Added: 4 years ago
From: likedatshorty
Views: 89,028
Sort by time | Sort by thread (beta)

Link to this comment:

Share to:

All Comments (33)

Sign In or Sign Up now to post a comment!
  • maskini! mungu akupunguzie adhabu ya kaburini na akusamehe madhambi yako.

  • lov this song

  • lov this son

  • kitu kimetulia.Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi

  • i cant believe this guy is dead peace and love for ever omari kopa 

  • i like it

  • Dah! Nakumbuka enzi hizo nipo Dar (Mbagala). Duh!!!!

  • sherehe ya jikon

  • sherehe ya jikoni.

  • generalibabu,kwani haujaelewa maana ya kitchen?hatawewe ungetafuta jina lengine usingejiita generali!maana generali si kiswahili.

  • @ngwaja Mrafiki ya ngu, mimi natoka jamestown south americano. Kama mimi na kosa nisamehe. bariki Allah.

  • Kwa sauti safi tena maridadi ya adhima na wa msisimko, ndugu huyu wetu, Omar kadondoka miongoni mwetu, lakini historia itanakili bayana kwamba alikua na upewo mkubwa sana katika miziki na hata santuri sokomoko za kitaarab. Bila shaka marehemu atakumbukuwa katika ulimwengu wa miziki hizi za taarab, daima dawamu. Lala salama mwenzetu. Amin

  • great song

    i´m lovin iT =D

  • Hassan FISI Nje ya nchi....Ebwana we? sio mchezo. vipi kaka omar utanipa? au huko tena duniani. mimi sikua na habari kama umekufa kwani huku niliko nimbali sana.. Mungu akurehemu na akulaze mahala pema peponi na akuepushe na adhabu za moto amin.

  • ebwana we? sio mchezo. vipi kaka omar utanipa? au huko tena duniani. mimi sikua na habari kama umekufa kwani huku niliko nimbali sana.. Mungu akurehemu na akulaze mahala pema peponi na akuepushe na adhabu za moto amin.

  • wana adam inabidi tukumbuke sana wapi tumetoka na wapi tunaelekeya

    huyu mwenzetu yupo wapi leo?

  • mashallah lovely rlycs R.I.P omar kopa

  • mwenyrzi mungu akurehem lakini nyimbo powa zanzibar juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

  • Comment removed

  • Ungetumia jina la kiswahili, Sio Kitchen

  • Wimbo ndio uitwavyo sasa vereje miye nikabadilishe jina?. Hakuna jina lengine la kiswahili zaidi ya "Kitchen party" .....

  • nkoma za afrika Taraab amuzi othe.

    Mozambique

  • kaka...vipi mbona kume tulia ... lete zaidi... tunasubiri ..wenzeni tuna tamani sana tuko america huku... na hiki ni kiburudisho chetu

  • oooooh ahsante dada, samahani majina hutuchanganya wakati mwengine!unyago imetulia bombaaa sana, mungu amlipe mema amsamehe maovu yake.

  • yaaaaap ahsante kaka kwa kuniwekea hii clip

    huyukijana anaimba si mchezo sauti tamu beat imetulia vinanda mwake mwao yaani kiumjula bomba sanaaaa...kaka naomba sasa uniwekee kitchen party part 2 kuna sehemu anasema utaliona joka li bwerere... he he he

  • hehehe jamani mie ni dada sio "kaka" lakini nadhani part two yake unaongea "Unyago" sababu akuna part two ya kitchen party. Ntaeka hiyo nikipata picha za Omar.

  • ni zayana mungu amuweke mahala pema peponi sisi wota ndiyo jiya basi tunaomba clep

  • adnaboy hupitwi na kitchen party loh ha ha ha

  • nice song mungu ampeleke mahali pema peponi mimi nkna clip yake ya omar kopa jina nifagilieni

  • kitchen party? wapi hapo? nije na mie, ama vipi?

  • ...mziki mzuri! nakuona na wee umo...swadakta!

  • wow ! nice sweety nimependa kama nilivYokupenda wewe mwaauh umejitahid ..;-)

  • Lol huna khadabu we mtoto, muone vile sema nimefanya vizuri . tehehehe seriously my first video nimejitahidi thanx for the comments doe. Haya nikacheze mie

  • ahsante kaka keep it up bomba sana sisi wengine ndo zinazotuliwaza huku ugenini

Loading...
Alert icon
0 / 00Unsaved Playlist Return to active list
    1. Your queue is empty. Add videos to your queue using this button:
      or sign in to load a different list.
    Loading...Loading...Saving...
    • Clear all videos from this list
    • Learn more