
mna sauti nzuri sana mkiimba pamoja hivi kunani mpaka mkasambaratika? kiswahili kipo juu asante sana J.K.Nyerere
lulu201010 1 year ago
ndio mama ni kuendelea ku jhifunza kiswahili, hata hapa marekani wanasema eti niwafundishe kiswahili.nami natoka burundi. sio burundi hata na kenya rwanda uganda na est congo wanajhuwa kiswahili pia
Jean62877 1 year ago
yeah ,msitulee hapa afu kina wanaijeria wakishindaga mtv africa mnasema sababu wanajua kigreza,wakati mnawambia wabongo kizungu akina maaan,acheni ushombo,kienglish ni lugha ya mawasiliano duniani acheni upotofu..nenda gym ukatoe minyama ya uzembe ,na hilo dume nalo alina kaili kabisa eti mkoloni,puck you.
TheZepporah 2 years ago
lol
MadhiGurl 3 years ago
hata mombasa wana sheng yao.so pure swa imeisha imebaki ya kupita mtihani darassani tu then kule nje.....siunajua
tmdredy 3 years ago
she is our queen latifa...
hakim01 3 years ago
I dunno wat that meanz but it sounds really good n the videos cool
XxBLiiiNGxX 3 years ago 2
jamani mmesahau kuwa kiswahili ni mchanganyiko wa lugha mbali mbali kam ki bantu kiarabu hata kispanyola na..Lungha zote duniani zinaendelea kukua kila siku, ndio maana hata kwenye kiingereza kumeingia msamiati mpya bloging, googling etcna kiswahili kila anaerudi kutoka nje anakiletea vionjo vyake. tukubali mabadiliko.
lasivyo kiswahili kita 'boa'-from english again...you see
Bida
Mzee wa matawi ya juu asilia
UK
KingBida 3 years ago
nyimbo kichapo
mamuqasso 4 years ago
nakubali song kichapo.kiswahili for nature.Qassim am in canada lakini kisw is my first priority
cutielous 4 years ago
luv ths track
tsebah32 4 years ago
cool video
delp307 4 years ago
The beat is very nice. Lakini Wabongo punguzeni siasa kwenye muziki. Badala ya kukata maneno ili yapatane na muziki (kama wafanyavyo Wakenya na Wakongo) mnang'ang'ania kumaliza sentensi. Vunjeni Kiswahili kama Wamarekani na Waingereza wanavyovunja Kiingereza.
mfurukutwa 4 years ago
gyu7gb.. what the FUCK!?
Bololomama3 4 years ago
Cool video. I am in Japan and was surprised to hear some Japanese at around 1:05. Also to hear the Mozambican Chisano spit some Swahili was dope. Niliishii Kenya zamani lakini nimesahau Kiswahili.
shibakuzo111 4 years ago
Nipo Japani pia. Hongera kwa kunena Kiswahili, japo naona ulituma ujumbe wako miaka miwili iliyopita. Mimi ni mtoka Kenya toka Meru na mwanafunzi wa Chuo Kikuu. Unaishi wapi Japani?
mytime81 2 years ago
come broad lady
come 0n Europe girl
mchalloh 4 years ago
anakondoa macho aje
moreen20 4 years ago
this song is good and educational....
werdao 4 years ago
Kiboko hiyo
Jontwa 4 years ago
yghkig
binalliy 5 years ago
what hell of this?bad tone and bad wasanii althugh dnglish ni rugha ya mataifa wewe kama haujui kuonge kingereza au mnavyosema kimombo nasema hiyo ni is up to you
maimunamuna 5 years ago
We ndo mjinga uliyejingika kabisaa,..
Tzgal 4 years ago
Kiasi cha kutaka kujua tu, je huku kujingika ndiko kufanya nini? Kama mtu mjinga ana ujinga. Sijasikia "kitenzi" cha kujingika. Si ajabu siku hizi pia kuna Kiswahili cha "kugonjeka" na pia "gonjwa". Jamani tukipeni Kiswahili hadhi inayokifaa!
buashraf 4 years ago
Hata mimi ni mpenzi wa Kiswahili. Lakini vijana duniani kote wana lugha yao ya mitaani na hakuna aliyefaulu kuwalazimisha wazungumze lugha sanifu. K.m. vijana wa Nairobi wamebuni Sheng. Tukijaribu kupigana nao "tutajingika". Kuwe na Viswahili aina nyingi kama lugha zingine. Sidhani kama Kiswahili cha mitaani kinavunja hadhi. Nionavyo mimi, lugha ya mitaani ni kama kachumbari.
mfurukutwa 4 years ago 2
mfurukutwa sasa wewe ndio umenena!hebu show hawa wadhii vile risto iko bana...kila soko ina machizi wake,kila lugha sanifu ina sheng yake,umegitch?
spliffstah 4 years ago
Bwana Bausharaf kweli wewe ni mkufinzi tosha. Kila nionapo jumbe zako napata elimu kamili ya lugha ya Kiswahili. Nimefurahia kusikia Kijapani katika wimbo huu (1:05). Niliupata zamani nikiwa bado Nairobi walakin sikuwa naelewa lugha ya Kijapani wakati huo. Kiswahili kitukuzwe, japo lugha za mtaani kama vile sheng' na Eng'ish pale Nairobi, na kwa sasa hili neno mpya Swanglish toka Bongo zina adhari si haba.
mytime81 2 years ago
Nice song. Damn that chick in the chorus is hot.
michkam 5 years ago
i love the group, good song
mogotiogot 5 years ago
dats song is gdgd
lilruq92 5 years ago
bummer!!!!
ricenda177 5 years ago
shes fuckin lesbo
BlackmanRedemption 5 years ago
which one
rickomba 5 years ago
Excelent men this video is tight the words are educating and reasonable...
MATKIZ 5 years ago
wow at last, I have been looking 4 this video. Thanks 4 the upload.
Mzeepembe 5 years ago