Kibaki amefanya sawa japo kachelewa. Haikuwa lazima watu zaidi ya elfu moja wapoteze maisha yao ndipo huyo anayejiita msomi wa MAKERERE angamue kwamba ni ghali kuutetea uongo. Zaidi ya 1000 wamepoteza maisha kwa kile wadadisi wanachokiona kama mbinu ya Kibaki kuigawa Kenya katika matabaka ya walionavyo na wasokuwanavyo. Matajiri wachache walimtaka aendelee kukaza uzi, mpaka walipoona maji yanazidi unga wakalegeza kamba. Bado tunamtaka Raila asilipize kisasi. Watu kama Karua awasamehe tu.
Lakini tunampongeza KIBAKI hata kama. Sasa ni wakati wa kufanya kile alichokuwa akitanguliza kabla. Kuponya majeraha ya Kenya na kuwarudisha watu waliotimuliwa makwao. Isingewezekana kufanya hivyo, japo Kibaki alijidai angeweza. Hatujali nani ana mamlaka gani, ila wanasiasa wajue huu ni mwisho wa kucheza na maisha ya watu popote duniani.Jamii ya kimataifa iko macho. Hatuwezi kuwachia wanasiasa Kenya wachinje wananchi kwa maslahi yao kisiasa. Haiwezekani, tunalaani polisi waliowaua wakenya bure.
Sorry Kenyans Kenya is not that important to Americans for them to solve our problems thet will request for solution but cant force it on the Government. Only God knows how 2008 Christmas will be in Kenya. I'm very curious to see the state of the Republic x-mas 2008most likely fully fledged rebel/govt war
Yalikuwa madukuduku, Kibaki akayafanyia kosa la kwanza kuiba kura, likazaa kosa la pili watu wasohusika na wizi wa kura wakahamishwa makwao, wengine wakauawa kinyama. Haikuishia hapo, Wakikuyu nao wakafanya kosa la tatu, kuwahamisha makabila mengine kwao. Sasa kuna maongezi ambayo yanapaswa kusimamisha makosa yasiendelee, siyo kuhalalisha kosa la kwanza.
US President George Bush has backed calls for a power-sharing agreement to end weeks of strife in Kenya. Speaking in Tanzania, Bush said Kibaki must share power, or become another SADAM.
The executive Prime Minister's office, abolished on December 12, 1964 when Jomo Kenyatta became Kenya's first President, is now inevitable if a political settlement out of the impasse is to be reached, The Standard has learnt.
US proposes 'real power sharing'
US Secretary of State, Ms Condoleezza Rice, gave the strongest hint yet of a possible power sharing arrangement between President Kibaki and ODM leader, Mr Raila Odinga.
Americans are the ones who build Kenya aganst Tanzania. Do they want to destroy it? Do not guess like me. We dont know what they told Kibaki. May be they told him that they will help him finish Raila. and when they meet Raila, may be they told him that they Americans will help Raila to finish Kibaki. I say may be.
Reading Kibaki mind, this is what I can say. The man wants to finish 5 years in power. But America seems to have shaken the man from OTHAYA. Kibaki will want to have MoU without international community so that he can say PUMBAVU who say that? But this time round Kibaki might be in a corner. Lets wait and see
Raila has a rich political history and is viewed as having fought the longest for the seat dating back to 1982 when he was detained after a failed coup against former President MOI. Now that he has won the 2007 election, we are waitin for him to go to STATE HOUSE. But the road to STATE house seems not easy. Kibaki has rigged himself to STATE house, no is up to Raila to remove him from there. He has to say no to Kibaki who wants him to be Prime Minister. If he say YES, ODM finish.
International comunity should help Kenya. It seems Kibaki and few rich people are not let it go. Power has corrupted their mind, and they are ready to kill to remain there. If there is something America can do, let them do it now, rather than later. By the way, can America do it IRAQ way? All ready American war ship is in Zanzibar waiting oder to attack. I my self steal believe that Kenyan leaders can solve this. What are they waiting?
Kibaki amefanya sawa japo kachelewa. Haikuwa lazima watu zaidi ya elfu moja wapoteze maisha yao ndipo huyo anayejiita msomi wa MAKERERE angamue kwamba ni ghali kuutetea uongo. Zaidi ya 1000 wamepoteza maisha kwa kile wadadisi wanachokiona kama mbinu ya Kibaki kuigawa Kenya katika matabaka ya walionavyo na wasokuwanavyo. Matajiri wachache walimtaka aendelee kukaza uzi, mpaka walipoona maji yanazidi unga wakalegeza kamba. Bado tunamtaka Raila asilipize kisasi. Watu kama Karua awasamehe tu.
gospelgtv 4 years ago
Lakini tunampongeza KIBAKI hata kama. Sasa ni wakati wa kufanya kile alichokuwa akitanguliza kabla. Kuponya majeraha ya Kenya na kuwarudisha watu waliotimuliwa makwao. Isingewezekana kufanya hivyo, japo Kibaki alijidai angeweza. Hatujali nani ana mamlaka gani, ila wanasiasa wajue huu ni mwisho wa kucheza na maisha ya watu popote duniani.Jamii ya kimataifa iko macho. Hatuwezi kuwachia wanasiasa Kenya wachinje wananchi kwa maslahi yao kisiasa. Haiwezekani, tunalaani polisi waliowaua wakenya bure.
gospelgtv 4 years ago
Sorry Kenyans Kenya is not that important to Americans for them to solve our problems thet will request for solution but cant force it on the Government. Only God knows how 2008 Christmas will be in Kenya. I'm very curious to see the state of the Republic x-mas 2008most likely fully fledged rebel/govt war
motherlandd 4 years ago
Yalikuwa madukuduku, Kibaki akayafanyia kosa la kwanza kuiba kura, likazaa kosa la pili watu wasohusika na wizi wa kura wakahamishwa makwao, wengine wakauawa kinyama. Haikuishia hapo, Wakikuyu nao wakafanya kosa la tatu, kuwahamisha makabila mengine kwao. Sasa kuna maongezi ambayo yanapaswa kusimamisha makosa yasiendelee, siyo kuhalalisha kosa la kwanza.
Munishi2 4 years ago
Kibaki has said Coalition must be within the law. Which law Mr Mwai? The one that you broke when you rigged election?
You can not steal polliticaly and hide in the law. This is what Kibaki is doing. .
gospelgtv 4 years ago
US President George Bush has backed calls for a power-sharing agreement to end weeks of strife in Kenya. Speaking in Tanzania, Bush said Kibaki must share power, or become another SADAM.
gospelgtv 4 years ago
The executive Prime Minister's office, abolished on December 12, 1964 when Jomo Kenyatta became Kenya's first President, is now inevitable if a political settlement out of the impasse is to be reached, The Standard has learnt.
US proposes 'real power sharing'
US Secretary of State, Ms Condoleezza Rice, gave the strongest hint yet of a possible power sharing arrangement between President Kibaki and ODM leader, Mr Raila Odinga.
gospelgtv 4 years ago
Kofi Annan has said a political settlement is required in Kenya to promote national reconciliation.
Munishi2 4 years ago
Condoleezza Rice has urged Kenya's rival leaders to share power to end the political crisis.
She warned that it would not be business-as-usual until the crisis was resolved.
"This mediation is fully supported by the international community," she noted.
Tanzania has agree to send peace keeping troops to Kenya. America will suport them.
gospelgtv 4 years ago
Americans are the ones who build Kenya aganst Tanzania. Do they want to destroy it? Do not guess like me. We dont know what they told Kibaki. May be they told him that they will help him finish Raila. and when they meet Raila, may be they told him that they Americans will help Raila to finish Kibaki. I say may be.
Munishi2 4 years ago
Reading Kibaki mind, this is what I can say. The man wants to finish 5 years in power. But America seems to have shaken the man from OTHAYA. Kibaki will want to have MoU without international community so that he can say PUMBAVU who say that? But this time round Kibaki might be in a corner. Lets wait and see
Munishi2 4 years ago
Raila has a rich political history and is viewed as having fought the longest for the seat dating back to 1982 when he was detained after a failed coup against former President MOI. Now that he has won the 2007 election, we are waitin for him to go to STATE HOUSE. But the road to STATE house seems not easy. Kibaki has rigged himself to STATE house, no is up to Raila to remove him from there. He has to say no to Kibaki who wants him to be Prime Minister. If he say YES, ODM finish.
Munishi2 4 years ago
International comunity should help Kenya. It seems Kibaki and few rich people are not let it go. Power has corrupted their mind, and they are ready to kill to remain there. If there is something America can do, let them do it now, rather than later. By the way, can America do it IRAQ way? All ready American war ship is in Zanzibar waiting oder to attack. I my self steal believe that Kenyan leaders can solve this. What are they waiting?
gospelgtv 4 years ago